laki si pesa.
JF-Expert Member
- Jul 14, 2015
- 9,984
- 9,757
Kimei amejaza ndugu zake wachagga unategemea nini kazi yao ni wizi tu na ss ivi wanafungua matawi wanayaita microfinance muda si mrefu watayafunga tu
Tuwe wakweli mimi sio mshabiki wa crdb plc wala Md wao. Siku zote ni amini baada ya Kimei ukweli wa crdb plc utajulikana.
Ukitaka juwa crdb plc chini ya Kimei ipo shida angalia mchezo wanafanya kwenye soko la hisa. Tangu wameingia soko la hisa wao wanacheza na tsh350-450 sina kumbukumbu ikiwa wamewahi fika hisa 500-700 tangu wapo sokon. Pia angalia hisa ya nmb imeshuka sana ipo 1800 na imewah kupanda mpaka ~3600.
Njoo kwenye ghawio ndio utachoka tzs 5 sijuw kumi wakati nmb plc mpaka ~116. Sasa ajabu nyingine jamaa kwenye soko hisa zake ndio kama hvyo ila ajabu faida anatangaza unajiuliza wanakokotoaje p&l yao.
Kingine angalia uwekezaji wao. Wao wanafungua matawi kwenye nchi ambazo ni high risk kama kongo, burundi na unawasikia wanajivunia uwekezaji wao.
Huyo ndio crdb plc chini ya Md Kimei. Ila pia ths tm wanakazi nzito kuficha mambo yao chini ya serikal ya Magufuli.
Mkuu mi ni mteja wa crdb tangu 1998 sababu ya matatizo yao nimehamia NMB hata mwaka bado lakini NMB kwenye mitandao wako powa sana.... wako fast na reliable tatizo lao ni limit yao kwaKwa namna hii nitakuja very soon, pamoja na foleni zenu hamna namna sasa
kwani braza Mbona sisi tupo Equity bank mda n.a. hatujawahi pata hizi shida....hamna makato ukiweka buku hata mwaka unaitoa...haya bana bakini na shida zenuDuu vijimaneno vya Wateja duu ni noma.mie nilikuwa nafikiria kufungua ac huko duu.embu ngoja nisikilizie
Kuna vitu vingine ambavyo ni vidogo lakini ni kero sana kwenye hii bank. Kama mshahara usingekua wapitia huku ningehama long. Unapo ingiza malipo ya ada kwenye akaunti ya shule wanakata sh. 1100 eti fee ya karatasi ya kufanyia transactions. This is rediculousTuwe wakweli mimi sio mshabiki wa crdb plc wala Md wao. Siku zote ni amini baada ya Kimei ukweli wa crdb plc utajulikana.
Ukitaka juwa crdb plc chini ya Kimei ipo shida angalia mchezo wanafanya kwenye soko la hisa. Tangu wameingia soko la hisa wao wanacheza na tsh350-450 sina kumbukumbu ikiwa wamewahi fika hisa 500-700 tangu wapo sokon. Pia angalia hisa ya nmb imeshuka sana ipo 1800 na imewah kupanda mpaka ~3600.
Njoo kwenye ghawio ndio utachoka tzs 5 sijuw kumi wakati nmb plc mpaka ~116. Sasa ajabu nyingine jamaa kwenye soko hisa zake ndio kama hvyo ila ajabu faida anatangaza unajiuliza wanakokotoaje p&l yao.
Kingine angalia uwekezaji wao. Wao wanafungua matawi kwenye nchi ambazo ni high risk kama kongo, burundi na unawasikia wanajivunia uwekezaji wao.
Huyo ndio crdb plc chini ya Md Kimei. Ila pia ths tm wanakazi nzito kuficha mambo yao chini ya serikal ya Magufuli.
Hapa fafanua maana nataka kuchukua mkopo wamepiga ban lini?siku chache walinijibu hatua za kufuata hapo mnazimmoja ili nichukue nyingi nilipe kidogokidogomikopo nayo nasikia imepigwa ban,dah. Rais magufuli ataua hizi benki
Kimei amejaza ndugu zake wachagga unategemea nini kazi yao ni wizi tu
Kaka angu wacha "Wivu wa Kike" ,Kama vip kaoe mchagga naye apewe kazi CRDB.
Kwenye Bongo fleva huwaoni,Timu ya Taifa huwaoni,Ligi kuu huwaoni sasa unategemea uwaone wapi?
Tembelea mtandao matokea ya waliovhaguliwa kidato cha 5 Jana alafu angalia majina yanayoishia na ubin-kichagaa na shule waloenda alaf unipe jib ukikosa chagua mji!
Nenda IFM,CBE, UDBS,UDSM kila darasa robo utakuta wachagga!
Wakati wewe unawekeza kwenye majungu mwenzio wanaweka kamati ya kumchangua mtoto aende shule!
Likizo time asaiv watoto wanajizungusha mliman city ukienda Moshi watoto wanakesha Tution!
Samahani lakini ,dont take it too personall!
Kuna jamaa angu analalamika amejaza mkopo anapigwa dana dana njoo kesho njoo KeshoKuna shida na hivi account kuu za taasisi za serikali imehamishiwa BOT.