Chanjo ya ndui (small-pox vaccine) walikuwa wanachanja watu wazima, chanjo hiyo ilitamalaki kweli kweli nakumbuka wachanjaji waliwafuata wateja minadani, walikuwa wanawasubiri nje kwenye nyumba za ibada mfano kanisani, misikitini, walikuwa wanawafuata wateja kwenye stesheni za reli nakumbuka , njiani kwenye njia panda n.k . jitihada hizo zimezaa matunda ugonjwa huo umetoweka kabisa hasa nchi za Afrika.
Mgonjwa wa ndui alikuwa akipona basi anakuwa anabaka mabaka ya makovu usoni walikuwepo sana miaka ya sitii na sabini mwanzoni hivi sasa nafikiri wahanga wote wa ugonjwa ndui wamekufa sioni tena wenye mabaka
Wewe ulikwa wapi? hukuona watu wazima hadi wazee wakichanjwa chanjo ya ndui? Tiba ni fani kama fani zingine kama haiwahusu msiingilie mnawapotosha wanachi.