Cost comparison SGR Kenya vs SGR Tanzania

Cost comparison SGR Kenya vs SGR Tanzania

Kumbe we una fikra finyu hapo!?
Wanaharakati wenu walikamatwa Kesha na kuwa deported,nani kamnyoosha mwenzake kati ya Tanzania/Mama Samia na ninyi wakenya?
Na vijana wenu wawili waliwekwa rumande siku mbili hadi Jana ndio wametolewa.
Nani kamnyorosha mwenzake!?
😂😂😂😂Unajiskia hata unavyoongea.
Hiyo ni meseji mama anatuma kwenu,hataruhusiwa kenge yeyote kuiingilia sovereignty ya TZ.
Duru zinasema hao vijana wawili hawajulikani walipo hadi muda huu.

View: https://x.com/honeyfarsafi/status/1925065250983809443?s=46
 
🙊
IMG_20250521_232413.jpg

IMG_20250521_232537.jpg

IMG_20250521_232031.jpg

Gre5fO4WsAAQpPh.jpeg

Gre5fLaXEAAZop9.jpeg
 
baada ya kuvimbiwa ubwabwa, anakuja mtu hapa kufokafoka u$huzi 🤧
IMG_20250522_103648.jpg
 
Hii SGR ya sasa kutoka Dar-Moro-Dodoma-Tabora-Mwanza mpaka leo hii bado haijakamilika na hakuna dalili za kukamilika, ambapo ilipaswa kukamilika 2020, sasa hii mpya inayotengewa pesa zipi na za nini wakati ya awali bado ni hadithi?
"danganya toto" tu hizi. hamna lolote.
mafala ndio hubambika na stori kama hizi
 
Hii SGR ya kutoka dar kwenda dom leo saa 3:30 asubuhi inalia kama bajaji zilizochoka engine, haiko smooth kabisa, sijui wamewasha engine ya diesel ⛽ 😳

Yaani ni kama zile bajaj zilizofungwa mashine za jenereta, zinakuwaga zinazoa taka.

Ama ndio tumepigwa tena kama kawaida yetu Tanzania, viongozi wetu ni mwendo wa kutudalalia tu.
 
Hii SGR ya kutoka dar kwenda dom leo saa 3:30 asubuhi inalia kama bajaji zilizochoka engine, haiko smooth kabisa, sijui wamewasha engine ya diesel ⛽ 😳

Yaani ni kama zile bajaj zilizofungwa mashine za jenereta, zinakuwaga zinazoa taka.

Ama ndio tumepigwa tena kama kawaida yetu Tanzania, viongozi wetu ni mwendo wa kutudalalia tu.
Kwanini hujamfata dereva ukamuuliza?
 
Hii SGR ya kutoka dar kwenda dom leo saa 3:30 asubuhi inalia kama bajaji zilizochoka engine, haiko smooth kabisa, sijui wamewasha engine ya diesel ⛽ 😳

Yaani ni kama zile bajaj zilizofungwa mashine za jenereta, zinakuwaga zinazoa taka.

Ama ndio tumepigwa tena kama kawaida yetu Tanzania, viongozi wetu ni mwendo wa kutudalalia tu.
🤣🤣🤣🤣🤣
bro, ni swala la muda tu, utasikia "yallah" 🤣
 
🤣🤣🤣🤣🤣
bro, ni swala la muda tu, utasikia "yallah" 🤣
Aahh, imenistaajabisha, kwa watawala wetu walivyo wahuni usikute wameenda wameyakuta yameshastishwa kufanya kazi, wakaomba wapewe bure walipie gharama za service tu, kisha huku tukaambiwa zimenunuliwa 0 KM🤣😂
 
Asa huyo anayeongea si mpuuzi kabisa!?
Kwanza kabisa ufananishe sgr ya Kenya na TZ si utakua mwendawazimu!?
Sgr ya Kenya jointed rail inatikisika no comfortability low speed.
Sgr ya TZ continuous welded hence has comfortability with higher speed.
Ukija kwa uwanja Kenya bado sana kwa Tanzania.
Tunawapa Amaan stadium ni zaidi ya viwanja vyote hapo Kenya.
Bado BM mkapa,haijaisha bado uwanja wa Arusha unaojengwa.
 
Asa huyo anayeongea si mpuuzi kabisa!?
Kwanza kabisa ufananishe sgr ya Kenya na TZ si utakua mwendawazimu!?
Sgr ya Kenya jointed rail inatikisika no comfortability low speed.
Sgr ya TZ continuous welded hence has comfortability with higher speed.
Ukija kwa uwanja Kenya bado sana kwa Tanzania.
Tunawapa Amaan stadium ni zaidi ya viwanja vyote hapo Kenya.
Bado BM mkapa,haijaisha Bado uwanja wa Arusha unaojengwa.
Nyang'au wanajaribu kweli kweli kujifananisha na Tz😁😁
 
Back
Top Bottom