Ze mahi hingirishi hizi sooo guuuda, me ze namba wane sitezeniHabari za wakati huu kaka na dada zangu wote wa humu jamiiforums.
Ndugu zangu watanzania eti;
Kwani hakuna namna tunaweza kumualika na kumshawishi Rais huyu mrembo na mchangamfu (Kolinda Grabar-Kitarović) kutoka katika nchi ndogo ya Croatia akaja kutung'arishia vivutio vya Tanzania yetu?
View attachment 1626834
MWEZI JULY MWAKA 2018: Rais wa Uswisi Mhe. Alain Berset akizungumza na Waziri Mkuu Mh. Kassim Majaliwa katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere baada ya kumaliza ziara yake binafsi ya wiki mbili akiwa na familia yake nchini Tanzania. Kwa wiki mbili alizokaa nchini rais Alain amefanya ziara binafsi katika mbuga za wanyama Serengeti na kutembelea visiwani Zanzibar
View attachment 1626828
World Cup ilimalizika na moja kati ya mambo yaliyovuta hisia za wengi ni Rais wa Croatia Mwanamama Kolinda Grabar. Wengi tumezoea kuona Rais akilindwa na walinzi lukuki lakini hali ni tofauti kwa Mwanamama Kolinda.
Baadhi ya Picha zake pia zimezua utata mwingi hata kuna video zikimuonyesha akiwakumbatia mashujaa wa Croatia walioloa jasho baada ya mechi kumalizika wengi wanajiuliza inawezekana vipi kwa Rais huyu Mwanamama kufanya yote haya?
View attachment 1626843
Kolinda Grabar mwanasiasa na mwanadiplomasia wa Croatia kwa muda mrefu sana amefanya historia yake ya uongozi kukumbukwa zaidi katika World Cup ya mwaka 2018 zilizofanyika nchi Russia.
Swali la Msingi: Je, tunaweza ama hatuwezi?
USISAHAU: ENDELEA KUWA MZALENDO IPENDE TANZANIA. USICHAFUE TASWIRA NJEMA YA TAIFA LAKO. USTAWI WA NCHI YETU UNAANZA NA WEWE. TIMIZA WAJIBU WAKO IPASAVYO.
Nimekuwepo JamiiForums tangu 2006 ikiitwa Jambo, kabla sijabadilisha ID, kutoka lile jina langu asili na halisi na kuuvaa huu utu mpya Bujibuji, ila namkubali Sana huyu NGULI Infantry Soldier. Post zake ziko very constructive, lakini katikati ya serikali kiziwi tunanufaikaje na madini yake.Support, support, support saaaaaana kwa idea yako Kali sana ila wasiwasi wangu die wadogo hata tutoapo wazo km ili wakubwa fulani wanachukuwa file lako na kuweka uvunguni mwa droo yao.
Ila km tunaye balozi ktk nchi ya Croatia (sidhani) au ukanda huo haswa Russia afanye mchakato wa kidiplomasia atafanikiiwa kumleta tu ila mabalozi wetu wapowapo tu kula kodi zetu, mambo km haya ndo inatakiwa watuletee watalii kwa njia km hizo.
Njia ya mabalozi kutafuta watu maarufu ktk nchi wanazotuwakilisha ndo njia rahisi na ya haraka ya kuutangaza nchi yetu huko nje, ila wao wanataka sijui rahisi ndiye aseme kila kitu ndipo nao waanze kujipendekeza kwake badala ya kuwa wabunifu binafsi.
Mabalozi changamkieni tutangaza vivutio vyetu na mlete watalii msibaki kubugia kodi zetu huko ughahibuni.
Huyu mama si Rais tena wa Croatia alistaafu February 18 2020.Habari za wakati huu kaka na dada zangu wote wa humu jamiiforums.
Ndugu zangu watanzania eti;
Kwani hakuna namna tunaweza kumualika na kumshawishi Rais huyu mrembo na mchangamfu (Kolinda Grabar-Kitarović) kutoka katika nchi ndogo ya Croatia akaja kutung'arishia vivutio vya Tanzania yetu?
View attachment 1626834
MWEZI JULY MWAKA 2018: Rais wa Uswisi Mhe. Alain Berset akizungumza na Waziri Mkuu Mh. Kassim Majaliwa katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere baada ya kumaliza ziara yake binafsi ya wiki mbili akiwa na familia yake nchini Tanzania. Kwa wiki mbili alizokaa nchini rais Alain amefanya ziara binafsi katika mbuga za wanyama Serengeti na kutembelea visiwani Zanzibar
View attachment 1626828
World Cup ilimalizika na moja kati ya mambo yaliyovuta hisia za wengi ni Rais wa Croatia Mwanamama Kolinda Grabar. Wengi tumezoea kuona Rais akilindwa na walinzi lukuki lakini hali ni tofauti kwa Mwanamama Kolinda.
Baadhi ya Picha zake pia zimezua utata mwingi hata kuna video zikimuonyesha akiwakumbatia mashujaa wa Croatia walioloa jasho baada ya mechi kumalizika wengi wanajiuliza inawezekana vipi kwa Rais huyu Mwanamama kufanya yote haya?
View attachment 1626843
Kolinda Grabar mwanasiasa na mwanadiplomasia wa Croatia kwa muda mrefu sana amefanya historia yake ya uongozi kukumbukwa zaidi katika World Cup ya mwaka 2018 zilizofanyika nchi Russia.
Swali la Msingi: Je, tunaweza ama hatuwezi?
USISAHAU: ENDELEA KUWA MZALENDO IPENDE TANZANIA. USICHAFUE TASWIRA NJEMA YA TAIFA LAKO. USTAWI WA NCHI YETU UNAANZA NA WEWE. TIMIZA WAJIBU WAKO IPASAVYO.
Ninashukuru sana mkuu...Nimekuwepo @JamiiForums tangu 2006 ikiitwa Jambo, kabla sijabadilisha ID, kutoka lile jina langu asili na halisi na kuuvaa huu utu mpya @Bujibuji, ila namkubali Sana huyu @NGULI @Infantry Soldier. Post zake ziko very constructive, lakini katikati ya serikali kiziwi tunanufaikaje na madini yake.
Thanks once againKuna wengi nawakubali , na kuwazimia michango yao, @Pascal Mayalla , @Mshana Jr, @Nyani Ngabu a.k.a New York Monkey, @Mwifwa, @Baba Swalehe, @Retired , @Salary Slip na wengine wengi wasio na orodha.
Ila michango ya @Infantry Soldier Ni ya manufaa kwa taifa, TISS, IFANYIENI KAZI
Upo sahihi mkuu. Huyu wa sasa anaitwa "Zoran Milanović"...Huyu mama si Rais tena wa Croatia alistaafu February 18 2020.
Ila ni mrembo sana!!View attachment 1628369
Mkuu, sasa hauoni kumshawishi Rais mstaafu ni rahisi zaidi kuliko ambavyo kama angekuwa bado yupo madarakani, na ukizingatia Croatia ni nchi ndogo sana katika siasa za dunia?Huyu mama si Rais tena wa Croatia alistaafu February 18 2020.
Ila ni mrembo sana!!
Ni mweupe na mrembo haaaswaaaaaaaa...Ni Mwanamke mweupe.
Bwana yule ndio nani mkuu?Aje aondoe stress za Bwana yule. Tatizo wataelewana kidhungu?
Akina NyerereHii nchi Kazi kuwakumbatia wakina piere likwid tu ambao hawana mbele wala nyuma
Mkuu, unamaanisha JK Nyerere au Nyerere yupi ambaye hana tija katika taifa hili?Akina Nyerere
SteveMkuu, unamaanisha JK Nyerere au Nyerere yupi ambaye hana tija katika taifa hili?
Hahahahahaaaa, sawa mzee baba nimekuelewa vema kabisaSteve
Hii lugha ya wapi tena mkuu?Ze mahi hingirishi hizi sooo guuuda, me ze namba wane sitezeni
🇬🇧Hii lugha ya wapi tena mkuu?
Sawa mkuu
Siku moja lazima nitaenda London mkuu
Sawa boss. Hakika Tanzania ina watu wanaojiaminiTunaweza.