Private-eye
JF-Expert Member
- Sep 8, 2013
- 1,069
- 1,211
Kwann ?? Ila nadhan sikuhiz hiz mtu hawez kudominate idea mwenyewe. Lazma wako mbioni.hivi huyu wa NMB hawezi ku copy huo Ubunifu?
Kwann ?? Ila nadhan sikuhiz hiz mtu hawez kudominate idea mwenyewe. Lazma wako mbioni.hivi huyu wa NMB hawezi ku copy huo Ubunifu?
Huko CRDB wako wachache, ila huku NMB tuko shazi nawata piga helaKwann ?? Ila nadhan sikuhiz hiz mtu hawez kudominate idea mwenyewe. Lazma wako mbioni.
Sijajaribu, nilivyoona tu hicho kipengele kipo nikajiondoa!Inafanya kazi!?
Sijajaribu, nilivyoona tu hicho kipengele kipo nikajiondoa!Inafanya kazi!?
Kamuzu Bandafaru joni au?
Mkuu tulia kwanza, kunywa maji kidogo halafu pumzika, then njoo urekebishe hii post yako. Haraka za nini?Hana lolote njaa kali jpm amkomesha sasahv anasaka wateja mpaka vichochoroni wakati alizoeya ijioesa ya selikalinibtu
Salary sleep(usingizi)Mkuu...hakuna haja ya kusubmit salary sleep kwa badae?
lugha ilikuja na mashua hii kwa kweli...hahahaKwani unakopa kila mwezi?Hiyo 5% ya riba ni kwa mwezi yaani 60% kwa mwaka? Hebu tupe maelezo ya kutosha maana hizi benki wanatukamua kotekote, mara service charge, maintanance fee nk.
Vv
Nachoona hapo ni 'vigezo na masharti kuzingatiwa'. Taarufa ingekuwa ibatisha maswali mengi yasingekuwepo.Kwani unakopa kila mwezi?
Nusu ya take home yakoMfano mtu salary yake ni laki 8, je anaweza kukopa laki 9 ama.milioni? Au unakopa amaount unayolipwa..inakuwaje
Wewe ni wale walioenda shule kusomea ujinga, ushaambiwa mkopo unalipwa ndani ya mwezi husika, hayo ya mwaka yametoka wapi?Kama nikikopa tarehe 10 na mshahara wagu ukaingizwa 24; nikikatwa asimia 5 ni sawa na 120% kwa mwaka huu ni uonevu kwa wanyonge. CRDB kama mnataka kutenda haki; mngechaji kwa kutumia OVERDRAFT rates na kwa siku ambazo huyo mtumishi amechukua pesa zaidi ya salio lake.
Samahani mkuu hiyo huduma ishaanza au ndo inakuja?Wewe ni wale walioenda shule kusomea ujinga, ushaambiwa mkopo unalipwa ndani ya mwezi husika, hayo ya mwaka yametoka wapi?