Mabibi na mabwana kujifunza na kuchukua hatua bado ni jambo la kheri sana.
Pichani ni yule mpiga nyungu mbobezi:
Kwamba anaisifia mvua? Ni wazi kuwa kuna jambo limemsibu.
Tusiwe ving'ang'anizi kama luba.
Heko Suleiman Jaffo kwa kutambua kuwa mabarakoa na social distancing vitatuvusha salama.
Pichani ni yule mpiga nyungu mbobezi:
Kwamba anaisifia mvua? Ni wazi kuwa kuna jambo limemsibu.
Tusiwe ving'ang'anizi kama luba.
Heko Suleiman Jaffo kwa kutambua kuwa mabarakoa na social distancing vitatuvusha salama.