CPA ya Tanzania ni ya kipekee duniani

Nyie acheni kashfa za kipuuzi. Tena bora NBAA maana huko ACCA experience tu ni sehemu ya qualification za kufanya mitihani yao. ATEC hawasomi failure huu ni uongo! Nenda kaone qualification za kuanza ATEC. Alafu hivi unaweza kufananisha mtu aliyefanya professionals exams zaidi ya 20 na hizi njia zingine? Hivi mnafikiri mtu alifanya professional exams kuna kitu unamzidi? Tena zaidi technically humsogelei! Edson tutor wa CPA exams kasoma computer science then kasoma kuanzia Atec hadi CPA unamuweza yule? Unamjua mwl Paul? Yule baada ya form six kapiga ATEC hadi CPA, nafikiri wanaomjua wanajua habari yake. Vipi Rashidi tutor maarufu wa CPA, yule kasoma Bcom finance na kwa qualification hizo alianzia module B hadi CPA na inshort ufahamu wake umejengwa na professional exams, je unamuweza yule? Weka mbali Mkulo (aliyekuwa waziri wa fedha awamu ya nne) huyu baada ya form six kapiga professional exams. Dr Makongoro Mahanga naye ni form 4, ATEC to CPA. Reginald Mengi form six to ACCA. Kashonda ambaye vitabu vyake mnatumia hadi vyuo vikuu ni form six to ACCA. Dr Mndolwa aliyekuwa partner PWC ni form six to ACCA. Niendelee? Inshort professional qualifications kama CPA ni zaidi ya undergraduate degree ndio maana all reputable universities wanaikubali kama direct entry to masters bila kujali umeipata kupitia njia ipi.
Umemaliza kila kitu kitu mkuu, vijana wa siku hizi wanakimbilia MBA baada ya kufeli CPA then baadae wanaanza kuongea shit khs NBAA.
 
Nyie acheni kashfa za kipuuzi. Tena bora NBAA maana huko ACCA experience tu ni sehemu ya qualification za kufanya mitihani yao. ATEC hawasomi failure huu ni uongo! Nenda kaone qualification za kuanza ATEC. Alafu hivi unaweza kufananisha mtu aliyefanya professionals exams zaidi ya 20 na hizi njia zingine? Hivi mnafikiri mtu alifanya professional exams kuna kitu unamzidi? Tena zaidi technically humsogelei! Edson tutor wa CPA exams kasoma computer science then kasoma kuanzia Atec hadi CPA unamuweza yule? Unamjua mwl Paul? Yule baada ya form six kapiga ATEC hadi CPA, nafikiri wanaomjua wanajua habari yake. Vipi Rashidi tutor maarufu wa CPA, yule kasoma Bcom finance na kwa qualification hizo alianzia module B hadi CPA na inshort ufahamu wake umejengwa na professional exams, je unamuweza yule? Weka mbali Mkulo (aliyekuwa waziri wa fedha awamu ya nne) huyu baada ya form six kapiga professional exams. Dr Makongoro Mahanga naye ni form 4, ATEC to CPA. Reginald Mengi form six to ACCA. Kashonda ambaye vitabu vyake mnatumia hadi vyuo vikuu ni form six to ACCA. Dr Mndolwa aliyekuwa partner PWC ni form six to ACCA. Niendelee? Inshort professional qualifications kama CPA ni zaidi ya undergraduate degree ndio maana all reputable universities wanaikubali kama direct entry to masters bila kujali umeipata kupitia njia ipi.
Exactly, You know the profession
 
Elimu ya Tanzania haiishi vituko.

Ndio maana hatuendelei. Maana flaw kwenye mifumo yetu ya elimu ni mingi mno.

Ndio maana unashangaa, unakua na CPA ya Tanzania, ukitaka kufanya mitihani ya ACCA hupati exemptions kwa kua CPA yetu haieleweki.

Kwa wahasibu watanielewa, ni rahisi Tanzania kupata CPA hata kama wewe sio mhasibu na huna taaluma ya uhasibu, ili mradi tu ufaulu mitihani yake.

Yaani unaweza kua Certified Public Accountant huku huna academic qualification ya accountancy.

Kwa nchi nyingine kitu cha kwanza kupata CPA ni lazima uwe na academic qualifications then uombe kua certified. Nchi nyingine lazima uwe na module hours nyingi sawa na masters ili uwe eligible na CPA.

Huku mwetu unaweza kumaliza form four, ukaanza na atecs hadi CPA.

Sasa imetokea shida ofisini kwetu, wanataka senior accountant, awe na bachelor degree na CPA, aliyepo ana CPA ila hana bachelor degree, ni form four leaver, aliajiriwa kama accounts clerk.

Ikija kigezo cha CPA anayo, ikija kigezo cha bachelor degree hana. Unajiuliza mtu anakuaje certified public accountant huku hana academic qualification ya accountancy?

Ni sawa na mtu kua registered electrical engineer huku hajasoma hata certificate ya umeme. Mradi tu amelipia na amefaulu mitihani.

Certification ni profession, na ili uwe professional lazima uwe na academic qualifications kwanza. Hapa Bongo unakua certified profession without academic qualifications. Mambo ya hovyo kabisa.

Elimu ya Tanzania haiishi vituko.
Ndug umekurupuka. Umefika na CPA usingeandika hatua. Tafuta syllabus ya NBAA, angalia content za ATEC I , ATEC II, hadi FINAL STAGE, then linganisha na contents za bachelor in account (vyuo Kama vinne hivi , halafu rudi hapa usome ulichoandika. Kwenye elimu kinachoangaliwa sio Cheti, bali transcript ambayo inaonyesha Ume cover nini, hapo ndio unaangalia credibility ya ulichosoma. in terms of duration, degree ni 3yrs, wakati hizo ATEC I to ATEC II, mtu anapiga hata zaidi ya hapo.
Uwe mtafiti
 
Mkuu hupaswi kukariri. Sisi hii elimu tumeletewa tu na wazungu. Huko kwao wanafanya hivi hivi tena ni rahisi zaidi kwa entry qualification tofauti na hapa. Udaktari na shule kama engeneering lazima ukae darasani ni too practical. Lakini hata hiyo sheria wapo watu wanaipiga kwa mitihani tu wanalamba degree nchi za wenzetu labda mnataka NBAA waanze kutoa degree kwa watu walio clear intermediate kama wanavyofanya ACCA ili kuwaridhisha watu kama nyie mnaotaka kuona cheti hicho tu. Hivi mnafikiri mtu aliyepiga professional exams ni short cut au njia rahisi? Basi kila mwenye degree si angekuwa anajibebea tu CPA? Nenda kafanye hiyo CPA uipate ndio utajifunza adabu kidogo.
Baba una mawe hatari unaongea unachokielewa.
 
CPA kuipata ni ngumu kuliko kuipata iyo degree ya 3 yrs alafu ACCA unaweza ingia kufanya ata ukiwa na experience ya uhasibu. Ila sikuizi watu wengi wameona ili ni short cut ila nina rafiki wa karibu alipofeli form 4 akaenda huko huu ni mwaka wa 4 yupo atec 2 bado anasubiri matokeo akizingua aje kuanza diploma of account hapa TIA. Kwaio kuwa na professional ni nzuri but academic ni nzuri uwenayo ata MAF ili ikusogeze mfano mzuri walimu wengi wa TIA wamepitia mfumo huu ndomana wengi wana CPA na MAF na Phd
 
Elimu ya Tanzania haiishi vituko....

Huku mwetu unaweza kumaliza form four, ukaanza na atecs hadi CPA.

Sasa imetokea shida ofisini kwetu, wanataka senior accountant, awe na bachelor degree na CPA, aliyepo ana CPA ila hana bachelor degree, ni form four leaver, aliajiriwa kama accounts clerk.

Ikija kigezo cha CPA anayo, ikija kigezo cha bachelor degree hana. Unajiuliza mtu anakuaje certified public accountant huku hana academic qualification ya accountancy?

Ni sawa na mtu kua registered electrical engineer huku hajasoma hata certificate ya umeme. Mradi tu amelipia na amefaulu mitihani.

Certification ni profession, na ili uwe professional lazima uwe na academic qualifications kwanza. Hapa Bongo unakua certified profession without academic qualifications. Mambo ya hovyo kabisa.

Elimu ya Tanzania haiishi vituko.

Msingi wa hoja yako ni dhaifu. Umeshindwa kuelewa tofauti ya taaluma na utaalamu. Dunia siku hizi imeelekea kwenye utalaamu zaidi kuliko taaluma. Kasome sera ya elimu ya taifa ya mwaka 2014. Hadi Tanzania imeweka mwelekeo huo kwenye sera. Ungelalamika kwamba sera inatekelezwa polepole, hapo ungeeleweka. NBAA wako sawa kabisa kwenye kuheshimu mitihani yao ya CPA.

Kwa mujibu wa mlinganyo wa elimu, CPA (T) ni sawa Master's degree. Au tuseme, Masters degree ni sawa na CPA. Mtu mwenye CPA kurudi kusoma Masters ni sawa na mtu mwenye masters kusoma masters nyingine.

Angalia pia:

Paukwa!

Watumishi wasio na vyeti vya ufaulu kidato cha nne lakini...
 
Elimu ya Tanzania haiishi vituko.

Ndio maana hatuendelei. Maana flaw kwenye mifumo yetu ya elimu ni mingi mno.

Ndio maana unashangaa, unakua na CPA ya Tanzania, ukitaka kufanya mitihani ya ACCA hupati exemptions kwa kua CPA yetu haieleweki.

Kwa wahasibu watanielewa, ni rahisi Tanzania kupata CPA hata kama wewe sio mhasibu na huna taaluma ya uhasibu, ili mradi tu ufaulu mitihani yake.

Yaani unaweza kua Certified Public Accountant huku huna academic qualification ya accountancy.

Kwa nchi nyingine kitu cha kwanza kupata CPA ni lazima uwe na academic qualifications then uombe kua certified. Nchi nyingine lazima uwe na module hours nyingi sawa na masters ili uwe eligible na CPA.

Huku mwetu unaweza kumaliza form four, ukaanza na atecs hadi CPA.

Sasa imetokea shida ofisini kwetu, wanataka senior accountant, awe na bachelor degree na CPA, aliyepo ana CPA ila hana bachelor degree, ni form four leaver, aliajiriwa kama accounts clerk.

Ikija kigezo cha CPA anayo, ikija kigezo cha bachelor degree hana. Unajiuliza mtu anakuaje certified public accountant huku hana academic qualification ya accountancy?

Ni sawa na mtu kua registered electrical engineer huku hajasoma hata certificate ya umeme. Mradi tu amelipia na amefaulu mitihani.

Certification ni profession, na ili uwe professional lazima uwe na academic qualifications kwanza. Hapa Bongo unakua certified profession without academic qualifications. Mambo ya hovyo kabisa.

Elimu ya Tanzania haiishi vituko.

Your conclusion is way too sweeping!

How much do you know about vocational or technical education? Licensed professionals with no academic degrees aren’t uncommon across the globe. In the U.S., for example, you will find a registered nurse (RN) that doesn’t have a bachelor’s degree in nursing. Similarly, in the U.K., you will find a chartered accountant that doesn’t have a bachelor’s degree in accounting. The list goes on! ...People with no degree just have to work their way through certain stipulated levels.

That said, it’s our human nature to not appreciate what we have! ...The other side of the river always tends to look greener than where you’re!
 
Wakuu,inawezekana kufanya mtihani bila kujiandikisha kituo cha tuition,kwa sababu mm muda ambao tuition zinaendeshwa(jioni)huwa ninakuwa kwenye shughuri zangu za kuniingjzia kipato.naomba kujua tafadhali
 
Japo mm ni mhasibu ila kiukweli taaluma yetu imeingiliwa. Ukiwa na pesa na muda wa kupitia past papers tayari ww ni mhasibu aliyehidhinishwa. Pia ninaye classmate yuko tanapa nilisoma naye akafeli fomu4 wakati si sisi tunaenda advanced yeye a kaanza ATEC.... Leo hii ni mhasibu mzito uko.
Taaluma pekee tz ambayo haijaanza kutiwa najisi ni taaluma ya sheria na udaktari.... Vingine ni ukanjanja tu
Soma Post namba Sita,kuna jamaa ana mhuri wa Lawyer huku ye kasoma PR
 
Nyie acheni kashfa za kipuuzi. Tena bora NBAA maana huko ACCA experience tu ni sehemu ya qualification za kufanya mitihani yao. ATEC hawasomi failure huu ni uongo! Nenda kaone qualification za kuanza ATEC. Alafu hivi unaweza kufananisha mtu aliyefanya professionals exams zaidi ya 20 na hizi njia zingine? Hivi mnafikiri mtu alifanya professional exams kuna kitu unamzidi? Tena zaidi technically humsogelei! Edson tutor wa CPA exams kasoma computer science then kasoma kuanzia Atec hadi CPA unamuweza yule? Unamjua mwl Paul? Yule baada ya form six kapiga ATEC hadi CPA, nafikiri wanaomjua wanajua habari yake. Vipi Rashidi tutor maarufu wa CPA, yule kasoma Bcom finance na kwa qualification hizo alianzia module B hadi CPA na inshort ufahamu wake umejengwa na professional exams, je unamuweza yule? Weka mbali Mkulo (aliyekuwa waziri wa fedha awamu ya nne) huyu baada ya form six kapiga professional exams. Dr Makongoro Mahanga naye ni form 4, ATEC to CPA. Reginald Mengi form six to ACCA. Kashonda ambaye vitabu vyake mnatumia hadi vyuo vikuu ni form six to ACCA. Dr Mndolwa aliyekuwa partner PWC ni form six to ACCA. Niendelee? Inshort professional qualifications kama CPA ni zaidi ya undergraduate degree ndio maana all reputable universities wanaikubali kama direct entry to masters bila kujali umeipata kupitia njia ipi.
Mnatufungua
 
Kuna Shemeji yake mkwe wa mama mdogo ake mjomba wa baba yangu wa kambo, kasoma PR afu ana lawyer stamp!!!
Sijui Law Skul alifauru vipi?
Huh uhusiano mbona kona nyingi? "Just kidding." You can not go to law school in tz without LLB/ meeting the. 16 required law courses. Muulize vizuri kuna kitu hukielewi.
 
Elimu ya Tanzania haiishi vituko.

Ndio maana hatuendelei. Maana flaw kwenye mifumo yetu ya elimu ni mingi mno.

Ndio maana unashangaa, unakua na CPA ya Tanzania, ukitaka kufanya mitihani ya ACCA hupati exemptions kwa kua CPA yetu haieleweki.

Kwa wahasibu watanielewa, ni rahisi Tanzania kupata CPA hata kama wewe sio mhasibu na huna taaluma ya uhasibu, ili mradi tu ufaulu mitihani yake.

Yaani unaweza kua Certified Public Accountant huku huna academic qualification ya accountancy.

Kwa nchi nyingine kitu cha kwanza kupata CPA ni lazima uwe na academic qualifications then uombe kua certified. Nchi nyingine lazima uwe na module hours nyingi sawa na masters ili uwe eligible na CPA.

Huku mwetu unaweza kumaliza form four, ukaanza na atecs hadi CPA.

Sasa imetokea shida ofisini kwetu, wanataka senior accountant, awe na bachelor degree na CPA, aliyepo ana CPA ila hana bachelor degree, ni form four leaver, aliajiriwa kama accounts clerk.

Ikija kigezo cha CPA anayo, ikija kigezo cha bachelor degree hana. Unajiuliza mtu anakuaje certified public accountant huku hana academic qualification ya accountancy?

Ni sawa na mtu kua registered electrical engineer huku hajasoma hata certificate ya umeme. Mradi tu amelipia na amefaulu mitihani.

Certification ni profession, na ili uwe professional lazima uwe na academic qualifications kwanza. Hapa Bongo unakua certified profession without academic qualifications. Mambo ya hovyo kabisa.

Elimu ya Tanzania haiishi vituko.
so wewe una cpa na bachela?
 
Nyie acheni kashfa za kipuuzi. Tena bora NBAA maana huko ACCA experience tu ni sehemu ya qualification za kufanya mitihani yao. ATEC hawasomi failure huu ni uongo! Nenda kaone qualification za kuanza ATEC. Alafu hivi unaweza kufananisha mtu aliyefanya professionals exams zaidi ya 20 na hizi njia zingine? Hivi mnafikiri mtu alifanya professional exams kuna kitu unamzidi? Tena zaidi technically humsogelei! Edson tutor wa CPA exams kasoma computer science then kasoma kuanzia Atec hadi CPA unamuweza yule? Unamjua mwl Paul? Yule baada ya form six kapiga ATEC hadi CPA, nafikiri wanaomjua wanajua habari yake. Vipi Rashidi tutor maarufu wa CPA, yule kasoma Bcom finance na kwa qualification hizo alianzia module B hadi CPA na inshort ufahamu wake umejengwa na professional exams, je unamuweza yule? Weka mbali Mkulo (aliyekuwa waziri wa fedha awamu ya nne) huyu baada ya form six kapiga professional exams. Dr Makongoro Mahanga naye ni form 4, ATEC to CPA. Reginald Mengi form six to ACCA. Kashonda ambaye vitabu vyake mnatumia hadi vyuo vikuu ni form six to ACCA. Dr Mndolwa aliyekuwa partner PWC ni form six to ACCA. Niendelee? Inshort professional qualifications kama CPA ni zaidi ya undergraduate degree ndio maana all reputable universities wanaikubali kama direct entry to masters bila kujali umeipata kupitia njia ipi.
Big up Mkuu, umeeleza kwa undani zaidi now all certifed Public Accountant endeleeni kutembea kifua juu. Kukapata kadude hako sio mchezo mchezo bana:):):):)
 
Mkuu naona upo sawa ,ila nijuavyo mimi ili uwe competent(sio kwa kukariri and pass CPA baada ya Degree kama BCOM)lazima kwanza ufanye kazi kidogo kama 1 year au 2 katika busy organization,baada ya kujua mazingira ya kazi unaenda kusoma CPA.Baada ya kufaulu unarudi kazini huku ukiwa na uelewa kati ya mazingira ya kazi na shule ya CPA kwa pamoja .Hii itakusaidia kutumia elimu ya CPA katika kuboresha uelewa wako na changamoto mbali mbali maofisini na kuwa mhasibu bora kabisa.

Mimi nipo kwenye field ya accounting and finance kwa muda ,na tunaona vijana waliomaliza Bcom bila CPA na wale waliofanya BCOM na CPA bila kuajiriwa au kujiajiri wasivyoweza kufanya chochote ofisini hata baada ya mwaka 1 wa kufundishwa kazi.
 
Nyie acheni kashfa za kipuuzi. Tena bora NBAA maana huko ACCA experience tu ni sehemu ya qualification za kufanya mitihani yao. ATEC hawasomi failure huu ni uongo! Nenda kaone qualification za kuanza ATEC. Alafu hivi unaweza kufananisha mtu aliyefanya professionals exams zaidi ya 20 na hizi njia zingine? Hivi mnafikiri mtu alifanya professional exams kuna kitu unamzidi? Tena zaidi technically humsogelei! Edson tutor wa CPA exams kasoma computer science then kasoma kuanzia Atec hadi CPA unamuweza yule? Unamjua mwl Paul? Yule baada ya form six kapiga ATEC hadi CPA, nafikiri wanaomjua wanajua habari yake. Vipi Rashidi tutor maarufu wa CPA, yule kasoma Bcom finance na kwa qualification hizo alianzia module B hadi CPA na inshort ufahamu wake umejengwa na professional exams, je unamuweza yule? Weka mbali Mkulo (aliyekuwa waziri wa fedha awamu ya nne) huyu baada ya form six kapiga professional exams. Dr Makongoro Mahanga naye ni form 4, ATEC to CPA. Reginald Mengi form six to ACCA. Kashonda ambaye vitabu vyake mnatumia hadi vyuo vikuu ni form six to ACCA. Dr Mndolwa aliyekuwa partner PWC ni form six to ACCA. Niendelee? Inshort professional qualifications kama CPA ni zaidi ya undergraduate degree ndio maana all reputable universities wanaikubali kama direct entry to masters bila kujali umeipata kupitia njia ipi.

Kuwa mwalimu wa CPA hakuna uhusiano wa moja kwa moja na uwezo wa kufanya vizuri katika field,CPA ina maswali yanayojirudia na ndio maana kwa mtu serios ni rahisi kupata CPA ,huyo Rashid unayemsema kwanza tukiwa naye UDSM mwaka wa 1 tayari alikuwa amefaulu module D akianza module E wakati huo.Na pale chuo kikuu alikuwa bingwa wa kusolve maswali ya MA na FA,alipomaliza second semester ya second year alibeba CPA,Sasa hizi background zingine hasa za waalimu wa CPA zimetoka mbali na walifanya juhudi kubwa sana katika masomo yao.
 
Mtoa mada anajihisi ana uelewa pasipokujua kichwan ana kamasi la kutosha.... unaanzaje kumuita mtu mwenye CPA form four leaver?
Naomba nianzie hapa,
Eti ni rahisi hapa Tanzania kupata CPA hta kama sio muhasibu, kwa uelewa wako mdogo unafikiri ukitoka chuo na kabachelor chako eti wewe ni muhasibu... wewe ni karani wa fedha... ukipata CPA ndo unakuwa muhasibu.

Pili, mtu anayetoka form four na kuanza kuitafuta CPA, anaanzia stage za chini mnoo ili kuandaliwa vyema kuwa muhasibu, husifikiri mtu wa form four anaanza stage sawa na karan wa fedha aliyetoka chuo..

Mwsho kabisaa, jitahid urud darasan... ili nafas kama hizo zisikupite, na sio kukalia kelele zisizo na mashiko.
 
Nyie acheni kashfa za kipuuzi. Tena bora NBAA maana huko ACCA experience tu ni sehemu ya qualification za kufanya mitihani yao. ATEC hawasomi failure huu ni uongo! Nenda kaone qualification za kuanza ATEC. Alafu hivi unaweza kufananisha mtu aliyefanya professionals exams zaidi ya 20 na hizi njia zingine? Hivi mnafikiri mtu alifanya professional exams kuna kitu unamzidi? Tena zaidi technically humsogelei! Edson tutor wa CPA exams kasoma computer science then kasoma kuanzia Atec hadi CPA unamuweza yule? Unamjua mwl Paul? Yule baada ya form six kapiga ATEC hadi CPA, nafikiri wanaomjua wanajua habari yake. Vipi Rashidi tutor maarufu wa CPA, yule kasoma Bcom finance na kwa qualification hizo alianzia module B hadi CPA na inshort ufahamu wake umejengwa na professional exams, je unamuweza yule? Weka mbali Mkulo (aliyekuwa waziri wa fedha awamu ya nne) huyu baada ya form six kapiga professional exams. Dr Makongoro Mahanga naye ni form 4, ATEC to CPA. Reginald Mengi form six to ACCA. Kashonda ambaye vitabu vyake mnatumia hadi vyuo vikuu ni form six to ACCA. Dr Mndolwa aliyekuwa partner PWC ni form six to ACCA. Niendelee? Inshort professional qualifications kama CPA ni zaidi ya undergraduate degree ndio maana all reputable universities wanaikubali kama direct entry to masters bila kujali umeipata kupitia njia ipi.

Bro, unajua.
 
Back
Top Bottom