kiwatengu
Platinum Member
- Apr 6, 2012
- 19,270
- 17,721
Ulikuwa na maana gani kwa haya maandishi?
Last edited by a moderator:
ni wewe au nafananisha?ngoja nrudi kule
Unajua kuna jamaa alikuwa amenipa kazi ya kumuunganishia Kaunga... sasa ndo nilikuwa namuuliza keshawahiwa?... we ni wangu tu amu, usijali...
mmmh!!!
Unajua kuna jamaa alikuwa amenipa kazi ya kumuunganishia Kaunga... sasa ndo nilikuwa namuuliza keshawahiwa?... we ni wangu tu amu, usijali...
amu huyu ndo shemeji eeeh!! Ebu nambie nipige vigelegele huku
asante kwa kuweka mambo sawa...
Wacha mi nikwambie tu... mi ndiye...