CP Chagonja: Maandamano ya CHADEMA kesho ni batili

CP Chagonja: Maandamano ya CHADEMA kesho ni batili

Huyu Chaugonjwa nae asifikiri kuminya haki kutamsaidia chochote, hawa ndio wa kwanza kupelekwa ICC, yetu macho Chaugonjwa, Gadafi hakujua kama atafia kwenye shimo la maji taka.
baada ya karata ya katiba kushindwa sasa cdm wanataka kuleta fujo nchini. macdm wamegeuka misukule hawajui wanapigania nini. raia wengine wanawastaajabu.
 
Kamanda Chagonja shughulikia hao wahuni ikiwezekana kesho wasitoke hata majumbani kwao.
 
baada ya karata ya katiba kushindwa sasa cdm wanataka kuleta fujo nchini. macdm wamegeuka misukule hawajui wanapigania nini. raia wengine wanawastaajabu.
Tatizo la chadema hakuna kiongozi hata mmoja mwenye akili wako kama kondoo wanakurupuka tu.
 
Pumbavu niko dodoma mpaka sasa nimekuja kwenye bunge maalumu kijiwe changu kikubwa mwanga bar pale majengo ntakupa na simu yangu,wewe katika wachaga wajinga wewe unaongoza.

Baada ya bunge kuisha narudi simiyu nafunga buti zangu kuwachapa kama kawaida unaleta ushamba wako wa kishumundu hapa.

Tuonane, tujue nani aliyetoka depo ----- wewe.Hao wenzako pale CCP tuliwahi kuwatandika hadi wakajinyea..Wala siwezi kupambana na sisimizi kama wewe! Mimi nipo kuhakikisha majambazi hayaendelei kufuja hela za walalahoi korokoroni wewe!!!!!
 
We Love To Fight ,we Can Fight ,fighting 4right. Gadaffi Aliwatisha Sana Watu Kwa Kuwa Fyaturia Risasi Raia Lakn Mwisho Ukifika Umefika .,,wana Ccm Nikama Wajenz Wa Mnara Wa Baberi Mwisho Wake Ulipofika Wajenz Walipalanganyuka,
 
Ni akili mbovu kuandamani wakati aliehimiza maandamano yuko kwake anaangalia mnavyopigwa ktk tv. Mpigwe kwa manufaa yake kisiasa, nenden gerezani mkitoka mtatukuta ushwahilini tunaendelea na maisha kama kawaida.
Shule ulienda kufanya nini mkuu.ni lini na wapi amiri jeshi mkuu amewahi kuwa mstari wa mbele wa mapambano.mmekuwa wajinga wa kupitiliza
 
uzi umejaa mapepo ya rangi ya kijani, ngoja nianze kukemea
 
Back
Top Bottom