CRDB Kitengo cha Refunds Acheni wizi

Unaona unavyokariri! Wakati wenzako wanaongea based on their experience wewe una-rely na nini kimeandikwa kwenye website za PayPal!!! Usichofahamu ni kwamba hayo maelezo yana-apply kwenye nchi ambazo PayPal Accounts zina-receive cash na sio kila nchi! Kuna baadhi ya nchi including Tanzania; PayPal accounts haziwezi kupokea fedha! Hapa hapa JF mwakajana tulianzisha movement tukitaka privilege ya Tanzania's PayPal ziwe na uwezo wa kupokea pesa kwa sababu kwa hivi ilivyo; ni kwamba always tutakuwa buyers and not sellers!!!
 
Mkuu Kwa case Kama Hiyo seller inabidi umpe bank details zako ili akurudishie pesa zako. Seller anakuwa Hana PayPal account yako ambayo transfer ya pesa huhitaji username tu. By the way Ile visa/ master card yako, details zake Kama Ac number, card number Na zile three digits za nyuma ni Siri zako. Kama uki share Na mtu yeyote utapoteza pesa zako
 


umeelewaje hapo?

ajabu nikishalipwa na seller hela yangu huwa hairudi kwenye akaunti. Na mara nyingi nikirudishiwa hela paypal nao huwa wananitumia email kwamba nimerudishiwa hela na kwakuwa huwa nanunua kwa kutumia CRDB Visa Card hela yangu huwa inarudi kwenye akaunti yangu.
 
Shida ya shule za kata kwani pesa amekwambia iko bank au paypal ? Na PayPal acc ni ya benki au mteja?


Na mara nyingi nikirudishiwa hela paypal nao huwa wananitumia email kwamba nimerudishiwa hela na kwakuwa huwa nanunua kwa kutumia CRDB Visa Card hela yangu huwa inarudi kwenye akaunti yangu.
 
JE UNAJUA MAANA WIZI?
 
Tatizo watu wanajifanya wanajua sana. Overdraft ni huduma ambayo mtu anaomba haimaanishi kama wewe una akaunti ya hundi unakuwa na uwezo wa overdraft. Saving account inaweza kuwa na deni kwasababu fulani, na kujua nisababu gani? mimi kama mteja natakiwa kuonge na benki husika kujua nini shida?
 
Mhhh hii sio kweli mimi nI mtumiaji sana wa huduma hii ya kununua vitu online especially pay pal na ninatumia account na card yangu ya CRDB lakini sijawahi pata matatizo. Ni kweli pesa huwa zinashikiliwa Kwa Masaa kadhaa yasiyozidi 48 lakini baada ya hapo pesa yangu huachiliwa na kukatwa kiasi nilichotumia tuu. Nakushauri uwasiliane nao Kwa e mail Yao customer-hotline@crdbbank.com na number ya simu 0755 197700 na utapatiwa huduma haraka. Benki haimuibii mtu tuache kupotosha jamii Kwa akili zetu finyu na uelewa mdogo... watafute watakusaidia CRDB BANK wapo vizuri jmn
 
Sasa jamaa amepata shida anaomba msaada wewe unamsaidiaje maana umeingilia tu thread kuleta ubishii. Muelekeze hatua stahiki ambazo anapaswa afanye wewe si unadai una uzeofu na mbao ya benki? Kama huna msaaada kwake ni mara kumi ukanyamaza tu
Unadhani msaada anaupata huku zaidi ya kutokwa na maneno na kulala tuh! Nenda kwenye page yao ya facebook, twitter lakini pia unaweza kuongeano kwenye website yao (www.crdbbank.com) utapata msaada.
 
Kweli kabisa jana tu nimepokea refund toka kwao maada ya kupokea barua pepe toka paypal.
 
Je unahakika Benki za ndani hawatoi hiyo huduma. Unaweza toa mfano wa benki uliyoenda ukaambiwa hakuna hiyo huduma? Tatizo wabongo tunataka kufanyabiashara ofisi kwenye begi ambayo haitambuliki kisheria.
 
Mimi nilituma pesa kwenda kwenye cashcard kutoka tigopesa ni miez sasa hela haijaingia nilienda wakasema watafatilia mpaka leo hola
 
Mkuu jibu bi simple, sio lazima uwe na degree kujibu. Mfano ukitoka mzigo sehemu A kwenda sehemu B kisha mtu wa B akasema nimerudisha mzigo. Wewe unadhani amerudisha wapi?
 
Mpaka ninavyoandika hapa ni returns za takribani Euro 400. Yapata miezi miwili sasa. CRDB International House nahisi ndio wanaosababisha kadhia hii kwa wateja. Kuna mtu amenishauri niumie Kado za Exim. Hawana usumbufu wa aina hii and kwa wateja.
Unajua unachozungumza lakini?
 
Mimi nilituma pesa kwenda kwenye cashcard kutoka tigopesa ni miez sasa hela haijaingia nilienda wakasema watafatilia mpaka leo hola
Tuwe wa kweli jamani, ndio maana watu wanasema mnawachafua. cashcard ndio nini?
 
Mkuu usiwe mkali. Hauko sahihi. Mimi nimetumia Paypal toka miaka ya 2009. Refund huwa zinarudi kwenye debit account. Na hii experience ya CRDB nimeipata pia. NBC hawakuwa na shida.

 
mimi pia huwa Nanunua vitu kwa njia ya mtandao...na nafanikiwa sana.. hebu wwtanzania tubadilike kidogo kulalamika katika mitandao haisaidii na wala hapa sio pa kumaliza tatizo lako..watafute kwa number zao za simu au tuma email kwenda customer-hotline@crdbbank.com utasaidika haraka Huduma kwa wateja ya CRDB kiukweli wapo vizuri sana hebu jaribu hata kuwatumia taarifa zako inbox ya Facebook au instagram utasaidiwa pia...mimi nikikwama ndo huwa natumia njia hiyo katika kuwaafuta....Fanya hivyo sasa hivi utasaidiwa wapo 24 hrs katika mitandao ya kijamii...na katika kuwahudumia wateja kwa njia ya simu!
 
Sasa mkuu bush lawyer imeingiaje hapa? Jamaa yuko sahihi. Inawezekana ulikuwa wafanya kazi NMB wakati hawana international debit cards.

Nimefanya kazi benki shida mnajifanya mnajua kumbe bush lawyer kwenye kadi yako kuna alama ya PayPal? Na unaelewa maana ya visa au MasterCard?
 
Mkuu hivi umeshawahi tuma email huko na mara ngapi ukajibiwa immediate? Hiyo email tumeitumia nasi sio wewe tu. Kuna namba za simu pale kibao, lakini kuna wakati utapiga hadi utachoka.

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…