CRDB Mnatuibia, acheni

CRDB Mnatuibia, acheni

nafikiri wanataka uhamishe account to account ungejaribu kuwauliza hao customer care wao ila kiukweli nchi hii mambo yamebadilika sana yani kila mahali kuna gharama zinaongezeka
 
Kuna miswada mingi imipelewa kwa hati ya dhalara bungeni ikishakua sheria mtaani tunagombana wenyewe kwa wenywe tuwacheki kwanza wazee wakikokotoleo kwanza kabla ya kulaumu CRDB
 
Na usishangae wakakuripoti kwenye vyombo vya dola,ni mawakala wa polisi pia,si shule tu,tumia benki nyingine
 
This time, hakuna Rangi tutaacha kuiona. TWT
 
Sijajua huu utaratibu ni Wa wapi,nakumbuka Hata nilipokuwa chuo ukienda kulipa kupitia crdb lazima wakukate hiyo hela so tulichokuwa tunafanya ni kukimbilia bank nyingine NBC ña exim....Kwahyo alilosema mtoa mada ni sahihi kabisa na sijui kwa nini wao wanalipisha kiasi hicho na bank nyingine hazilipishi
 
Duh,hii hesabu ya wapi mjomba???

Sent using Jamii Forums mobile app
Nilichomwelewa mie ni kwamba badala ya kukata 5% tano wanakata 10% tofauti na mkataba wa kukopa hio huduma.
Tsh. 10,000/- wanayokata mwanzo ni 5% ya 200,000/-. Ila mshahara wa mamsap ukiingia wanalima tena Tsh. 10,000/-. Hivyo mamsap anakuwa amekatwa 10% ya alichoomba tofauti na mkataba unatamka gharama ni 5%. Wanamahesabu mtajazia na kurekebisha nilipokosea na kutomwelewa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
bhikola na wadau wengine, huibiwi sema tu hawajakupa maelezo kwa nini unalipia 1180, iko hivi hiyo shule ndo imefungua akaunt crdb, huwa kuna amount wanatakiwa walipie sasa mara nyingi mwanzoni wenye mashule huwa hawalipii wanakwepa hiyo gharama na inahamishiwa kwenu.
 
Habari wakuu,
Nimetafuta jukwaa la fedha au malalamiko sijaliona, so kama haifit hapa mnisamehe.

Iko hivi, jananimekwenda kulipa ada kwaajili ya kijana wangu anaanza Kidato cha kwanza (shule ipo Dodoma). Sakata lilianzia shuleni, hawataki malipo ambayo hayajapitia dirishani kwa benki.

Yaani lazima uwe na pay slip ya bank. So, hauwezi kufanya mobile payment wala internet banking. Hii ikawa kero kubwa sana maana kwa ulimwengu huu ulivyo sipiiiidiiii haifai watu hasa taasisi kubaki analojia.

Kufika bank (CRDB tawi lipo Moro), nikaambiwa, kila transaction ya kuweka pesa kwenye akaounti ya hiyo shule natakiwa nilipie charge ya Tshs 1,180.00 Hii kwangu ilikuwa na mpya, ya ajabu na wizi. Unaanzaje kutozwa fedha kwa kudeposit? Sijawahi kuiona popote dunia nzima

CRDB acheni hizi mambo, mnatuibia, hakuna gharama ya kudeposit
Ni hayo tu
POLE SANA, HILI JAMBO NI KUBWA SANA ,NAKUOMBA ULIWAKILISHE HILI JAMBO KWA ZITTO ZUBERI KABWE ILI AKUSAIDIE KULIFIKISHA KWA RAFIKI YAKE C.A.G ASSAD,
ILI ALIFANYIE UKAGUZI.
ahsante narudia pole sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nilichomwelewa mie ni kwamba badala ya kukata 5% tano wanakata 10% tofauti na mkataba wa kukopa hio huduma.
Tsh. 10,000/- wanayokata mwanzo ni 5% ya 200,000/-. Ila mshahara wa mamsap ukiingia wanalima tena Tsh. 10,000/-. Hivyo mamsap anakuwa amekatwa 10% ya alichoomba tofauti na mkataba unatamka gharama ni 5%. Wanamahesabu mtajazia na kurekebisha nilipokosea na kutomwelewa.

Sent using Jamii Forums mobile app
Ukikopa 200,000 inapaswa urudishe 210,000 ila unarejesha 200,000 kwa sababu tu ile 5% = 10,000 inakuwa imekatwa mwanzoni kabisa ndo mana unapewa 190,000!

Asante kwa kunielewa mkuu!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Asante sana Sophist
ni kweli kabisa ni mara yangu ya kwanza kusomesha mtoto shule binafsi nikiwa tanzania, lakini that should not be a problem. Pili, si jambo rahisi mimi kujua makubaliano ya mwenye bank na mwenye shule, lakini ninachojua, hakuna sehemu wala taasisi ya fedha inayolipisha deposits. kimsingi wanapaswa wakushukuru kwa kuwapelekea fedha. naamini unaweza kujifunza kuhusu hili.
mwisho ingawa si kwa umuhimu, kuwa digital siyo hiyari, usisubiri mpaka teknolojia ikulazimishe kuifuata, huduma za fedha kiganjani mwako.
Jumapili njema boss
Hiyo pesa unaiweka benki kama deposit au unaituma kwenye akaunti ya shule kwa lengo la kufanya malipo ya ada ya mwanao?.. Naona unachanganya kuweka na kufanya malipo!.
 
Najaribu kufikir tu...kama akikopa lak 2. Anapokea lak 90 maanake wamekata 5% ya hela uliyooomba yaan lak 2.

Sasa tuje siku ya malipo...fikiria weww ukiwalipa tu ile lak na 90 uliyochukua cash je wao watakuwa wametengeneza faida?! Jibu ni hapana. Watakuw hawajaingiza income yoyote hapo.

Ukitaka kuelewa zaidi chukulia kama wangekupa lak 2 kamili...bila shaka ungelipa lak 2 na elf 10. Sasa kwasababu walishachukua elf 10 yao toka mwanzo ndo sababu unarudisha lak 2 kamili.

Anyway...najua hesabu hii alikuja nazo Dr living Stone....
Nilichomwelewa mie ni kwamba badala ya kukata 5% tano wanakata 10% tofauti na mkataba wa kukopa hio huduma.
Tsh. 10,000/- wanayokata mwanzo ni 5% ya 200,000/-. Ila mshahara wa mamsap ukiingia wanalima tena Tsh. 10,000/-. Hivyo mamsap anakuwa amekatwa 10% ya alichoomba tofauti na mkataba unatamka gharama ni 5%. Wanamahesabu mtajazia na kurekebisha nilipokosea na kutomwelewa.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom