CRDB ni benki ya kuogopa kama ukoma

CRDB ni benki ya kuogopa kama ukoma

Na ukitumiwa kutoka huko ulaya hakikisha inaingia chini ya kitanda direct, huwezi kuwa mzima wewe.
Naweza kusema nilisoma kichwa cha uzi, na nimecoment kulingana na hichwa cha uzi, sikusoma uzi wenyewe, usinione hamnazo ndo tabia yetu wazee wa karakana...
 
Wakuu kesho nafunga akaunti yangu ya CRDB aisee hii benki ima wizi wa kiwango cha standard gauge.

Wiki iliyopita kuna mtu alinitumia USD 206 kwenye akaunti iliongia 406000 nikaona rate ndogo lakini nikahisi labda kuna makato sikufuatilia.

Leo nometumiwa $2850 wallah nimepokea msg kwenye akauti imeingia 5,410,932. Huu ni wizi wa kiwango kikubwa hata kama dola imeshuka haijafika wao kunipa rate ya 1850 hivi. Huu ni wizi kabisa.
Halafu yule mngese wa police anamtaka polepole badala ya kudili na tukio kubwa la hiyo bank ..... na serikali pumbavu ya Samia ipo kimya hadi sasa hakuna cha maana kinacho elezwa 👉💩💩💩
 
Back
Top Bottom