June 8, 2020
Chama cha wamiliki wa Malori Tanzania (TATOA) Tanzania Truck Owners Association :: Home wameonesha masikitiko yao kwa nchi jirani na Tanzania kufuatia muendelezo wa kuzuiliwa madereva wa malori wanaotoka Tanzania kuvuka mipaka kwa madai ya kuwa madereva hao wana maambukizi ya virusi vya Corona.
TATOA inasema kuwa hili suala la changamoto mipakani na nchi jirani issue siyo Covid-19 bali kuna kitu nyuma ya pazia.
Maana hakuna dereva anayeingia bandarini bila cheti cha kupimwa Covid-19 lakini madereva wa malori wakifika mpakani na nchi jirani vyeti hivyo vya afya njema havitambuliwi na serikali ya nchi jirani.
Chanzo: Global TV Online
Chama cha wamiliki wa Malori Tanzania (TATOA) Tanzania Truck Owners Association :: Home wameonesha masikitiko yao kwa nchi jirani na Tanzania kufuatia muendelezo wa kuzuiliwa madereva wa malori wanaotoka Tanzania kuvuka mipaka kwa madai ya kuwa madereva hao wana maambukizi ya virusi vya Corona.
TATOA inasema kuwa hili suala la changamoto mipakani na nchi jirani issue siyo Covid-19 bali kuna kitu nyuma ya pazia.
Maana hakuna dereva anayeingia bandarini bila cheti cha kupimwa Covid-19 lakini madereva wa malori wakifika mpakani na nchi jirani vyeti hivyo vya afya njema havitambuliwi na serikali ya nchi jirani.
Chanzo: Global TV Online