CP Chagonja: Maandamano ya CHADEMA kesho ni batili

CP Chagonja: Maandamano ya CHADEMA kesho ni batili

Huyu Chaugonjwa nae asifikiri kuminya haki kutamsaidia chochote, hawa ndio wa kwanza kupelekwa ICC, yetu macho Chaugonjwa, Gadafi hakujua kama atafia kwenye shimo la maji taka.
 
Ndo maana huwa naunga mkono wanavyopigwa na mabomu na kushambuliwa na risasi maana kazi ya polisi wetu ni kupambana na raia na sio kuwalinda
 
Sioni hata sababu ya kufanya maandamano hiyo kesho
 
Wasipomtanguliza Joyce Mukya hatuandamani ng'ooooo...!!!!
 
Back
Top Bottom