Corona ipo, Rwanda waripoti kifo cha pili

Corona ipo, Rwanda waripoti kifo cha pili

Kama akili ni nywele maprofesa wengi wasingekuwa na vipara bila kuwasahau madokta ,
"Ila pia aliwazalo mjinga ndio limtokealo"

Ahahahahah.

Elewa kwanza maana ya "akili ni nywele". Kabla ya hapo kujadili lolote itakuwa haina tija.
 
"Kigari"cha Mazda
Ila sioi nasikia wanyarwanda sio.Anaweza kuja kaka yake kumpa hai kumbe ni jembe lake la kumlima

Hivi mkuu inakufikirisha kuwa pana mtu amekufa lakini, na kuwa kama binadamu tu, unadhaniwa kuwa angalau hata na chembe ya kujali ukweli huo?

Does it concern you anyway?

Wanasema waungwana "asiyejua kufa na aangalie kaburi."
 
Hivi mkuu inakufikirisha kuwa pana mtu amekufa lakini, na kuwa kama binadamu tu, unadhaniwa kuwa angalau hata na chembe ya kujali ukweli huo?

Does it concern you anyway?

Wanasema waungwana "asiyejua kufa na aangalie kaburi."
Kwa hiyo akifa ndo tusilale wala tusinywe maji?kisa kuna mnyarwanda kafa?
Bwege kweli wewe
 
Yaani umeona hilo ni tukio kubwa la kifo cha mtu mmoja hao waliokufa na bodaboda mbona ni wengi kuliko huyo mrembo mmoja kwenye kundi la watu milioni kadhaa? shida ya corona mnaipromoti sana kama vile kabla ya korona hapakuwa na kifo.

Shida ya Corona hadi kuongelewa katika namna ambayo wewe unaiita kuipromoti ni hii hapa:

1. Ugonjwa ni mgeni haufahamiki vilivyo.
2. Ugonjwa hauna tiba wala kinga.
3. Ugonjwa unauwa.

Hapa tulipo Nkurunziza na mkewe ni wagonjwa. Hatuna uhakika wa kujilinda dhidi yake.

Hiyo ndiyo tofauti ya ajali za bodaboda unazoziongelea ambazo kwa zile za kubrashia viatu tu ajali zote zinayeyuka!
 
Wewe ni bwege tu.yani kimtu kimoja kimekasee eti ndo dunia isimame.
Ovyooo,,,!!

Unajitekenya na kucheka mwenyewe?

Ubwege kumbe nayo ni rare profession.

Hongera. Utakuwa Professor kwenye hiyo taaluma.
 
Mabibi na mabwana kama kunavyoitishwa kila leo Corona bado ipo, inauwa na haichagui. Hadhari!

Majirani zetu, Rwanda wame ripoti kifo cha pili kutokana na Corona. Huyu ni raia wa Rwanda, askari binti mbichi wa miaka 24 aliyekuwa kwenye majukumu ya umoja wa mataifa.

Inasikitisha.

Akapumzike kwa amani.

View attachment 1468033
View attachment 1468034

View attachment 1468035

View attachment 1468036

View attachment 1468040

View attachment 1468045
So Covid19 kaipatia Rwanda au nje ya Rwanda?
 
Shida ya Corona hadi kuongelewa katika namna ambayo wewe unaiita kuipromoti ni hii hapa:

1. Ugonjwa ni mgeni haufahamiki vilivyo.
2. Ugonjwa hauna tiba wala kinga.
3. Ugonjwa unauwa.

Hapa tulipo Nkurunziza na mkewe ni wagonjwa. Hatuna uhakika wa kujilinda dhidi yake.

Hiyo ndiyo tofauti ya ajali za bodaboda unazoziongelea ambazo kwa zile za kubrashia viatu tu ajali zote zinayeyuka!
UGONJWA UNA TIBA (NYUNGU YA MAWE) UGONJWA UNA KINGA BARAKOA NA SABUNI LIPI JIPYA KWA KORONA HAPO ????
 
So Covid19 kaipatia Rwanda au nje ya Rwanda?


IMG_20200604_041347_165.jpg
 
Back
Top Bottom