Evarm
JF-Expert Member
- Aug 30, 2010
- 2,000
- 1,560
Avatar yako inaonyesha u ngali mchanga...ukikua utampata tu!!!
Nshakua mkuu Rejao, au hadi............?????
Avatar yako inaonyesha u ngali mchanga...ukikua utampata tu!!!
PRETA! naomba kukloz hii topic!
Usijali, utampata tu! tatizo mi ninao wengi...as long as dini inaruhusu...utakubali kuwa wanne? cuz watatu wapo hapa tayari!!Nshakua mkuu Rejao, au hadi............?????
Mi bado sijapata, usinipeperushie ndege wangu!
Sio hivyo Dear.. Huyu ndugu yangu kabisa wa damu.. Ila basi tu ananinyanyasa...
Ahsante saana Sheikh Yahya wetu mpya! naomba nami nitabirie kama wakwngu yumo humu kunako jf.kwa mtazamo wangu ni kama ifuatavyo:
pakajimmy + WOS (familia itakuwa na adabu)
bht + balantanda (hilo halina mjadala)
pearl + drphone (imetulia)
MMK + FL1 (hawa ndugu watawaonea sana)
kigogo + birigita (mmhh)
Lilyflower + rayB (watacope)
Fidel + Maria Roza (hapa kutakesha)
Masanilo + Annina (mbona bibie atajiju)
Bado nitaendelea.......
Nawaona tu hapo juu mnavyochakachua thread ya PJ
kweli aise
naona karibuni watanianzishia topic ya kuchakachua siredi za watu
ngoja niache kabisa
Bora maana imekuwa balaa
muda wote huo tangu hii posti imewekwa we hujapata tu!!! mi nnao 4 nikupe mmoja kwenye hao! ok mchukue rejaoMi bado sijapata, usinipeperushie ndege wangu!
nooo! tuifunge,mi wanazidi kumiminika jamani! ntawaweka wapi!!!a a....tukiklozi tutaharibu....tungojengoje kwanza......
nooo! tuifunge,mi wanazidi kumiminika jamani! ntawaweka wapi!!!
muda wote huo tangu hii posti imewekwa we hujapata tu!!! mi nnao 4 nikupe mmoja kwenye hao! ok mchukue rejao
yahh! Jf idumu na ishukuliwe daima!!!mhhh aise huoni ni baraka hizo :lol:
kha!! Nakupa hutaki!! Afu bado unalalamika ooh! Mi sijapata!!eeh sema unamtaka yupi!!rejao hanifai ana wengi huyo!:eyebrows::eyebrows:
kha!! Nakupa hutaki!! Afu bado unalalamika ooh! Mi sijapata!!eeh sema unamtaka yupi!!
naona umenichoka laazizi!! Unatamka hayo humu jamnvini!!!ama unatania!!labda mr rocky ila mwambie full booked tena wapo wengi wako pending wanasubiri chance tuu nani atajitoa
kha!! Nakupa hutaki!! Afu bado unalalamika ooh! Mi sijapata!!eeh sema unamtaka yupi!!
sio mm ni hii keybord yangu mpenzi!! No!! Lazima upate !! Acha nikuperuzie!!!umeongea kwa kali mpenzi hadi nkaogopa kuchagua, basi mi sitaki kuwa na couple humu!!!thanx for your concern by the way.