Cosmological truth

Cosmological truth

kila mtu ana nafasi yake katika jamiii but for what he does to the people is very very simple though seemed to be difficult to some people ...he does to interprete the hidden things written in universal languages ( english,french,etc) thus why everybody anamuona kama mtu aliyeshukiwa na roho mtakatifu but it is not..lakini mtu anapofanya kitu flani we have to appreciate for his/ her efforts kwan ndo kupitia uwezo wake wa kufanya tafsiri za mambo watu wanamuelewa ....lakini pia mind you kuwa hata ukiandika kwa kingereza kama mtu anajua kusoma na kuelewa maana atakuona wa maana zaidi..tena ungejua lugha ya kingereza ni lugha inayoeleza kwa undani zaidi na kuna maneno yanakuwa magumu kuyaleta katika lugha ya kiswahili kwani yanakosa nguvu...
kwa mfano mtu akuambie concious mind and subconcious mind ,najua kuyaweka katika lugha ya kiswahili inakuwa ngumu kidgo lakini mtu anayeelewa lugha yenyew anapata ujumbe mzito kweli ndani yake...

so kila mtu atakula kulingana na urefu wa kamba yake...ukisubiri kupewa tafsiri utachelewa kujua mengi....kuna mambo yeye mwenyew yanamshinda anamua kuyaacha but anayajua kabsa kuwa yana ujumbe mzito..

every body plays his own party...
Hivi hamuwezagi kudiscuss mambo yenu bila kunitaja taja??

Bold bold bold.!!
Amewafanya nini??

Watoto wa kiume mnakuwa kama mabinti...

Fanya yako, wacha nifanye yangu... Sio lazima unikubali.! Akinikubali mama yangu, ndugu zangu, Cheupe wangu, marafiki zangu inatosha...

Acheni kunitaja taja kwenye mabishano yenu..

Nitaanza kuwatoza ushuru kwa kunitaja taja jina langu.!!


Mnaharibu uzi uzuri kwa kuleta mabishano yenu ya kike kike...


Stupid...
 
Hivi hamuwezagi kudiscuss mambo yenu bila kunitaja taja??

Bold bold bold.!!
Amewafanya nini??

Watoto wa kiume mnakuwa kama mabinti...

Fanya yako, wacha nifanye yangu... Sio lazima unikubali.! Akinikubali mama yangu, ndugu zangu, Cheupe wangu, marafiki zangu inatosha...

Acheni kunitaja taja kwenye mabishano yenu..

Nitaanza kuwatoza ushuru kwa kunitaja taja jina langu.!!


Mnaharibu uzi uzuri kwa kuleta mabishano yenu ya kike kike...


Stupid...
Mbona unajikweza sana nimesoma pote ulipoqoute sijaona ulipatajwa Ebu Acha Upimbi
 
You are right. Très bien monsieu.

But one thing. Hivi hakuna namna waafrika tukawashitaki waliotuuza utumwani na waliopora mali na nguvu zetu wakati wa ukoloni? I mean. Utumwa na Ukoloni siyo jinai na haviwezi kuzaa madai kisheria?

Hivi hadi kina nyerere walipewa nini wasiombe fidia ya mambo haya?
 
This is so sad ,Yani I couldn't believe my eyes.With those sentences "From What I Know ". ," believe me". I call them wishy-washy sentence ,hence your argument is very weak than any other argument.You haven't even tried to touch the Topic ,you are out of it .

Stupid Is As Stupid Does ,Sir !

Well,did I lie saying Catholic Church ni criminal organization?How many children have been sexually abused by Priests within Catholic Church administration?

Did I lie saying Trinity ni false teaching ?

Did I lie saying Catholic Church built over pagan system ?

Did I lie saying Muslims have been indoctrinated into hatred Of other religions and cultures ?

Did I lie saying Muslims believe Quran has never been distorted ?

How many people believe Jesus died for their sin,is that not false teaching?

Did I lie saying black beings have been enslaved mentally ?

Those are the things you should touch.

Isn't mental slavery makes beautiful African man or woman to bleach his or her skin making it white because they have made to believe white skin is better than black skin ?

Isn't mental slavery and colonialism have made many Africans believe God or Jesus Christ is white ?When blacks close eyes to pray ,they imagine white God in the form of a white Jesus ,

Isn't mental slavery,today ,dark skinned women are called all sorts of hurtful names not by whites ,but blacks themselves.?

Black people are the most self hating and self destructive physically and mentally than any other community on earth .It's after effects of colonization.it is hard to admit,but that is Ultimate truth.

And let me tell you ,Colonial Missionary schools in Africa was set up not to educate the people but as brainwashing institution to spread the Gospel and Mental slavery,and that is the reason back in the days,it was very difficult to find an educated muslim,it was only for those who accept Gospel.Using education as a tool ,they introduced mental slavery and religion.

Colonial Missionary Schools isn't separable from colonialism.It is one and the same thing .

Today ,If you ask most of black beings ,hey what on earth are you up to ?
They will say ,we are here to worship Jesus ,and the interesting thing is ,Jesus was just a being ,being ,not the whole thing .

If You have the balls to debate ,let's stop and think .Don't come here with Mavi Mavi " AM Tanzanian Living In Europe " who cares about that ,? You Don't even know where I am right now .do you ?

Religion is a man made device and is often about loyalty to institutions,More people have been killed and tortured over religious beliefs than any other reason in history .

You can't turn men into slaves unless you break their spirit .kill their capacity to think and tie them together .If You kill a man 's sense of personal value ,he will submit.It is that simple .
Genuine of the truth, the best reply to him/her.
 
Hebu fafanua Mkuu.


This Is Very Great Question.

Truth is being in accord with fact or reality.Facts are a subset of truths ,they are truths we have verified .

Truth and fact are objective.

Faith and Belief are subjective.

Only the objective can be verified .

Faith is relying on something without being certain that it is reliable.or

Faith is a personal belief in the nature of reliality .Faith has nothing to do with the questions,it is unquestioning acceptance of the ultimate authority.

if people have faith in God ,maana yake God is ultimate authority,so you are not allowed to ask so many questions kwasababu utakufuru,that is what faith tells you .


Truth is all about verification of claims (Faith )

mfano ,
Christians wanaamini,Christianity is the only way to heaven ,here ,Christians are making a claim of belief or opinions,this is not the fact or truth until it has been verified.

Muslims will say ,Islam is the only way to Jannah (Heaven ) ,that is a claim of belief or opinions ,has anyone proven the existence of Jannah ?,has anyone proven Islam
Is the only way to heaven ? It is just an Islamic faith ,not truth.Truth has to verify the claim.Same thing to other religions ,their claims won't be considered as truth until verified .

Because ,the truth is ,people believe what they wanna believe.

Hence faith is not 100% reliable path to truth .

If today I say ,Black People are superior than white People ,and that is based on my faith ,will you consider my faith as truth ? If not ,then hiyo ndiyo vurugu iliyojaa kwenye dini until people emancipate themselves from mental slavery .

Faith ni state of mind.

Most of the truth is found in science ,philosophy,novels,movies ,music,poetry,performing arts .as well as scriptures .

Movies ,musics and arts have hidden truth convey the message .

Imagine mtu kama Bob Marley was not even schooled,but he was talking about Mental Slavery,and he says

"None but ourselves can free our mind"

kwasababu faith is something personal,it has to start from mind .

He says ," Have no Fear for atomic energy,cause none of them can stop the time ,How long shall they kill our prophets "

Prophet means those who spread the truth not myth ,the prophets of our time ,kina Bob Marley ,The Beatles ,John lenon,Nikola Tesla ,Martin Jr ,JFK etc .most of them died at the hands of man.

JFK was humiliated because

•He signed a treaty to ban nuclear testing.

•He refused to invade Cuba in 1962 .

•He set out the withdraw from Vietnam.,He did not like bloodshed.They killed him because he wanted to change things.

The war is the biggest business in America,worth $80billion a year.

His last speach ,JFK said ,We all Inhabit this small planet ,we all breath the same air ,we all cherish our children futures ,and we all mortal .

in 1963 ,it was public execution to prevent the ultimate Truth,CIA ,FBI,WHITE HOUSE AND THE PENTAGON all combined to end the ultimate truth of life ,hence Bob says ,"How long shall they kill our prophets"

This was the hidden message in Music .

He says ,have no fear ,none of them can stop the time .The deaths of prophets JFK ,MARTIN JR ,Nikola etc at the hands of man,won't stop the time (the truth ) .

He says "We have to fulfill the book "

he is saying we have to spread the ultimate truth of life .loving kindness to the world,Religions have failed human race,we now hating ,killing each other like animals ,Only truth will set you free .

These people were spreading the true Gospel.Do you even know Redemption was the last song on his final album with the wailers?

Life is coming to you from all directions,but your mind is blocking it,The Mental Slavery.
 
From what I know those who tried to define metafisical truths they all ended in vain believe me not what your are trying to do is just to use your physical knowledge to explain things metaphysical. Utaishia kuwa kichaaa tu kaka/dada. We had many stupid philosophers like Kniche a radical Germany Philosofer who said God is dead. I asure you after publishing his book I didn't reach 35years. Brother take care. Wewe ni kijitu kidogo ktk Universe hii. Alafu mpumbavu acha kuwakalilisha waafrika kana kwamba wote hawajui kinachoendelea ulaya. Unawezakuta hata kutoka nje ya nchi yako ujawai. Am a Tanzanian Living in Europe nchi flani hivi wazungu wanaimani dhabiti kuliko sisi tusiojitambua istoshe they have all they need. Imani hatuijadili imani tunaiishi. Utabaki kupiga kelele tu wenzako wanaaminj na wanafanya kazi wanajipatia maendeleo. na wale wanaofanya uovu kama wewe wanaishi kwa tabu sana. I tell you jisalishe aisee ukaamini tu mwisho wako mbaya. Poor African child. We do study to impact the society to relate well with others what altitude you had in your poor research. Utaishia kuandika mwisho wa siku muda woote huo bora ungefikiri hata namna ya kuboresha maisha yako. Pole sana.

i think you didnt have to insult or use inappropriate gestures to vilfy what he stand for. I think its you who is not illuminated to cast fear or bubble you are in. To be educated means to listen,to think with logic and sometimes beyond and explain your point of views without belittle anyone's opinions.

Learn to be tolerant of others. Please!

if you ask me what i believe in what he says? i would say all dini are garabages.But i believe in The Holly God he does exists but not Religion.
 
This Is Very Great Question.

Truth is being in accord with fact or reality.Facts are a subset of truths ,they are truths we have verified .

Truth and fact are objective.

Faith and Belief are subjective.

Only the objective can be verified .

Faith is relying on something without being certain that it is reliable.or

Faith is a personal belief in the nature of reliality .Faith has nothing to do with the questions,it is unquestioning acceptance of the ultimate authority.

if people have faith in God ,maana yake God is ultimate authority,so you are not allowed to ask so many questions kwasababu utakufuru,that is what faith tells you .


Truth is all about verification of claims (Faith )

mfano ,
Christians wanaamini,Christianity is the only way to heaven ,here ,Christians are making a claim of belief or opinions,this is not the fact or truth until it has been verified.

Muslims will say ,Islam is the only way to Jannah (Heaven ) ,that is a claim of belief or opinions ,has anyone proven the existence of Jannah ?,has anyone proven Islam
Is the only way to heaven ? It is just an Islamic faith ,not truth.Truth has to verify the claim.Same thing to other religions ,their claims won't be considered as truth until verified .

Because ,the truth is ,people believe what they wanna believe.

Hence faith is not 100% reliable path to truth .

If today I say ,Black People are superior than white People ,and that is based on my faith ,will you consider my faith as truth ? If not ,then hiyo ndiyo vurugu iliyojaa kwenye dini until people emancipate themselves from mental slavery .

Faith ni state of mind.

Most of the truth is found in science ,philosophy,novels,movies ,music,poetry,performing arts .as well as scriptures .

Movies ,musics and arts have hidden truth convey the message .

Imagine mtu kama Bob Marley was not even schooled,but he was talking about Mental Slavery,and he says

"None but ourselves can free our mind"

kwasababu faith is something personal,it has to start from mind .

He says ," Have no Fear for atomic energy,cause none of them can stop the time ,How long shall they kill our prophets "

Prophet means those who spread the truth not myth ,the prophets of our time ,kina Bob Marley ,The Beatles ,John lenon,Nikola Tesla ,Martin Jr ,JFK etc .most of them died at the hands of man.

JFK was humiliated because

•He signed a treaty to ban nuclear testing.

•He refused to invade Cuba in 1962 .

•He set out the withdraw from Vietnam.,He did not like bloodshed.They killed him because he wanted to change things.

The war is the biggest business in America,worth $80billion a year.

His last speach ,JFK said ,We all Inhabit this small planet ,we all breath the same air ,we all cherish our children futures ,and we all mortal .

in 1963 ,it was public execution to prevent the ultimate Truth,CIA ,FBI,WHITE HOUSE AND THE PENTAGON all combined to end the ultimate truth of life ,hence Bob says ,"How long shall they kill our prophets"

This was the hidden message in Music .

He says ,have no fear ,none of them can stop the time .The deaths of prophets JFK ,MARTIN JR ,Nikola etc at the hands of man,won't stop the time (the truth ) .

He says "We have to fulfill the book "

he is saying we have to spread the ultimate truth of life .loving kindness to the world,Religions have failed human race,we now hating ,killing each other like animals ,Only truth will set you free .

These people were spreading the true Gospel.Do you even know Redemption was the last song on his final album with the wailers?

Life is coming to you from all directions,but your mind is blocking it,The Mental Slavery.
Mkuu kwa uelewa wako wewe Ukisikia msemo wa imani potofu je unaelewa vp?
 
Hivi hamuwezagi kudiscuss mambo yenu bila kunitaja taja??

Bold bold bold.!!
Amewafanya nini??

Watoto wa kiume mnakuwa kama mabinti...

Fanya yako, wacha nifanye yangu... Sio lazima unikubali.! Akinikubali mama yangu, ndugu zangu, Cheupe wangu, marafiki zangu inatosha...

Acheni kunitaja taja kwenye mabishano yenu..

Nitaanza kuwatoza ushuru kwa kunitaja taja jina langu.!!


Mnaharibu uzi uzuri kwa kuleta mabishano yenu ya kike kike...


Stupid...
stupid mwenyew....

nan kataja jina lako...umeona sehemu yoyote niliyokutaja jina....mamaaaae....tuheshimianeeee usitake kujifanya geniuz wakati hakuna mtu aliyekutaja...


umekuta mdahalo unaendelea ..ulipaswa kumlaumu aliyekutaja jina sio unakoti uzi wa mtu ambaye hajakutaja ....

be seriuz ...faquuuuu
 
Mbona unajikweza sana nimesoma pote ulipoqoute sijaona ulipatajwa Ebu Acha Upimbi
this man is so stupid actually...kuna mtu aliyemtaja..??..awe anasoma uzi wote kwanza...sio kuja anatoa mapovu yasiyokuwa na maana....Anadhani watu wote ni zumbukuuu....shenzi type kabsaaa...

The bold the bold..who are you by then mpaka nikauapreciate....

huyu jamaaaa huwa simwelewi
 
this man is so stupid actually...kuna mtu aliyemtaja....awe anasoma uzi wote kwanza...sio kuja anatoa mapovu yasiyokuwa na maana....Abadhani watu wote ni zumbukuuu....
Mi namshangaa sana
 
Mi namshangaa sana
anakuja juu juuu anang'akang'aka anajua watu wote huwa wanamkoti koti ovyo ovyo....pole yake snaa....

halafu anajiita tha Intelligent with great mind halafu hapo hapo anatukana watu bila kujua sababu...

nimemdevalue kinyamaaaa
 
Dini chanzo cha utengano katika Jamii akiliii zetu zimefungwa na imani za watu
unapaswa kuamini kuwa kuna watu wanaicpntrol dunia na ulimwengu wote in all aspect of life..but kama utafree mind yako hakika hautakuwa katika mjumuisho huo....few people know the reality and are those who control others'mind....

open yout third eye..you will witness the truth hidden...
 
anakuja juu juuu anang'akang'aka anajua watu wote huwa wanamkoti koti ovyo ovyo....pole yake snaa....

halafu anajiita tha Intelligent with great mind halafu hapo hapo anatukana watu bila kujua sababu...

nimemdevalue kinyamaaaa


Take it easy man. By the way, u had two choices. (1) Kukasirika na kujijeruhi mwenyewe hisia zako (2) Kupuuzia comment yake na kuamua ku smile tuu. Ni bahati mbaya tu umechagua kukasirika my friend.
Happiness is your choice buddy..
 
Dini chanzo cha utengano katika Jamii akiliii zetu zimefungwa na imani za watu
Mkuu sijui kwanini watu hasa waafrika mmekuwa mkikaririshana hivyo? Yani mmekuwa watu wa kutupia lawama dini kwa kushindwa kutatua matatizo yenu wenyewe?

Dini zipo karibu kila pembe ya dunia ila ajabu unakuta mtu anasema waafrika hatuna maendeleo kwa sababu ya dini,Yani unakuta mtu anaongea vitu ambavyo havina hata uhalisia.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom