CP Chagonja: Maandamano ya CHADEMA kesho ni batili

CP Chagonja: Maandamano ya CHADEMA kesho ni batili

Wenye hamu ya kuolewa jela na waandamane
 
Halafu wee choko njoo Dodoma kesho nikuonyeshe kazi mjinga mkubwa wee!!! Si unajidai hapa? kesho tukutane ulingoni!!

Wewe kilaza weka namba ya simu uone tunavyo kukamata kama kuku
 
Niwekeni sawa kijeshi hakuna shida, but kipolice kuna msemaji wao na boss ni IGP sasa changoja ni CP so why kila jambo usema yeye tuuuuuuuu ambalo ndani yake lina siasa na sio kusema msemaji wa police?

Asante kwa majibu.
 
Msafara wa mamba pya kenge wapo, nyie mnaopinga maandamano ni kenge tukianzisha lazima muipende japo kimoyo moyo 😎
 
Huyu Chaugonjwa nae asifikiri kuminya haki kutamsaidia chochote, hawa ndio wa kwanza kupelekwa ICC, yetu macho Chaugonjwa, Gadafi hakujua kama atafia kwenye shimo la maji taka.

Nonsenseee.. Unafahamu kilichomuua gadafi.. !??
 
Fafanua mkuu! nchi inavurugwaje?Kwani maandamano hayo yana maudhui gani?

MAANDAMANI HAYANA SURA YA KITAIFA YAMEITISHWANA WATU WASEHEMU MOJA MBOE MCHAGA,MNYIKA MPARE,MDEE MPARE,mutangulie nyinyi kwanza. .
 
MAANDAMANI HAYANA SURA YA KITAIFA YAMEITISHWANA WATU WASEHEMU MOJA MBOE MCHAGA,MNYIKA MPARE,MDEE MPARE,mutangulie nyinyi kwanza. .

Vitu vingine tusikurupukie tutauzwa na wanasiasa kwa maslahi yao binafsi
 
mbona cdm imewachanganya hiv??!!! hata kulala mmeshindwa!! Kweli hiki chama sasa ni tishio.
 
Mshabikie chagonja and co...ila kinachofanyika sasa ndio kaburi la ccm sio kagonja wa mamunyange anayeweza kuzuia nguvu ya umma sio kwa mitutu wala mabomu raia ni wengi daima kuliko majeshi. yakichanganywa majeshi yote mpaka mgambo wa tz kila mmoja atatakiwa kuwaua raia 164 je ni polisi yupi? mwanajeshi yupi? mgambo yupi? askari magereza au uhamiaji yupi anayeweza kuua idadi yote iyo kwa wakati mmoja??? ni dunia ipi itavumilia mauaji hayo? na mpaka kila askari aue watu wote hao wao watakuwa wamekufa wangapi?? askari gani atakaye ua tanga watu 164 wakati ndugu zake wanakufa mwanza kwa ajili ya amri ya mtu mmoja??? tumeshuhudia mara ngapi askari wa marekani wakijilipua wenyewe kambini na kwingineko kwa kutoridhika na amri ya kuua? chezea pesa usichezee amani ndogo kama sio uoga au umuamshe aliye lala. ni angalizo kwako ujifunze kipi si na kipi ni chakushabikia.




Ameonya yoyote asihudhurie maandamano hayo ambayo kitengo cha inteligensia kimebaini.

Chanzo: ITV Habari
 
Back
Top Bottom