Corona ipo, Rwanda waripoti kifo cha pili

Corona ipo, Rwanda waripoti kifo cha pili

But seriously Rwanda wanadanganya takwimu tuseme tu kweli

Jr
emoji769.png

Mkuu hapo umegonga penyewe. Ukweli mchungu kuhusu Corona ni huu hapa:

IMG_20200604_063514_837.jpg


Ukikuta nchi yoyote ina takwimu zinazoanguka nje ya humo ujue hizo ni matokeo ya kuwa na miundo mbinu dhaifu ya upimaji au takwimu magumashi.

Waongo ni wengi sana mkuu wakiwamo Uganda, China nk.

Wengi wengine wako huku:

List of African Countries Amazingly Winning the Fight Against Coronavirus

Kibongo bongo wanaita raha jipe mwenyewe. Kazi kweli kweli.
 
Nitaamini ipo hadi wewe uipate brazaj

Mkuu mbona unanipa umuhimu nisionao? Wameupata kina Boris, Nkurunziza na hata mkewe. Yasemekana hata wale wabunge wetu watukuka pia.

Kaupata mtoto wa mzee baba mwenyewe. Huu ugonjwa mbona hauna mwenyewe. Achilia mbali miye kujiridhisha kuwa sisi tumefanikiwa kuushindilia mbali, bado tu usubirie miye tu kuugua au kufa nao ndipo uamini ugonjwa huu upo? Mbona itakuwa siyo kujitendea haki mwenyewe?

Corona: Siri ya mafanikio yetu katika hii vita

Msimamo wangu mkuu ni huu "kwetu Corona kwishney."

Labda nisikie vinginevyo toka kwa Ummy, jiwe, Abbas au wale wawili wengine wenye dhamana!
 
SASA boss Kama toka imeanza mpaka leo Rwanda ndio kwanza imeua watu wawil embu jaribu kufatilia takwim za maleria Rwanda toka Corona ilipo Anza alafu upime ukipata majibu itabidi ujue kua zilikua Kiki tu
 
Mkuu hapo umegonga penyewe. Ukweli mchungu kuhusu Corona ni huu hapa:

View attachment 1468199

Ukikuta nchi yoyote ina takwimu zinazoanguka nje ya humo ujue hizo ni matokeo ya kuwa na miundo mbinu dhaifu ya upimaji au takwimu magumashi.

Waongo ni wengi sana mkuu wakiwamo Uganda, China nk.

Wengi wengine wako huku:

List of African Countries Amazingly Winning the Fight Against Coronavirus

Kibongo bongo wanaita raha jipe mwenyewe. Kazi kweli kweli.
Bado kuna watu wanataka niweke takwimu zangu.... Nimeshindwa hata kuwajibu

Jr
 
Hao Rwanda hata hawajafikia idadi ya vifo vya corona hapa Tanzania ambavyo vimetangazwa na serikali ila Tanzania tupo kwenye kurudisha shughuli zetu za kawaida za kila siku, sasa mleta anafungua uzi kabisa kutuelezea kifo cha mtu mmoja huko Rwanda kana kwamba hapa Tanzania tumesema corona haiuwi.
 
Kwamba toka ugonjwa uingie March hiki ndo kifo cha pili?

Hii nguvu ingetumika hata kwa mapambano ya magonjwa mengine tungekuwa mbali.

Malaria, vifo vya mama na mtoto etc
 
Bado kuna watu wanataka niweke takwimu zangu.... Nimeshindwa hata kuwajibu

Jr

Mkuu nakuelewa.

Wapo wengine kwenye mambo nyeti kama haya utayasikia: "ramli." Unajiuliza wanaijua hiyo sayansi kuliko yule mwamba wa kaskazini?

Anasema Yesu Kristo: "uwasamehe kwa maana hawalijui walitendalo."
 
Kila kifo ni corona, huu ni ujinga mwingine

Kifo kipi unachoongelea? Kilichopo kwenye huu uzi kimethibitishwa kuwa ni Corona.

Vile vile vingi ambavyo wangependa vitambulike kuwa si Corona hasa hapa kwetu kiuhalisia hata wewe unajua ni Corona.

Ndiyo maana ya ule msisitizo "akili za kuambiwa changanya na za kwako."
 
Kwamba toka ugonjwa uingie March hiki ndo kifo cha pili?

Hii nguvu ingetumika hata kwa mapambano ya magonjwa mengine tungekuwa mbali.

Malaria, vifo vya mama na mtoto etc

Ni sawa zaidi kusema "wanasema ni kifo cha pili." Wanaojiita wajanja sana huu ugonjwa wanauona ni vita vya kiuchumi dhidi yao tokea kwa mabeberu.

Kupambana na vita hivyo wamegundua siri ya ushindi:

Corona: Siri ya mafanikio yetu katika hii vita

Mengi wanasema Ila "akili za kuambiwa changanya na za kwako."
 
Mkuu nakuelewa.

Wapo wengine kwenye mambo nyeti kama haya utayasikia: "ramli." Unajiuliza wanaijua hiyo sayansi kuliko yule mwamba: Mshana Jr?

Anasema Yesu Kristo: "uwasamehe kwa maana hawalijui walitendalo."
Ugonjwa huu wana ukuza Malaria kila siku watu wanakufa,lkn usiku watu bado wanapiga mishe zao kama kawa.
 
SASA boss Kama toka imeanza mpaka leo Rwanda ndio kwanza imeua watu wawil embu jaribu kufatilia takwim za maleria Rwanda toka Corona ilipo Anza alafu upime ukipata majibu itabidi ujue kua zilikua Kiki tu

Kwani wanacho kwambia ndiyo msahafu? Basi kwetu imeisha. Pia wakikwambia kuwa walikosea haikuwahi kufika makwetu bado utawaamini.
 
Brazil huko corona inawapiga kisawa kisawa (sio suala la kama Tanzania kwamba hadi sasa et tunabishana wengine wanasema wengi wanadai watu wanakufa sana na corona Tz na wengine hawaoni hivyo vifo) lakini maisha yanaendelea, sasa kuna watu bado wanataka afrika tukae tu na kutishana corona na shughuli zisimame.
 
Wasiwasi wako tu. Nina post sana kuhusu Corona.

Kitu cha kuona hapa tusijidanganye kuwa hili ni la wazee.

Soma usiishie kuangalia picha na kudhani kuna wagumu na walaini.
Tangu Corona imeingia ndugu zako wangap wamekufa na Corona??...
Au unaleta tu taharuki usiyojua madhara yake
 
Tangu Corona imeingia ndugu zako wangap wamekufa na Corona??...
Au unaleta tu taharuki usiyojua madhara yake

Hujui ni ndugu zangu wangapi mkuu? Mbona huko tulisha toka zamani sana na tukaelewana na wengi tu walio wagumu kuliko wewe?

Hauna stamina ya kusoma wala kuelewa. Tutakaa tunaorodhesha hayo hayo kila siku?

Kama unataka list yao iko hapa:

Makampuni ya Tanzania ya usafirishaji yanakwama wapi, maana yanasababisha nchi inaingia kwenye migogoro na majirani wote

Comment #118 ina husika.

Pole lakini usijisikie vibaya sana. Kutokuwa na stamina ya kusoma ya kufuatilia nayo ni kipaji kizuri tu.
 
Mastory ya corona hayana kiki sasa hivi, maisha yanarudi kama kawaida.
 
Back
Top Bottom