sinafungu
JF-Expert Member
- Feb 13, 2010
- 1,524
- 863
Unaenda pale kwa ajili ya kuweka pesa, unakutana na booonge la foleni, unapokaribia kuchukua ticket ya namba , mlinzi anatoa namba zilizotangulia (105) mwanzo na pengine imeishaitwa, anakuambia buku tano (5000/=) hii hapa au la chukua hiyo (786), ukiangalia ile foleni na muda utaopoteza hapo.........KAZI NI KWAKO..