Couples za JF ni hizi...!

Tafadhali nitake radhi.naanza kuhesabu 5,4.........
Mie sio Yanga,siwezi kuwa timu ya walioshindwa.Mie siku zote nakuwa timu ya washindi.Kwa kifupi hata Toto afrika wakitwaa kombe basi nitakuwa Toto afrika.

Aaaaaa weewe!!!!!Una maana mwenye hela ndiyo wako hutaki mchovu! Acha hiyo kuwa mzalendo
 
Hivi NN kashachukuliwa wadau?
 
Bujibuji atakuwa Padre wa kuwafungisheni ninyi ndoa
 
Yaani mimi Preta kanikamata mbaya hata simchoki I wish nimwone maeneo ya fukwe za mbezi anaonekana ni bonge la Lady na mwelewa. Ila siwezi kuwa naye maana ntampenda kupitiliza nikawa Bushoke then akantesa

hapo panahusu sana...
 
naona hii thread tuiupdate....mambo yameongezeka humu jukwaani......hali ni tete kiujumla

Ni kweli mengi yameshajiri humu!!lakini ni busara tukianzia kwako!hebu Preta tuanzie kwako, twambie wa kwako ni nani humu?
 
:tape::tape::tape::tape: Mmmmmhhhhh mi sisemi


hahaha mbona umekasirika Mama Big

Hii Sredi wakati inachakachuliwa hukuwepo . na hata mtoa mada hilo jina hapo sijui kama unamfahamu.
unaweza kuongeza list :smile:
 
Mimi napenda kitambaa cheupe!:hippie::hippie::hippie:
 
Asprin nimeku-mr vibaya sana ................upo?
 


Thanx God Masanilo sasa ni Rev...



Annina


 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…