Waufukweni
JF-Expert Member
- May 16, 2024
- 2,142
- 5,877
Wakuu vilabu vyetu vinaubonda mwingi Afrika!.
Klabu za soka za Simba na Yanga za Tanzania, zimetajwa na Shirikisho la Soka Afrika (CAF) kwenye orodha ya klabu 10 zinazowania tuzo ya Klabu Bora mwaka 2024 kwa upande wa wanaume
Klabu hizi zimekuwa na mafanikio makubwa katika mashindano ya kimataifa na ndani ya nchi, zikionyesha ubora wao katika soka la Afrika.
Club of the Year (Men) - Nominees
Petro Luanda 🇦🇴
TP Mazembe 🇨🇩
Al Ahly 🇪🇬
Zamalek 🇪🇬
Dreams FC 🇬🇭
RS Berkane 🇲🇦
Mamelodi Sundowns 🇿🇦
Simba SC 🇹🇿
Yanga SC 🇹🇿
Esperance de Tunis 🇲🇦
Tuchambue hapa bila unazi nani atafika mbali kwenye Tuzo hizi?
Klabu za soka za Simba na Yanga za Tanzania, zimetajwa na Shirikisho la Soka Afrika (CAF) kwenye orodha ya klabu 10 zinazowania tuzo ya Klabu Bora mwaka 2024 kwa upande wa wanaume
Klabu hizi zimekuwa na mafanikio makubwa katika mashindano ya kimataifa na ndani ya nchi, zikionyesha ubora wao katika soka la Afrika.
Petro Luanda 🇦🇴
TP Mazembe 🇨🇩
Al Ahly 🇪🇬
Zamalek 🇪🇬
Dreams FC 🇬🇭
RS Berkane 🇲🇦
Mamelodi Sundowns 🇿🇦
Simba SC 🇹🇿
Yanga SC 🇹🇿
Esperance de Tunis 🇲🇦
Tuchambue hapa bila unazi nani atafika mbali kwenye Tuzo hizi?