hawa walitaka kuuana hawa.
Mkuu,
Kuna sheria na taratibu zinazowalinda watu katika kuwaanika kwenye mitandao na mabarazani bila ruhusa yao.
Be careful usije ukajikuta matatani na mkono wa sheria katika hii kitu inayoitwa THE RIGHT TO BE FORGOTTEN (Privacy right)
mbona ni wanawake weusi tuu wa bongo na wazungu sioni wanaume wa bongo na wazungu wa kike??
i never knew this..
Man,
You must be living on another planet (Tanzania planet)
Hili ndilo tatizo kwa wanaojiita wana habari Tanzania. Yaani unakuta jamaa ana copy & paste picha au story za watu hata kama wako uchi.
Wenzetu huku Magharibi hii kitu wanakuwa nayo so careful na wakitaka kufanya hivyo lazima wamfahamisha muhusika kwanza kabla ya ku-publish
mbona ni wanawake weusi tuu wa bongo na wazungu sioni wanaume wa bongo na wazungu wa kike??