CRDB Kitengo cha Refunds Acheni wizi


Ww kila kitu sio shule shule ni moja na uelewa wa kitu ni issue ingine ktk mambo ya online kubali ww ni mtupu hata km una shule ya wapi elewa kuwa ktk online purchase kuna parties wengi yaani mteja,bank,card ajents km visa au master card pamoja na gateway km paypal au alipay sasa ww hapa kulingana na maelezo yako hujui role ya kila mmoja jifunze kwanza ndio uwaite watu hawakwenda shule kawaida ukiwa refunded hela inapitia ktk channels km ilivyoenda kutoka kwa seller paypal ni kukusaidia ufanye secured payment master card na visa card ni ma ajents wa kadi za bank na bank ni owner wa acc ya mteja ndo ana pesa ya mteja sasa pesa ikiwa refunded inaenda paypal???
 
Yaani nyie siwaelewi kama mnachiki na taasisis mseme sio kusema mambo ya uwongo humu yaani ujinga ujinga tu
Nimekuwekea transaction niliyofanya leo hapo juu kukuonesha kwamba watu tunaongea vitu ambavyo tuna experience naavyo na sio wewe vuvuzela usiyejua lolote! Weka ya kwako hapa ili tufahamu tunaongea na mtu anayeelewa au tunabishana na mtu asiyejua lolote!

Weka ya kwako, kama huna piga kimya cuz' experience ya haya mambo huna wala banking operations huijui!
 
Salute mkuu. Haya ndo maelezo yaliyoenda shule siyo ya huyo mtoa mapovu na makidai mengi.. Asante sana kwa hii elimu.
Huyu jamaa anajifanya banker lakini mweupe kishenzi... nadhani atakuwa ama mfunga voucher au Teller (I don mean to insult) na ndio maana hata banking transactions zinavyoenda hajui!
 
Unatia aibu manake kwa maelezo yako haya unaonekana wazi wala hujui haya mambo! Yaani kama nawe ni banker basi CRDB wamekula hasara!!!
 
Huyu jamaa anajifanya banker lakini mweupe kishenzi... nadhani atakuwa ama mfunga voucher au Teller (I don mean to insult) na ndio maana hata banking transactions zinavyoenda hajui!
Mpuuze tuuu atakupaka kinyesii muda si mrefuu😀😀😀
 
Huyu jamaa anajifanya banker lakini mweupe kishenzi... nadhani atakuwa ama mfunga voucher au Teller (I don mean to insult) na ndio maana hata banking transactions zinavyoenda hajui!
Nimekuuliza fund ikitoka kwa seller as refund inaenda wapi? Ukinijibu hilo utajijua una akili au la
 

Hawa jamaa CRDB ni jipu kweli zamani hiki kitengo cha online kilikuwa na watu makini kweli kina Peter Mwalongo na Sauda sasa hivi kitengo kina watu wageni ni mizigo kweli hata ukiongea nae unamsikia ni mweupe bora hata mteja mzoefu uelewa unamzidi majibu anyokupa ni kutafuta njia ya kukukwepa refund bora km inatoka paypal sasa mtihani ni refund zinazotoka alipay mi imeshindikana kuelewana nao hadi mwezi sasa
 
Nimekuuliza fund ikitoka kwa seller as refund inaenda wapi? Ukinijibu hilo utajijua una akili au la
Unaacha kuhoji akili yako inayoshindwa kujua hata vitu vidogo kama hivi unahoji ya kwangu mimi ambae nimeshaeleza kila kitu including hiyo pesa ni wapi inaenda!!!! Au hujui kusoma??!!!
 
Poa mkuu hamna shida
 
Dah vichwa hivi kweli tunafugia nywele nikuulize kwenye PayPal acc yako pesa IPO au haipo? Kama ipo hamisha kurudi kwenye acc yako ya benki na kama umehamisha haijafika ilo ndo hoja
 
Yaani ni jipu... hata hiyo transaction yangu wanajua wao walivyofanya! Badala ya exchange rate waliyoonesha hapo (ambayo ni 2103.27) wao wamenibadilishia kwa 1884.18! Wana bahati sipo Dar na niliko sina access na CRDB Branch vinginevyo ningeenda kuwawashia moto asubuhi subuhi!
 
Dah vichwa hivi kweli tunafugia nywele nikuulize kwenye PayPal acc yako pesa IPO au haipo? Kama ipo hamisha kurudi kwenye acc yako ya benki na kama umehamisha haijafika ilo ndo hoja
We acha maswali yasiyokuwa na kichwa wala miguu! Transaction ikifanyika sio kwamba pesa inaingia kwenye PayPal Account ya Mteja... mbona huelewi wewe?! Tumia akili... sasa utakuwa umefanya nini kama una-debit kwenye account moja na kumwingizia kwenye account nyingine? Ndo maana nikakuambia hili jambo wewe hulijui!!!
 
Ndo shida yako ingia kwenye account yako ya PayPal pesa ipo au haipo?
 
Ndo shida yako ingia kwenye account yako ya PayPal pesa ipo au haipo?
Nimekupa changamoto kwamba uoneshe forex transacton ya kwako ambayo umepata kufanya; umeshindwa... hapo nikapata jibu hujui kitu katika hilo eneo! Na sasa nina mashaka ikiwa hata hiyo PayPal unaifahamu vizuri au unaisikia juu juu tu!!! We ushaambiwa PayPal Account za Tanzania hazi-receive cash halafu bado unasema angalia kwenye paypal account!!!
 
Mimi shida yangu ipo tofauti nimeshaitaja hapo juu ila sijapata majibu. Nimeuliza iwapo umenunua kitu ukalipa moja kwa moja kwa maana ukaingiza details zako za card. Then hela ikamfikia supplier. Kwa sababu funali fulani supplier akasema atai reverse part ya hela. Ile hela ikiwa reversed inaenda wapi maana hapo hakuna cha pay pal? Naomba ambao wapo sober wanijibu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…