Marwa_J_Merengo
JF-Expert Member
- Aug 6, 2018
- 4,511
- 6,888
nafikiri wanataka uhamishe account to account ungejaribu kuwauliza hao customer care wao ila kiukweli nchi hii mambo yamebadilika sana yani kila mahali kuna gharama zinaongezeka
Sasa kutoa kwa atm na transfer from account to mpesa..airtel money ni balaa zaidi.Duh! Hao jamaa wana makato ya ajabuajabu kweli!
Wana pia na ile kitu wanaita Card fee, wanakwangua shilingi 7999
Duh,hii hesabu ya wapi mjomba???very true,
kama akichukua wanalima 10, na kukata wanakula 10 tena maana yake hiyo 20, yaani sawa na 10%. hapo bado haujaitoa wakucharge tena
hatare sana
Ulishawahi wauliza wakakupa ufafanuzi wowote mkuu??Duh! Hao jamaa wana makato ya ajabuajabu kweli!
Wana pia na ile kitu wanaita Card fee, wanakwangua shilingi 7999
Nilichomwelewa mie ni kwamba badala ya kukata 5% tano wanakata 10% tofauti na mkataba wa kukopa hio huduma.
Yes.
POLE SANA, HILI JAMBO NI KUBWA SANA ,NAKUOMBA ULIWAKILISHE HILI JAMBO KWA ZITTO ZUBERI KABWE ILI AKUSAIDIE KULIFIKISHA KWA RAFIKI YAKE C.A.G ASSAD,Habari wakuu,
Nimetafuta jukwaa la fedha au malalamiko sijaliona, so kama haifit hapa mnisamehe.
Iko hivi, jananimekwenda kulipa ada kwaajili ya kijana wangu anaanza Kidato cha kwanza (shule ipo Dodoma). Sakata lilianzia shuleni, hawataki malipo ambayo hayajapitia dirishani kwa benki.
Yaani lazima uwe na pay slip ya bank. So, hauwezi kufanya mobile payment wala internet banking. Hii ikawa kero kubwa sana maana kwa ulimwengu huu ulivyo sipiiiidiiii haifai watu hasa taasisi kubaki analojia.
Kufika bank (CRDB tawi lipo Moro), nikaambiwa, kila transaction ya kuweka pesa kwenye akaounti ya hiyo shule natakiwa nilipie charge ya Tshs 1,180.00 Hii kwangu ilikuwa na mpya, ya ajabu na wizi. Unaanzaje kutozwa fedha kwa kudeposit? Sijawahi kuiona popote dunia nzima
CRDB acheni hizi mambo, mnatuibia, hakuna gharama ya kudeposit
Ni hayo tu
Ukikopa 200,000 inapaswa urudishe 210,000 ila unarejesha 200,000 kwa sababu tu ile 5% = 10,000 inakuwa imekatwa mwanzoni kabisa ndo mana unapewa 190,000!Nilichomwelewa mie ni kwamba badala ya kukata 5% tano wanakata 10% tofauti na mkataba wa kukopa hio huduma.
Tsh. 10,000/- wanayokata mwanzo ni 5% ya 200,000/-. Ila mshahara wa mamsap ukiingia wanalima tena Tsh. 10,000/-. Hivyo mamsap anakuwa amekatwa 10% ya alichoomba tofauti na mkataba unatamka gharama ni 5%. Wanamahesabu mtajazia na kurekebisha nilipokosea na kutomwelewa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hiyo pesa unaiweka benki kama deposit au unaituma kwenye akaunti ya shule kwa lengo la kufanya malipo ya ada ya mwanao?.. Naona unachanganya kuweka na kufanya malipo!.Asante sana Sophist
ni kweli kabisa ni mara yangu ya kwanza kusomesha mtoto shule binafsi nikiwa tanzania, lakini that should not be a problem. Pili, si jambo rahisi mimi kujua makubaliano ya mwenye bank na mwenye shule, lakini ninachojua, hakuna sehemu wala taasisi ya fedha inayolipisha deposits. kimsingi wanapaswa wakushukuru kwa kuwapelekea fedha. naamini unaweza kujifunza kuhusu hili.
mwisho ingawa si kwa umuhimu, kuwa digital siyo hiyari, usisubiri mpaka teknolojia ikulazimishe kuifuata, huduma za fedha kiganjani mwako.
Jumapili njema boss
Nilichomwelewa mie ni kwamba badala ya kukata 5% tano wanakata 10% tofauti na mkataba wa kukopa hio huduma.
Tsh. 10,000/- wanayokata mwanzo ni 5% ya 200,000/-. Ila mshahara wa mamsap ukiingia wanalima tena Tsh. 10,000/-. Hivyo mamsap anakuwa amekatwa 10% ya alichoomba tofauti na mkataba unatamka gharama ni 5%. Wanamahesabu mtajazia na kurekebisha nilipokosea na kutomwelewa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa makato ya elfu 5 ya pili yanatoka wapi?Ukikopa 200,000 inapaswa urudishe 210,000 ila unarejesha 200,000 kwa sababu tu ile 5% = 10,000 inakuwa imekatwa mwanzoni kabisa ndo mana unapewa 190,000!
Asante kwa kunielewa mkuu!
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa makato ya elfu 5 ya pili yanatoka wapi?