CRDB Mnatuibia, acheni

CRDB Mnatuibia, acheni

very true,
kama akichukua wanalima 10, na kukata wanakula 10 tena maana yake hiyo 20, yaani sawa na 10%. hapo bado haujaitoa wakucharge tena
hatare sana

Naona mnadanganyana na jamaa yako, haya nenda kakope vicoba au saccos uone riba yake. Kwa hiyo 10,000 ni 10% ya laki 2? rudini darasani
 
Kwani mwenye shule amekwambia makubaliano aliyonayo na CRDB-Bank PLC? Ingawa unataka kuonesha kuwa umefikia kiwango cha digital, ukweli ni kuwa bado uko analogia, tena sana. Wewe lipa tu karo ya mwanao asome badala ya kulalamikia vijimambo vidogo vidogo. Benki zote hutoza bank charges kwa huduma wanazotoa, na hii hulingana na makubaliano baina ya benki husika na wateja wake. Kwanza inaonekana ni mara yako ya kwanza kusomesha mtoto shule binafsi, na umefanya hivyo reluctantly.

Why do you pay kwa kuwapa fedha zako?
 
Acha ushamba. Kwa mengine tulaumu lakini kwa hili wewe ni mshamba. Vicoba ukikopa laki 2 unarudisha ngapi pamoja na riba?
Salary advance ya CRDB riba ni 5%. Maana yake ukikopa laki 2, utarudisha 210,000. Sasa wewe unataka ukope laki 2 alafu urudishe laki 2? hapo wao wanafaidikaje na huduma hiyo? Jifunze mahesabu broo. Kinachofanyika wao wanakukopesha kimahesabu laki 2, lakini wanakata kabisa riba yao 5%, ndo maana unapewa 190,000. kwa kuwa wameshakata riba, wakati wa kurejesha watakata ile ile laki 2 tuu. Haina tofauti na ungepewa laki 2 alafu urudishe laki 2na elf kumi.

Kwahiyo 5% ya 190,000 ni 10,000 rudi shule kwanza ukajifunze tena mtu anakupa 190,000 at the rate 5% halaf unarudisha 200,000 unasema ni sawa HUU NI WIZI!!!!


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Acha ushamba. Kwa mengine tulaumu lakini kwa hili wewe ni mshamba. Vicoba ukikopa laki 2 unarudisha ngapi pamoja na riba?
Salary advance ya CRDB riba ni 5%. Maana yake ukikopa laki 2, utarudisha 210,000. Sasa wewe unataka ukope laki 2 alafu urudishe laki 2? hapo wao wanafaidikaje na huduma hiyo? Jifunze mahesabu broo. Kinachofanyika wao wanakukopesha kimahesabu laki 2, lakini wanakata kabisa riba yao 5%, ndo maana unapewa 190,000. kwa kuwa wameshakata riba, wakati wa kurejesha watakata ile ile laki 2 tuu. Haina tofauti na ungepewa laki 2 alafu urudishe laki 2na elf kumi.
Mi nakuona boga kabisa ukikopa hiyo 200,000/= wanakupa 190,000/= yaani 10,000/= riba yao wanachukua mapema na mshahara ukitoka wanakata tena na walichokata awali wanakulima 200,000/=kumbuka walikupa 190,000/=
 
Kuna Benki bora Tanzania kuliko mabenki yote...,,sema tu watu hawaijui. Yaani Benki EQUITY ukiweka hela yako unaikuta vile vile hakuna makato yyote. Na kutoa hela ATM pesa yyte makato yao ni Sh700 tu. Yaan hawa jamaa nawakubali sana. Sio kama hao CRDB wako unaoweka hela kila siku wanaikata na hakuna ongezeko lolote wanalokupa. Wezi sana hao jamaa. Chuo wametuibia sanaaaaaa.
 
Kuna Benki bora Tanzania kuliko mabenki yote...,,sema tu watu hawaijui. Yaani Benki EQUITY ukiweka hela yako unaikuta vile vile hakuna makato yyote. Na kutoa hela ATM pesa yyte makato yao ni Sh700 tu. Yaan hawa jamaa nawakubali sana. Sio kama hao CRDB wako unaoweka hela kila siku wanaikata na hakuna ongezeko lolote wanalokupa. Wezi sana hao jamaa. Chuo wametuibia sanaaaaaa.

CC: Mkurugenzi wa CRDB
Mheshimiwa acheni kupiga hela za watu
Tumewashtukia
Wateja hatupendi makato yenu yasiyo na kichwa wala miguu, msituone sisi ng'ombe wa kukamua maziwa tu, nyie vipi?
 
Kuna Benki bora Tanzania kuliko mabenki yote...,,sema tu watu hawaijui. Yaani Benki EQUITY ukiweka hela yako unaikuta vile vile hakuna makato yyote. Na kutoa hela ATM pesa yyte makato yao ni Sh700 tu. Yaan hawa jamaa nawakubali sana. Sio kama hao CRDB wako unaoweka hela kila siku wanaikata na hakuna ongezeko lolote wanalokupa. Wezi sana hao jamaa. Chuo wametuibia sanaaaaaa.
Haya ndo maneno..hela unaikuta vile vile. Ntaenda huku baada ya 2025 maana hapo kabla hata benk m ilikuwa pia ni bonge la benk ila leo limekabidhiwa kwa azania

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Bila shaka unamfahamu dr livingstone aliyegundua ziwa tanganyika kabla ya waha wa kigoma!
Mi nakuona boga kabisa ukikopa hiyo 200,000/= wanakupa 190,000/= yaani 10,000/= riba yao wanachukua mapema na mshahara ukitoka wanakata tena na walichokata awali wanakulima 200,000/=kumbuka walikupa 190,000/=

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habari wakuu,
Nimetafuta jukwaa la fedha au malalamiko sijaliona, so kama haifit hapa mnisamehe.

Iko hivi, jananimekwenda kulipa ada kwaajili ya kijana wangu anaanza Kidato cha kwanza (shule ipo Dodoma). Sakata lilianzia shuleni, hawataki malipo ambayo hayajapitia dirishani kwa benki.

Yaani lazima uwe na pay slip ya bank. So, hauwezi kufanya mobile payment wala internet banking. Hii ikawa kero kubwa sana maana kwa ulimwengu huu ulivyo sipiiiidiiii haifai watu hasa taasisi kubaki analojia.

Kufika bank (CRDB tawi lipo Moro), nikaambiwa, kila transaction ya kuweka pesa kwenye akaounti ya hiyo shule natakiwa nilipie charge ya Tshs 1,180.00 Hii kwangu ilikuwa na mpya, ya ajabu na wizi. Unaanzaje kutozwa fedha kwa kudeposit? Sijawahi kuiona popote dunia nzima

CRDB acheni hizi mambo, mnatuibia, hakuna gharama ya kudeposit
Ni hayo tu
Mimi nadhani ulipo patwa na huo wasiwasi wa kwamba unaibiwa ungeli uliza kwa wahusika na wakakupa maelezo, huwa kwa taasisi na makampuni yanayofanya biashara inayopokea malipo kutoka kwa wateja/suppliers/nk huwa wanafunguliwa Akanti za Collection (Makusanyo) ambapo zinakuwa na Management Fee kwasababu ni maalamu na zina attract some administration costs sasa hapo inakuwa ni makubaliano baina ya hiyo taasisi na benki husika, kuna taasisi hizi gharama inazilipa zenyewe na kuna taasisi ina transfer hizo gharama kwa wateja wake hayo ni makubaliano sasa. Nadhani ni vyema tukawa na utaratibu wa kuuliza mambo kwa wahusika na kupata majibu kuliko kuyapeleka maswali sehemu ambapo utazidi kupata mkanganyiko zaidi, mabenki karibia yote yana collection account na yanatoza hizi gharama kutokana na makubaliano.
 
Habari wakuu,
Nimetafuta jukwaa la fedha au malalamiko sijaliona, so kama haifit hapa mnisamehe.

Iko hivi, jananimekwenda kulipa ada kwaajili ya kijana wangu anaanza Kidato cha kwanza (shule ipo Dodoma). Sakata lilianzia shuleni, hawataki malipo ambayo hayajapitia dirishani kwa benki.

Yaani lazima uwe na pay slip ya bank. So, hauwezi kufanya mobile payment wala internet banking. Hii ikawa kero kubwa sana maana kwa ulimwengu huu ulivyo sipiiiidiiii haifai watu hasa taasisi kubaki analojia.

Kufika bank (CRDB tawi lipo Moro), nikaambiwa, kila transaction ya kuweka pesa kwenye akaounti ya hiyo shule natakiwa nilipie charge ya Tshs 1,180.00 Hii kwangu ilikuwa na mpya, ya ajabu na wizi. Unaanzaje kutozwa fedha kwa kudeposit? Sijawahi kuiona popote dunia nzima

CRDB acheni hizi mambo, mnatuibia, hakuna gharama ya kudeposit
Ni hayo tu
Benki ya CRDB wanakituo cha huduma kwa wateja, website na akaunti za instagram, twitter na facebook tembelea huko watakuelewesha zaidi na kukupatia utatuzi wa suala lako, wanasikiliza sana, mm nadhani hiyo ni njia sahihi ya wewe kupata maelezo ya kina.
 
Juzijuzi BOT walisema wanaanza kufatilia makato ya benki ambayo wanalipisha wateja kimsingi yanatakiwa kuwa kwao kama sehemu ya gharama zao za uendeshaji sasa sijui wamefikia wapi hata mimi sijawahi kusikia hiyo kitu ndio maana watu wengi hawaweki pesa benki inawezekana kuna kitu hiyo shule inapata kupitia crdb
Ni kweli mkuu hiyo imenikuta juzi hapa Mkuu Rombo nilienda kumlipia ada ndugu yangu CRDB wanalipisha 1200

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habari wakuu,
Nimetafuta jukwaa la fedha au malalamiko sijaliona, so kama haifit hapa mnisamehe.

Iko hivi, jananimekwenda kulipa ada kwaajili ya kijana wangu anaanza Kidato cha kwanza (shule ipo Dodoma). Sakata lilianzia shuleni, hawataki malipo ambayo hayajapitia dirishani kwa benki.

Yaani lazima uwe na pay slip ya bank. So, hauwezi kufanya mobile payment wala internet banking. Hii ikawa kero kubwa sana maana kwa ulimwengu huu ulivyo sipiiiidiiii haifai watu hasa taasisi kubaki analojia.

Kufika bank (CRDB tawi lipo Moro), nikaambiwa, kila transaction ya kuweka pesa kwenye akaounti ya hiyo shule natakiwa nilipie charge ya Tshs 1,180.00 Hii kwangu ilikuwa na mpya, ya ajabu na wizi. Unaanzaje kutozwa fedha kwa kudeposit? Sijawahi kuiona popote dunia nzima

CRDB acheni hizi mambo, mnatuibia, hakuna gharama ya kudeposit
Ni hayo tu
Kijana unauhuru wakuongea na kuandika chochote utakacho jiskia ila auna uhuru wa kuudanganya Uma haswa kwa kipindi hiki,uwezi kuibiwa ila umejiibia mwenyewe kwa ufinyu wa akili unajua kama au chajiwi kwanini usimuulizie meneja wake unakuja kutuandikia utumbo usio na maana mimi jana nimeweka pesa katila akaunti ya mtu mwingine mbona sikuchajiwa BHIKOLA unapo amka Asubuhi angalia vitu vya kupost nenda Google chukua picha ya Bombarder Dash 8-Q400 au Boeing 787-8 Dremliner zifanyie matangazo tutakuona Mzalendo.
 
Kijana unauhuru wakuongea na kuandika chochote utakacho jiskia ila auna uhuru wa kuudanganya Uma haswa kwa kipindi hiki,uwezi kuibiwa ila umejiibia mwenyewe kwa ufinyu wa akili unajua kama au chajiwi kwanini usimuulizie meneja wake unakuja kutuandikia utumbo usio na maana mimi jana nimeweka pesa katila akaunti ya mtu mwingine mbona sikuchajiwa BHIKOLA unapo amka Asubuhi angalia vitu vya kupost nenda Google chukua picha ya Bombarder Dash 8-Q400 au Boeing 787-8 Dremliner zifanyie matangazo tutakuona Mzalendo.
Asante sana mkuu kwa comment yako. Ngoja niende shamba nikalime boss hayo ya bomadier waachie wenyewe
 
Back
Top Bottom