Mu-Israeli
JF-Expert Member
- Mar 21, 2012
- 2,454
- 975
hivi hakuna wanaume waswahili tunaobeba watoto wa kitasha maana naona dada zetu tu ndo wanapenda interracial
Labda tuone hii kwa kuanzia...
hivi hakuna wanaume waswahili tunaobeba watoto wa kitasha maana naona dada zetu tu ndo wanapenda interracial
ilisambaratika kwa sababu labda jamaa alifuliaHii ndio maana ilisarambatika_hawaendani hata kidogo.
Labda tuone hii kwa kuanzia...
Man,
You must be living on another planet (Tanzania planet)
Hili ndilo tatizo kwa wanaojiita wana habari Tanzania. Yaani unakuta jamaa ana copy & paste picha au story za watu hata kama wako uchi.
Wenzetu huku Magharibi hii kitu wanakuwa nayo so careful na wakitaka kufanya hivyo lazima wamfahamisha muhusika kwanza kabla ya ku-publish