Kwahiyo unataka kusema tutaishi maisha yote kwa kuvaa barokoa na kutoka kwa kuvizia? Shule ndiyo basi tena eeh?Kila ugonjwa ukitaka uundiwe tume tutakuwa na matume mangapi? Jifunzeni kuishi na corona kama tunavyoishi na malaria, corona will be there forever, kumbuka hata malaria inaua kila siku