Infantry Soldier
JF-Expert Member
- Feb 18, 2012
- 15,893
- 16,317
- Thread starter
- #61
poleni sana mkuu...wasiwasi wangu sie wadogo hata tutoapo wazo km ili wakubwa fulani wanachukuwa file lako na kuweka uvunguni mwa droo yao.
poleni sana mkuu...wasiwasi wangu sie wadogo hata tutoapo wazo km ili wakubwa fulani wanachukuwa file lako na kuweka uvunguni mwa droo yao.
Kwa namna hiyo unawezaje ukamnyima kura, hana haja ya kuiba kura mwenyewe utaipeleka.Habari za wakati huu kaka na dada zangu wote wa humu jamiiforums.
Ndugu zangu watanzania eti;
Kwani hakuna namna tunaweza kumualika na kumshawishi Rais huyu mrembo na mchangamfu (Kolinda Grabar-Kitarović) kutoka katika nchi ndogo ya Croatia akaja kutung'arishia vivutio vya Tanzania yetu?
View attachment 1626834
Inasemekana kwamba huyu mama si Rais tena wa Croatia alistaafu 18 February 2020. Sasa hatuoni kwamba kumshawishi Rais mstaafu ni rahisi zaidi kuliko ambavyo kama angekuwa bado yupo madarakani, na ukizingatia Croatia ni nchi ndogo sana katika siasa za dunia?
MWEZI JULY MWAKA 2018: Rais wa Uswisi Mhe. Alain Berset akizungumza na Waziri Mkuu Mh. Kassim Majaliwa katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere baada ya kumaliza ziara yake binafsi ya wiki mbili akiwa na familia yake nchini Tanzania. Kwa wiki mbili alizokaa nchini rais Alain amefanya ziara binafsi katika mbuga za wanyama Serengeti na kutembelea visiwani Zanzibar
View attachment 1626828
World Cup ilimalizika na moja kati ya mambo yaliyovuta hisia za wengi ni Rais wa Croatia Mwanamama Kolinda Grabar. Wengi tumezoea kuona Rais akilindwa na walinzi lukuki lakini hali ni tofauti kwa Mwanamama Kolinda.
Baadhi ya Picha zake pia zimezua utata mwingi hata kuna video zikimuonyesha akiwakumbatia mashujaa wa Croatia walioloa jasho baada ya mechi kumalizika wengi wanajiuliza inawezekana vipi kwa Rais huyu Mwanamama kufanya yote haya?
View attachment 1626843
Kolinda Grabar mwanasiasa na mwanadiplomasia wa Croatia kwa muda mrefu sana amefanya historia yake ya uongozi kukumbukwa zaidi katika World Cup ya mwaka 2018 zilizofanyika nchi Russia.
Swali la Msingi: Je, tunaweza ama hatuwezi?
USISAHAU: ENDELEA KUWA MZALENDO IPENDE TANZANIA. USICHAFUE TASWIRA NJEMA YA TAIFA LAKO. USTAWI WA NCHI YETU UNAANZA NA WEWE. TIMIZA WAJIBU WAKO IPASAVYO.
Kumnyima nani kura mkuu?...Kwa namna hiyo unawezaje ukamnyima kura
Mama mcheshi.Kumnyima nani kura mkuu?...
Mama mzuri sana huyu aiseehana haja ya kuiba kura mwenyewe utaipeleka.
Mabalozi wazidi kukazana katika kutuletea world-class celebrities huku Tanzania...Ila km tunaye balozi ktk nchi ya Croatia (sidhani) au ukanda huo haswa Russia afanye mchakato wa kidiplomasia atafanikiiwa kumleta tu ila mabalozi wetu wapowapo tu kula kodi zetu, mambo km haya ndo inatakiwa watuletee watalii kwa njia km hizo.
Ipo siku Tanzania itafanikiwa zaidi ya hapaNjia ya mabalozi kutafuta watu maarufu ktk nchi wanazotuwakilisha ndo njia rahisi na ya haraka ya kuutangaza nchi yetu huko nje, ila wao wanataka sijui rahisi ndiye aseme kila kitu ndipo nao waanze kujipendekeza kwake badala ya kuwa wabunifu binafsi.
Mabalozi changamkieni tutangaza vivutio vyetu na mlete watalii msibaki kubugia kodi zetu huko ughahibuni.
Kwanini anamuona boss?Duh we jamaa Mungu anakuona
Mama Samia anatoshaNa sisi tunataka raisi mwanamke tena awe mrembo haswa..
Steve Nyerere na Pierre LiquidAkina Nyerere
Hahaha upotevu wa pesa tuSteve Nyerere na Pierre Liquid
Ila wao ni local celebrities. Si ndio mkuu?Hahaha upotevu wa pesa tu
Pamoja na juhudi zako mkuuIpo siku Tanzania itafanikiwa zaidi ya hapa
Njoo PM my wanguHahaha upotevu wa pesa tu
Wewe pia Mungu anakuonaKwanini anamuona boss?
Acha kumfananisha rais wa Croatia na vitu vya ajabu tafadhariMama Samia anatosha
oooh my God...!!! Ina maana makamu wa Rais wa nchi yako unamuita kuwa ni vitu vya ajabu? Hivi unajua kuwa hii ni tabia mbaya sana mkuu?Acha kumfananisha rais wa Croatia na vitu vya ajabu tafadhari
Hana adabu kabisa mtoto huyooooh my God...!!! Ina maana makamu wa Rais wa nchi yako unamuita kuwa ni vitu vya ajabu? Hivi unajua kuwa hii ni tabia mbaya sana mkuu?
Huwezi kumuheshimu mtu alieshinda uchaguzi kwa mipangoHana adabu kabisa mtoto huyo