CRDB Sim Banking haipo salama


sasa wewe usingesita ungeamua kucheki hiyo account nyingine kujiridhisha na ulikuwa na uwezo wa kuifanya vyovyote upendavyo ni hatari sana hawa watu
 
sasa wewe usingesita ungeamua kucheki hiyo account nyingine kujiridhisha na ulikuwa na uwezo wa kuifanya vyovyote upendavyo ni hatari sana hawa watu
Kweli sikuwa na wazo hilo maana nilijua pengine ningefanya chochote kwenye hiyo account pesa zingehama kutoka kwenye account yangu...hata ile internet banking na yenyewe ovyo tu... hamna usalama....kama mtu una hela nyingi ni bora kukunua dola ukakaa nazo ndani au ukazichimbia chini mabenki ni hatari
 
sasa wewe usingesita ungeamua kucheki hiyo account nyingine kujiridhisha na ulikuwa na uwezo wa kuifanya vyovyote upendavyo ni hatari sana hawa watu
Mkuu unajua watu wengine tumeumbwa tuko inherently honest and trustworthy sikuona sababu ya kutransfer pesa kwenye account isiyo yangu...
 

Wewe na njaa yenu ya bongo uone hela ya mtu usichukue usitudanganye hapa
 
njooni nmb mnaangaika nin system mbovu crdb.
No thank you.... I love CRDB, najua hiki kilikuwa kipindi cha mpito tu kwao.... ng'ang'ana nao hawa hawa. Ila nitaongeza account ya $ Ili iwe rahisi kwangu kumanage.
 
ukisikia wale wandishi makajanja ndiyo huyu mleta hii madaa.
ukita kujua simbank ya bank gani ni salama kaulize polisi wana kesi nyingi kutoka bank gani za wateja kuibiwa kwenye hii huduma.
ndo utajua ipi ni salama na ambayo si salama.
usishangae!....ukiambiwa nmb unaowapigia promo
 
System nzuri ni Standard Chartered.. CRDB ni majanga vibaya mno. Kuna siku nilikuwa nahamisha elfu 50 kutoka Benki kwenda M-PESA,muamala wa kwanza nimefika mwisho ukanionesha "hujafanikiwa" nikajaribu tena baada ya dakika 10 jibu likawa lile lile,nikaachana nalo hilo.. Baada ya siku 3 asubuhi nikapokea SMS mbili za kwamba nimehamisha pesa Tsh 50,000 na ile miamala miwili yote ikaingia M-PESA.
 
system ya crdb ni mbovu, hii imetokea mara kadhaa. Tumeisharipoti kwao sijui kama hizi taarifa wanazifanyia kazi. Wanatutia hasara kweli maana kila unapofanya transaction lazima ulipie service charge benki na service charge network providers.
 
system ya crdb ni mbovu, hii imetokea mara kadhaa. Tumeisharipoti kwao sijui kama hizi taarifa wanazifanyia kazi. Wanatutia hasara kweli maana kila unapofanya transaction lazima ulipie service charge benki na service charge network providers.

Hapa leo naangalia balance naona Tsh 4000 imekatwa trh 07.09.2013.
 
Madili gani mbele ya njaa yako wewe lazima ungechukua tu

We ndo mpuuzi wa kutupwa tena mwenye njaa kali... dunia ya leo bado unafikra za mwaka 47... jaribu cku ikikutokea uone kitakachokupata.. shame on u
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…