CRDB Salary Advance

CRDB Salary Advance

Mbona Mimi nimejaribu kukopa naambiwa hawajaniunga????

Kuna aliyejaribu kukopa humu ndani na akafanikiwa????

Maana tusijetukawa tunatoa pongezi zisizo na uhalali
Nimeona washikaji wangu wako jeshi la magereza na nida wao wanapata. Inaonekana bado wanaitest kwa baadhi ya taasisi. Nikapiga customer care wakanambia taasis yangu haijafikiwa....kwamba watatuma meseji ikiwa tayari.

But it works bana...!
 
Nimeona washikaji wangu wako jeshi la magereza na nida wao wanapata. Inaonekana bado wanaitest kwa baadhi ya taasisi. Nikapiga customer care wakanambia taasis yangu haijafikiwa....kwamba watatuma meseji ikiwa tayari.

But it works bana...!
Basi watakuwa wameànza na watu wa Serikalini
 
Naomba kujua je ni lazima mtu ukope mwaka mzimaa?! Mbona umefanya assuption ya mwaka wakati ni mkopo ni wa mwez mmoja?! Sijaelewa hapo
Halafu MTU anapiga hesabu za mwaka wakati kaambiwa salary advance, hv kuna salary inayotoka baada ya mwaka?
 
Mbona Mimi nimejaribu kukopa naambiwa hawajaniunga????

Kuna aliyejaribu kukopa humu ndani na akafanikiwa????

Maana tusijetukawa tunatoa pongezi zisizo na uhalali

Utapata hiyo huduma endapo taasisi yako ikishaingia Mkataba na hao Crdb. Si kila mwenye akaunt atapata hyo huduma.
 
Mkuu hesabu zako ni za uongo..umesahau kila mwezi utakuwa unachukua 500,000 ambayo mwaka mzima utakuwa umechukua(500,000*12=6,000,000) kwa riba ya 300,000.
Hapana wewe si mtaalamu wa pesa; hapa ni kwamba kila mwezi utakuwa kwenye Overdraft ya laki tano maana unachukua na kurudisha na kuchukua tena hivyo mkopo utakuwa 500,000 "throughtout the year" ambao utalipia TZS 300,000 kwa kipindi chote cha miezi kumi na mbili. Pia ieleweke mkopo huu wa dharua huchukulia ndani ya mwezi mmoja na mishahara hutoka kwenye tarehe ya ishirini (20) hivyo kwa wastani utakuwa unakaa na hii pesa kwa nusu mwezi hivyo basi, faidi unayilipa kwa mwaka ni TZS 300,000/500,000 /0.5 = 120%.

Hiyo hesabu wataelewa waliosoma "Finance"
 
Ahsante, kwa kuendelea kutuumiza CRDB


Maisha yatakuwa magumu mpka basi....
mikopo tu tuliyonayo vichwa vinauma tena sarray advance duuu
 
Crdb Salary advance......ni mkopo kwa wafanyakazi wanaopitishia mishahara crdb na pia wamejiunga na simbanking.
.

Riba ya mkopo ni asilimia 5. Mfano kwa mkopo tzs 100,000 riba yake ni tzs 5,000 tu.

Riba inatozwa upfront.

Jaribu namna mpya ya kusukuma mwezi!
Afadhali sasa niachane na TIMIZA. Hawa ni Shylock😉!!
 
Mbona Mimi nimejaribu kukopa naambiwa hawajaniunga????

Kuna aliyejaribu kukopa humu ndani na akafanikiwa????

Maana tusijetukawa tunatoa pongezi zisizo na uhalali
Mimi pia wamesema huduma haijaanza kutolewa nisubirie itaanza hivi karibuni. Nilijaribisha tsh 50,000 tu.
 
Huko CRDB wako wachache, ila huku NMB tuko shazi nawata piga hela
Mh? Kwa NMB BANK itapunguza ufanisi wa wafanyakazi wengi wa serikalini. Maana wanapenda Sanaa kukopa
 
SAFI SANA [HASHTAG]#CRDB[/HASHTAG]

MTAKUSANYA MIHELA MINGI, MANA MIKOPO YA BIASHARA IMEKUFA
 
Kwa hiyo kwa private sector ambao nao mishahara inapitia CRDB haiwahusu..??
 
Ubunifu poa sana!



Kwa walio werevu itawasaidia sana
 
Jamaaa umenichekesha sana....! Huko hata mie wanainiulizia niliko.....
Jamaa wanasumbua, bahat nzur nlihama majuz apa. Wameshampa details zangu Mufilisi wao, ananitafta. Nafukuzana nao kwel kwel, siku wakinipata sjui tu.
Sa tunafanyaje mkuu, we hawajakuona...??
 
Jamaa wanasumbua, bahat nzur nlihama majuz apa. Wameshampa details zangu Mufilisi wao, ananitafta. Nafukuzana nao kwel kwel, siku wakinipata sjui tu.
Sa tunafanyaje mkuu, we hawajakuona...??
Baado...naona wanaivutia upepo....! Hawaelewi vyuma vimekazaaa!

Wanatumia mufilis yupi?!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom