MwanajamiiOne
Platinum Member
- Jul 24, 2008
- 10,470
- 6,562
Wapenzi wangu
Ni matumaini yangu kuwa wote mlikuwa na weekend jema na mmepumzika vya kutosha.
This weekend dadangu amejikuta akikumbwa na majaribu from one of her long time secret lover (sijui kama ni sahihi kumwita secret lover kwa kuwa alishawahilipasua jipu kwa sisy na sisy akajua ila circumstance haikuruhusu kwa wawili hao kuwa pamoja -Sisy alikuwa alizaa na mtu mwingine (hawakai pamoja na jamaa akaoa after seeing sisy kaamua kuzaa na mwingine). Huyu 'shemeji' yangu amekuwa "in love" na dada for more than 13 years... nimeiweka kwenye mabano kwa kuwa siweziithibitisha.......but he has been there despite knowing her relationships status.
This shem of mine ameoa..........but he keep saying that his heart iko kwa sisy!! Na kweli he has been there yaani anything happened to my sisy the guy is there (sometimes huwa namwonea sisy wivu!!). BUT mara zote dada amekuwa akiavoid kukutana na huyu mkaka faragha i.e. sehemu ambayo watakuwa peke yao tu.
Leo jioni dada aliamua kumsikiza (kwa kuwa amekuwa akimsihi kwa muda wote huo) ........mkaka wa watu si akajielezea hisia kwa kilio yaani dada amekuwa shocked hajawahi ona mwanaume anatoa machozi na kuongea kwa uchungu namna hiyo (even after all those years). Amechanganyikiwa na anahisi kama maamuzi yake yanawezakuwa influence.............kanitaka ushauri.
MwanajamiiOne mie nimebaki majicho yamentoka (na yalivyo makubwa basi natisha ka mjusi alobanwa na mlango)- Dada anaonekana kuanza kufall kwa huyu mkaka.....(mh hata sijui ni aje)
Ninaomba msaada wenu
Could this be true love from this man?? Mwanaume kulilia penzi na kulisotea kwa miaka yote hii does it have any meaning?
Ni matumaini yangu kuwa wote mlikuwa na weekend jema na mmepumzika vya kutosha.
This weekend dadangu amejikuta akikumbwa na majaribu from one of her long time secret lover (sijui kama ni sahihi kumwita secret lover kwa kuwa alishawahilipasua jipu kwa sisy na sisy akajua ila circumstance haikuruhusu kwa wawili hao kuwa pamoja -Sisy alikuwa alizaa na mtu mwingine (hawakai pamoja na jamaa akaoa after seeing sisy kaamua kuzaa na mwingine). Huyu 'shemeji' yangu amekuwa "in love" na dada for more than 13 years... nimeiweka kwenye mabano kwa kuwa siweziithibitisha.......but he has been there despite knowing her relationships status.
This shem of mine ameoa..........but he keep saying that his heart iko kwa sisy!! Na kweli he has been there yaani anything happened to my sisy the guy is there (sometimes huwa namwonea sisy wivu!!). BUT mara zote dada amekuwa akiavoid kukutana na huyu mkaka faragha i.e. sehemu ambayo watakuwa peke yao tu.
Leo jioni dada aliamua kumsikiza (kwa kuwa amekuwa akimsihi kwa muda wote huo) ........mkaka wa watu si akajielezea hisia kwa kilio yaani dada amekuwa shocked hajawahi ona mwanaume anatoa machozi na kuongea kwa uchungu namna hiyo (even after all those years). Amechanganyikiwa na anahisi kama maamuzi yake yanawezakuwa influence.............kanitaka ushauri.
MwanajamiiOne mie nimebaki majicho yamentoka (na yalivyo makubwa basi natisha ka mjusi alobanwa na mlango)- Dada anaonekana kuanza kufall kwa huyu mkaka.....(mh hata sijui ni aje)
Ninaomba msaada wenu
Could this be true love from this man?? Mwanaume kulilia penzi na kulisotea kwa miaka yote hii does it have any meaning?