Mmepigwa! miaka kumi wachina mnawalipa mabilioni ku operate. Wewe endelea kutetea ujinga, Vipi wachina wameacha kuwachapa viboko!?mambo mengine kama haujaui afadhali unyamaze.....
Pale mwanzo ilikua unakuta Wachina ndo wanafanya Kazi zote muhimu za engineering, Wakenya na nguo zao safi wanaangalia tu na kuandika..
Ikaja wakati unaona wachina bado wanafanya kazi kubwa kubwa wakenya wanafanya ndogo ndogo...
Sahii unaaza kuona Wakenya ndo wanafanya kazi kwa mitambo critical lakini supervisor anayewasimamia bado ni Mchina .... Baada ya miaka mitano ndo inatarajiwa wafanyikazi 99% wa kila kitu watakua ni wakenya ndani ya hio kamuni ya Kichina iliopewa kandarasi ya Maintenance, hio kampuni ndo itaendelea kufanya Maintanance and repair kwa miaka miengine mitano ikimanage hao wakenya, mda huo ukiisha ndo kampuni hio itamilikiwa na Kenya Railway......
------
Lakini mijitu kama nyinyi ambao hamjasoma ripoti ya hayo makubaliano mnafungua midomo bila kujielewa mnaongelea nini
Tutawalipa kwa raha zetu mpaka tushike kila kitu vizuri, kampuni hio ya maintenance ilianza 30% wachina hadi iwe 1% wachina after 5 years 100% after that.... Project iko na lifetime ya 100 Years!!!! ....... Tazara mmeiuwa baada ya miaka 30 tu! endeleeni na mtindo huo huo!Mmepigwa! miaka kumi wachina mnawalipa mabilioni ku operate. Wewe endelea kutetea ujinga, Vipi wachina wameacha kuwachapa viboko!?
Sent using Jamii Forums mobile app
Hii imetokea liniNionyeshe picha za hii incidence at Maai Mahiu iliyoua Wakenya wawili!
Winds brought down SGR bridge: Kenya Railways
Maintenance, Management, Repair........ Waanafunzzi ambao wamekua wakifaanyiwa mafunzo tangu 2016 pole pole wanaanza kupewa majukumu makubwa na mwishowe baada ya miaka mitano inatarajiwa wataachiwa majukumu yote..
Train Inspection
Sehemu ambayo bado Wakenya hawajaachiwa ni Traffic command and Control ambapo ukibofya vibaya unaweza kufanya treni mbili zigongane, Kuna wakenya kadhaa kama 24 wametumwa Jiotong University kule China Kusomea ku operate hio traffic controll system
Majuzi
Aisee, hii reli ya ng'ombe ina walakini hawa jirani zetu inabidi wawe makini sana, hayo ndio madhara ya contractor na consultants kuwa kitu kimoja hakuna oversight...Majuzi
Habari ya Dec 2017, Ujenzi wa SGR Phase 2A ulianza June 2017, Hilo eneo hua liko na sudden weather changes, kama unaajenga chochote ni uhakikishe kila kitu kiko secured, ukiacha kitu kinaenda na upepo, ukizubaa mvua ya ghafla inafagilia kila kitu, na kama haujajenga vizuri ardhi inapasuka na kumeza kila kitu.. Mpaka imebidi Kenya Railway iwaambie Consultants wa SGR wazike Sensors chini ya ardhi eneo hilo ili ziwe zinatuma warning signal ili SGR eneo hilo kama kuna ardhi itasonga.....Majuzi
Habari ya Dec 2017, Ujenzi wa SGR Phase 2A ulianza June 2017, Hilo eneo hua liko na sudden weather changes, kama unaajenga chochote ni uhakikishe kila kitu kiko secured, ukiacha kitu kinaenda na upepo, ukizubaa mvua ya ghafla inafagilia kila kitu, na kama haujajenga vizuri ardhi inapasuka na kumeza kila kitu.. Mpaka imebidi Kenya Railway iwaambie Consultants wa SGR wazike Sensors chini ya ardhi eneo hilo ili ziwe zinatuma warning signal ili SGR eneo hilo kama kuna ardhi itasonga.....
Hilo eneo la Mai mahiu na Suswa limeumisha Kichwa hao engineers wa SGR
Kama unavyoona kwa hii picha Upepo uliharibu kama bado inajengwa
Click hii picha uzoom unagalie vile ardhi hupasuka hilo eneo , Ni vile tu hayo madaraja eneo hilo yamechimbiwa chini zaidi wakijua kwamba kitu kama hicho kinaweza fanyika, kama ingekua yamechimbiwa kama madaraja mengine ingekua tunaongelea story nyengine
Safety measures zilizochukuliwa tangu hio siku ni kila mtu lazima aji secure kama hivi kwa maeneo yenye upepo mkali
There is no bridge that has ever collapsed, Structures that were bieng put on the bridge are the ones that fell offWacha uwongo wind ili-blow bridge structure! The land fault had nothing to do with that collapse of the bridge!
Ndio ule maiti zenyewe ama?Nionyeshe picha za hii incidence at Maai Mahiu iliyoua Wakenya wawili!
Winds brought down SGR bridge: Kenya Railways
Maintenance, Management, Repair........ Waanafunzzi ambao wamekua wakifaanyiwa mafunzo tangu 2016 pole pole wanaanza kupewa majukumu makubwa na mwishowe baada ya miaka mitano inatarajiwa wataachiwa majukumu yote..
Train Inspection
Sehemu ambayo bado Wakenya hawajaachiwa ni Traffic command and Control ambapo ukibofya vibaya unaweza kufanya treni mbili zigongane, Kuna wakenya kadhaa kama 24 wametumwa Jiotong University kule China Kusomea ku operate hio traffic controll system
I meant structure!Ndio ule maiti zenyewe ama?
He who passes the judgment swings the sword idiot. You made the claim, prove it.I meant structure!
Kwa kweli hapo mnachangamoto maana dhoruba huwa hazikwepeki punde zinapoamua kutokea,ni sawasawa nakuzuia tsunami....Habari ya Dec 2017, Ujenzi wa SGR Phase 2A ulianza June 2017, Hilo eneo hua liko na sudden weather changes, kama unaajenga chochote ni uhakikishe kila kitu kiko secured, ukiacha kitu kinaenda na upepo, ukizubaa mvua ya ghafla inafagilia kila kitu, na kama haujajenga vizuri ardhi inapasuka na kumeza kila kitu.. Mpaka imebidi Kenya Railway iwaambie Consultants wa SGR wazike Sensors chini ya ardhi eneo hilo ili ziwe zinatuma warning signal ili SGR eneo hilo kama kuna ardhi itasonga.....
Hilo eneo la Mai mahiu na Suswa limeumisha Kichwa hao engineers wa SGR
Kama unavyoona kwa hii picha Upepo uliharibu kama bado inajengwa
Click hii picha uzoom unagalie vile ardhi hupasuka hilo eneo , Ni vile tu hayo madaraja eneo hilo yamechimbiwa chini zaidi wakijua kwamba kitu kama hicho kinaweza fanyika, kama ingekua yamechimbiwa kama madaraja mengine ingekua tunaongelea story nyengine
Safety measures zilizochukuliwa tangu hio siku ni kila mtu lazima aji secure kama hivi kwa maeneo yenye upepo mkali
Ajali hii ni ya phase 2 baada ya phase IHe who passes the judgment swings the sword idiot. You made the claim, prove it.
Hii mbona inafanana sana na ile ya Phase I, kwani hawa contractors hawajifunzi tu? hatutaki siku itokee hii structure fall wakati treni inapita hapo...kazi ipo.Ajali hii ni ya phase 2 baada ya phase I
Kazi ya Muchina hairekebishiki!Hii mbona inafanana sana na ile ya Phase I, kwani hawa contractors hawajifunzi tu? hatutaki siku itokee hii structure fall wakati treni inapita hapo...kazi ipo.