CRDB ni benki ya kuogopa kama ukoma

CRDB ni benki ya kuogopa kama ukoma

def_xcode

JF-Expert Member
Joined
Jul 25, 2023
Posts
2,552
Reaction score
6,816
Wakuu kesho nafunga akaunti yangu ya CRDB aisee hii benki ima wizi wa kiwango cha standard gauge.

Wiki iliyopita kuna mtu alinitumia USD 206 kwenye akaunti iliongia 406000 nikaona rate ndogo lakini nikahisi labda kuna makato sikufuatilia.

Leo nometumiwa $2850 wallah nimepokea msg kwenye akauti imeingia 5,410,932. Huu ni wizi wa kiwango kikubwa hata kama dola imeshuka haijafika wao kunipa rate ya 1850 hivi. Huu ni wizi kabisa.
 
Wakuu kesho nafunga akaunti yangu ya CRDB aisee hii benki ima wizi wa kiwango cha standard gauge.

Wiki iliyopita kuna mtu alinitumia USD 206 kwenye akaunti iliongia 406000 nikaona rate ndogo lakini nikahisi labda kuna makato sikufuatilia.

Leo nometumiwa $2850 wallah nimepokea msg kwenye akauti imeingia 5,410,932. Huu ni wizi wa kiwango kikubwa hata kama dola imeshuka haijafika wao kunipa rate ya 1850 hivi. Huu ni wizi kabisa.
Ulivyoenda kufungua ili uweke vijisenti vyako ulitushirikisha ?
 
Wakuu kesho nafunga akaunti yangu ya CRDB aisee hii benki ima wizi wa kiwango cha standard gauge.

Wiki iliyopita kuna mtu alinitumia USD 206 kwenye akaunti iliongia 406000 nikaona rate ndogo lakini nikahisi labda kuna makato sikufuatilia.

Leo nometumiwa $2850 wallah nimepokea msg kwenye akauti imeingia 5,410,932. Huu ni wizi wa kiwango kikubwa hata kama dola imeshuka haijafika wao kunipa rate ya 1850 hivi. Huu ni wizi kabisa.
Rate ya leo benki ni tsh 2410-2430
Wamekupiga parefu
 
Back
Top Bottom