CP Chagonja: Maandamano ya CHADEMA kesho ni batili

CP Chagonja: Maandamano ya CHADEMA kesho ni batili

Munaleta chokochoko kwa maslahi yenu wakisubutu tu ni kuvunjwa migu ndio dawa yao kisha kutupwa jela kesho nnataarifa ya kikao haramu sehemu nitalialika jeshi la police mapema nitaifanya kazi hi kwa nguvu zangu zote kwa maslahi ya Taifa hili watu wachache hawawezi kutuletea upumbavu ktk nchi yenye utulivu kwa tamaa zao
sema kwa maslahi ya lumumba na ccm kiujumla.
 
Wewe kilaza weka namba ya simu uone tunavyo kukamata kama kuku

------ wewe yaani unamtaka aweke namba hapa ili umkamate, weka ya kwako punga wewe...Hivi unadhani kila mtanzania anaogopa kukamatwa kwa upumbavu wenu...
 
kuna wakati serikali haitakiwi kubembeleza watu kiasi hicho na ikaeleweka na hapo ndipo inapotakiwa kutumia nguvu za ziada kupambana na raia wasio wasikivu.
mkuu serikali inapopambana na raia wake wenyewe ni hatari, na uharamu wa hali ya juu.
 
kweli kabisa. Josephine Mushumbusi tangu wamtandike marungu amekoma

Kwani nyie vifaranga wa lumumba kwanini mnapenda kuwa kashifu viongozi wetu wa upinzani?hapo wake za viongozi wanaingiaje?mbona wenzenu upinzani hatu washambulii viongozi wenu?au mmeambiwa siasa ni uadui?
 
Munaleta chokochoko kwa maslahi yenu wakisubutu tu ni kuvunjwa migu ndio dawa yao kisha kutupwa jela kesho nnataarifa ya kikao haramu sehemu nitalialika jeshi la police mapema nitaifanya kazi hi kwa nguvu zangu zote kwa maslahi ya Taifa hili watu wachache hawawezi kutuletea upumbavu ktk nchi yenye utulivu kwa tamaa zao

Mbona hutumii nguvu zako hizo kuwataja na kuwakamata wezi wa Epa,wanaoua tembo,wanaotorosha twiga,wanawaibia wananchi rasilimali zao kila kukicha?richmond,wanaotorosha fedha za walipa kodi nje ya nchi?Jitambue wacha kutumika
 
Munaleta chokochoko kwa maslahi yenu wakisubutu tu ni kuvunjwa migu ndio dawa yao kisha kutupwa jela kesho nnataarifa ya kikao haramu sehemu nitalialika jeshi la police mapema nitaifanya kazi hi kwa nguvu zangu zote kwa maslahi ya Taifa hili watu wachache hawawezi kutuletea upumbavu ktk nchi yenye utulivu kwa tamaa zao

mbona hautumii nguvu zako kuwatipoti wanaoingiza madawa ya kulevya na kuwadhuru vijana wa taifa letu?
 
kabla ya uchaguzi mkuu wa cfm alijitokeza mtu mmoja anaitwa kansa kumpinga mbowe hasigombee nafasi ya wenyekiti taifa na akapata uungwaji mkono mkubwa toka kwa lumumba team,sasa nawauliza yuko wapi Kansa?
 
Mimi nasema kila siku kwamba tunahamu na kupiga tangu tutoke depo hatujawahi kupiga watu ninabuti langu jipya hutumia kwenye paredi nitaanza na mbatia ukizingatia hana nywele lazima nimpasue kabisa bichwa lile.
Acha ujinga ww hiyo njaa yako isikufanye uonekane mwehu
 
Kitendo cha polisi kuzuia maandamano kuwapiga raia hasa wanahabari kinazidi kuipaisha chadema zaidi.Kwa wiki nzima inayoisha kesho,vyombo vyote vya habari ni Chadem tu.Mpaka watu kutoka huko kijijini wananipigia wakiuliza,hivi Chadema vipi tena..nawaambia Tunaonewa na polisi wakizuia kuandamana.Kitendo cha polisi kutanda kila mahali ndani ya miji mikubwa km Arusha,Dodoma,Morogoro na Dar kina-create attention ya watu kujua nn kinaendelea.Asante Chadema kwa kutumia Indirect method kujitangaza.Asante polisi kwa kuendelea "KUJILA" mkizuia maandamano hewa.
 
Ha ha ha mkuu umenichekesha sana, isije kuwa wakapata ebola moja kwa moja.

Iwapate mara ngapi mkuu? we huwaoni wanavyoogopana kila m1 hamwamini mwenziwe. CCM ni Chama Cha Magonjwa sugu duniani (ebola, ukimwi, magonjwa ya akili, tb n.k) yani ukitia tu mguu kwenye hiki chama haichukui hata sek 1 ushaambukizwa
 
Back
Top Bottom