CRISTIANO RONALDO For Ballon D'Or 2013

CRISTIANO RONALDO For Ballon D'Or 2013

Roberto Baggio mwaka 1993...

Binafsi si muumini wa hizi tuzo...

Mfano ni mwaka 2006 alipewa Cannavaro kisa tu alikuwa Nahodha wa Italy..WC winners

Si kweli Mkuu, mwaka 1993 Baggio akiwa na Bianconeri alichukua kombe la Uefa Cup
 
kuanzia Leo sifuatilii tena hii mituzo ya kijinga. wamembania ribery bure.
 
Wanaopinga Ronaldo kuchukua hiyo tuzo ni either,
1).Hawajui soka/hawafuatilii soka

2).Hawako objective na wanaleta ushabiki tu.

Mimi pia ni mpenz sana wa L.Messi ila Ronaldo anastahili kabisa hii tuzo this time around.Period.

nimefurahi sana ronaldo kuchukua hiyo tuzo ni msaada sana hata kwa timu ya taifa.messi ni mzigo
 
Cr anafaa kupewa hiyo tuzo dogo yuko vizuri sana this time mesi kaharibika sana huko nyuma hakuwa hivyo lakini kwa sasa hasa timu ya taifa sioni anachofanya kwenye timu ya taifa jamaa ni hewa kabisa.
 
Roberto Baggio mwaka 1993...

Binafsi si muumini wa hizi tuzo...

Mfano ni mwaka 2006 alipewa Cannavaro kisa tu alikuwa Nahodha wa Italy..WC winners

Hivi unawezaje kusema alipewa as if kuna watu wawili watatu wanaamua wakati hadi akina Juma kaseje wenu wanapiga kura
Kura zinapigwa na team captain dunia nzima wanachama wa FIFA na media
 
Mituzo ya kijinga sana,ronaldo kakifanya nini cha kumzidi ribery?upumbv m2pu,wanaangaliana sura hao!yan hata robo hajamfikia hyo jamaa amebeba makombe matatu ronaldo sifuri,
wanapeana hao
 
Hivi unawezaje kusema alipewa as if kuna watu wawili watatu wanaamua wakati hadi akina Juma kaseje wenu wanapiga kura
Kura zinapigwa na team captain dunia nzima wanachama wa FIFA na media

aMEPEWA!KWANI KURA HAZICHAKACHULIWI?REJEA KWENYE SIASA
 
nimefurahi sana ronaldo kuchukua hiyo tuzo ni msaada sana hata kwa timu ya taifa.messi ni mzigo

kumshinda ribery?amepewa huyo,ronaldo zaidi ya kuisaidia ureno kwenda brazil hana jipya lingne,ila ribery kaipeleka france brazil na kabeba makombe manne na bayern!hamna ki2 hapo wamempa huyo pimbi
 
hata angepewa FR7 bado wa2 still mngelalamika bora umfadhili mbuzi binadamu anamaudhi hyo kawaida ye2 kuongea
 
Mituzo ya kijinga sana,ronaldo kakifanya nini cha kumzidi ribery?upumbv m2pu,wanaangaliana sura hao!yan hata robo hajamfikia hyo jamaa amebeba makombe matatu ronaldo sifuri,
wanapeana hao
aMEPEWA!KWANI KURA HAZICHAKACHULIWI?REJEA KWENYE SIASA
Ina maana ma team captain wa taifa dunia nzima na makocha wa timu za taifa dunia nzima na maafisa habari wa vyama vya FA dunia nzima ni wajinga
Binaadamu haturizikagi kila matakwa yetu yasipotimia,
Unatakiwa ujue kichani mwako mchezaji bora anachaguliwa kwa kura baada ya kuwa amependekezwa kugombea na si vigezo unavyodhania wewe
 
Ronaldo mbona ameshapewa tuzo yake jama
 

Attachments

  • 1389681214872.jpg
    1389681214872.jpg
    7.2 KB · Views: 193

Similar Discussions

Back
Top Bottom