Couples za JF ni hizi...!

Umenikwaza!! njoo chumbani huku nikwambie mamiii!
 
Pearl, hiki kiapo kimetulia, nimeipenda sehemu iliyo-fade
 
Couple zilizopendekezwa mkishakubaliana mtuambie Tuanze Michango
 
Hureeeeeeeeeeee!!!
At last!..
Nitakununulia ndege!(sio njiwa)
Nitakujengea gorofa
Nitakupeleka ughaibuni!

Si unaona...hata Mwanakijiji hawezi hii maneno!

wakwetu isije kuwa ni microlite...fafanua kidogo
 
Masaki and bht
nawaonaga huku ndani wana interaction nzuri sana, wanaweza kuwa wenzi wazuri sana hawa

aaaah ICU nitake radhi, umenikwaza......hiyo interaction ya sana na mimi na huyo jamaa iko wapi bana.......huyo hata ukinipa afu uniongezee na vijisenti staki!!!!!!!!!!!!!!!

umenikwaza!!!!!!!!!!!
 
BWABWA na NYIVONDUMAR

CHEUSI MANGARA NA MASANILO

ICU NA MWAKITAKOTAKO

PRETA NA MWAKIPUMBU

Huyo hapo kwenyer red lazima atakuwa aidha Mmalawi (Mnyasa) au mutu ya Zaire!
 
BWABWA na NYIVONDUMAR

CHEUSI MANGARA NA MASANILO

ICU NA MWAKITAKOTAKO

PRETA NA MWAKIPUMBU

hapo sasa itanilazimu niende kukariri (sijui ni mapenzi yale au matusi) yale maneno kule kwenye sredi ya kina shemeji
 
Niko tayari!
Bora uishi maisha ya mateso, lakini na KITU MUJARABU kama weye!
Ntakuwa najikausha tu kiume!, ili mradi tunakuwa pamoja MITOKO etc!
Hata kama ukisema kila mtu alale chumba chake sawa, ili mradi tukiwa barabarani unipige busu hazarani!
 
'Kwa niaba ya wana jei efu wote' namchukua Egyps Women.

Kwa niaba nyingine naomba Ktk harusi yetu FL1 na shemeji wawe wasimamiz wa harusi yetu. (If u no wor ai miin).

Samahani kama sijakwaza mtu!

hahaha hehehe kama ni He mwenzio ..wasiwasi wangu...
 
aaaah ICU nitake radhi, umenikwaza......hiyo interaction ya sana na mimi na huyo jamaa iko wapi bana.......huyo hata ukinipa afu uniongezee na vijisenti staki!!!!!!!!!!!!!!!
ha ha ha bibie jamaa akisoma hapo atakwazika!!
 
Masaki and bht
nawaonaga huku ndani wana interaction nzuri sana, wanaweza kuwa wenzi wazuri sana hawa

ICU unamfahamu Balantanda au unamsikia? Utadundwa, shauri yako!
 

uwiiiiiiiiiiiiiiiiiiii pearl yani umeshajitwalia pj hivi hivi anywhy nitasubiri kifo kiwatenganishe mm nijitwalie
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…