Corona: Baada ya kushinda vita hakuna hata wa kutupongeza?

Kwamba vita tumeishinda unajua watu wamechukulia vipi kuhusu kauli hiyo? Unajua wagonjwa wangapi wanaugulia majumbani leo bila kwenda hospitali?

Hatuandiki humu, vifo vya ghafla kama vya wale wabunge vinaendelea.

Kwamba ugonjwa umeisha ina matokeo hasi mno kuliko mtu wa kawaida hyo hianavyoweza kudhani.

Ulimsikia yule RC alikuwa akizingatia masharti yote hakujua ugonjwa alipata wapi. Vivyo hivyo hata yule mbunge aliyegundulika Dodoma alisema .

Unadhani hawa kina Boris, malkia Elizabeth, nk walishindwa kunawa kuliko unavyoweza wewe? Unadhani wanaougua ni kwa makosa yao?

Kama unadhani hivyo hujui unachokisema.

Huu ugonjwa siyo ukimwi jombi.
huko kwa kina boris ugonjwa huu wanautumia kisiasa zaidi kwaajili ya manufaa yao ya vita ya kiuchumi.... hayo mengine mnayo aminishwa ni chai tu...
 
Tulia wewe. Fanya kazi mambo,ya kutishana tishana tz hatutaki. Mbona hata malaria still inaua watu kibao Africa na visa vya maambukizi yake havitangazwi.
Excessively poor reasoning maskini. Hiyo ni hoja unaweza kuweka mbele za watu ukaonekana una akili kweli??!! Kwamba kuna magonjwa mengine pia yanayoua hivyo huna haja ya kuweka priority kwa pandemic hii mpya?!!

Aisee....kwa mawazo ya namna hii hatuko salama Wallah!!!!
 
kwani aliye waelekezea machinjoni nani. ..? wizara husika sibado sii
inatoa elimu kila kukicha nakuwaeleza watanzania namna ya kujikinga na maambukizi. ... je hiyo kwenu haitoshi. ?mpaka wizara iendlee kutangaza visa ili iweje? mnashindwa kutambua kwamba kuna watu wengine ambao wamekufa kwaajili ya hofu tu nasio kwaajili ya corona na hii ni baada ya mindset zao kukarili ule wimbo unaosema kuwa covid 19 ni ugonjwa hatari sana kuliko chochote... hakuna umuhimu wa serikali kutangaza visa vya corona wakati kuna magonjwa mengine yanayo uwa watu kila siku tena kwa idadi kubwa tu. mbona hamtaki pia visa vyake viwe vinatangwazwa?
Jamaa anataka lockdown,kila siku anapiga ramli.
 
aliyesema kwamba
Excessively poor reasoning maskini. Hiyo ni hoja unaweza kuweka mbele za watu ukaonekana una akili kweli??!! Kwamba kuna magonjwa mengine pia yanayoua hivyo huna haja ya kuweka priority kwa pandemic hii mpya?!!

Aisee....kwa mawazo ya namna hii hatuko salama Wallah!!!!
aliyesema kwamba tusiweke priority nani... mbona wataka kunilisha maneno ambayo sijayatamka... nilikuwa nadhani uko timamu upstairs kumbe ni tofauti najinsi nilivyokuwa na waza...

kitendo cha wizara husika kuendelea kutoa. elimu ya afya kuhusu gonjwa la corona hiyo sio sehemu ya kuonyesha kipaumbele? Au neno kipaumbele kwako wewe lina mantiki ipi?
 
Jamaa anataka lockdown,kila siku anapiga ramli.
😃😃😃lockdown! !my foot. .waweza uwezo wakuipatia mahitaji vyema family yake hana...so ameshajiuliza kuwa endapo akiwekwa kizuizini nani atakaye walisha... je serikali yake ina budget toshelezi ya kuwahudumia watu ml_60 bila watu hao kufanya kazi ndani ya miezi 3....

hizo nchi zilizoendelea zenyewe huo ujinga wa kuwekana lockdown zimeshaanza kuacha baada ya kuona kuwa lockdown haina tija yoyote kwao
 
😃😃😃lockdown! !my foot. .waweza uwezo wakuipatia mahitaji vyema family yake hana...so ameshajiuliza kuwa endapo akiwekwa kizuizini nani atakaye walisha... je serikali yake ina budget toshelezi ya kuwahudumia watu ml_60 bila watu hao kufanya kazi ndani ya miezi 3....

hizo nchi zilizoendelea zenyewe huo ujinga wa kuwekana lockdown zimeshaanza kuacha baada ya kuona kuwa lockdown haina tija yoyote kwao
Yaani thread zake za Corona zina maana ile ile,atazunguka weee ila jamaa anachotaka lockdown.

Uzuri tumepewa options kama binafsi bado una ona hali bado kaa ndani,ila kuna wengine wasio kuwa na uhakika wa maisha yao hata kula yao ya tabu waache wakawa tafutie chakula familia zao,zisife na njaa.

Anawasifia Kenya kutoa takwimu,lkn hajiulizi kwa nini Kenya hawasemi takwimu za wanao kufa kwa njaa,kanga'ania Corona Corona.
 
Yaani thread zake za Corona zina maana ile ile,atazunguka weee ila jamaa anachotaka lockdown.

Uzuri tumepewa options kama binafsi bado una ona hali bado kaa ndani,ila kuna wengine wasio kuwa na uhakika wa maisha yao hata kula yao ya tabu waache wakawa tafutie chakula familia zao,zisife na njaa.

Anawasifia Kenya kutoa takwimu,lkn hajiulizi kwa nini Kenya hawasemi takwimu za wanao kufa kwa njaa,kanga'ania Corona Corona.
imagine! ! itakuwa ametumwa huyu
 
K
Ama kweli raha jipe mwenyewe. Ukisubiri mwingine kukupa raha, mbona waweza kusubiria mno?

Tumetangaziana kwa bashasha kuwa tumeshashinda vita. Wagonjwa wamekuwa wakipungua tokea mamia hadi mamoja. Haiyumkiniki kwa mwendo huo kufikia sasa, si haba Corona itakuwa kwishney!

Vita hii si ndogo kwani wenzetu wengi hata walio washupavu mno kuliko hata sisi wangalimo bado kulia wala kushoto kungali kufahamika.

Cha ajabu na kweli katika mazingira ya kawaida ushindi huwa haukosi pongezi tokea kwa washirika yaani ndugu na marafiki.

Sasa huu ushindi wetu usiokuwa na pongezi tokea kokote isipokuwa chereko chereko za kivyetu vyetu peke yetu na mh. Makonda tu utakuwa ushindi wa namna gani huu?

Hatuna washirika kweli hata wa kukodi tu? Hata Burundi ambako rais wao mteule atakuja kututembelea sisi kama priority 1 wameshindwa kutupongeza hata kwa kutupaka mafuta kwa mgongo wa chupa na tuko vizuri tu?

Kwa mwendo huu, pana hatari kuwa ushindi wetu huu unaweza kuwa na walakini au wa kimagumashi kama kwingine wanavyoita. Waswahili wanasema "hala hala kabla ya hatari".

Haya mengine ya kuitana majina kuwa ooh pana watu walipenda watanzania wafe kama nzige mbona itakuwa kujaribu kujishasha tu ili kujaribu kuzima mawazo huru pasipo kuwa na hoja?

Kwa nini mtu awe na maslahi yoyote kwa watanzania kufa? Kwanini isiwe kwa warundi, wacongo, wasauzi, wajamaica, wajerumani nk kufa? Kwa nini hakuna nchi yoyote ile duniani yenye mawazo kama haya? Mawazo duni kabisa.

Tupende tusipende, pana vitu (na si kidogo) upande wetu na hii vita haviko sawa hata kidogo.

Pasipo na kupepesa maneno, ushindi huu tunaojinasibu nao utakuwa uko fyongo.
Kosa kubwa tulilofanya watanzania ni kutokutoa takwimu sahihi za corona, hivyo chochote atakachosema mtu iwe kiongozi au mtaalamu hakitaaminika. Tunawezaje kusema tumeshinda corona bila kuonesha takwimu zozote?
 
Yaani thread zake za Corona zina maana ile ile,atazunguka weee ila jamaa anachotaka lockdown.

Uzuri tumepewa options kama binafsi bado una ona hali bado kaa ndani,ila kuna wengine wasio kuwa na uhakika wa maisha yao hata kula yao ya tabu waache wakawa tafutie chakula familia zao,zisife na njaa.

Anawasifia Kenya kutoa takwimu,lkn hajiulizi kwa nini Kenya hawasemi takwimu za wanao kufa kwa njaa,kanga'ania Corona Corona.

Wewe si useme za wanaokufa njaa?

Za Corona zinakukera sana? Una maslahi gani kuona hatuandiki kuhusu Corona?

Wapi waliposifiwa wakenya? Jikite kwenye mada vinginevyo unakuwa kama kuku tu anayeonyesha nyeti zake kwa kupulizwa na upepo.
 
huko kwa kina boris ugonjwa huu wanautumia kisiasa zaidi kwaajili ya manufaa yao ya vita ya kiuchumi.... hayo mengine mnayo aminishwa ni chai tu...

Ili quote mapema CCM from nowhere.

Hapa tena ume quote kina Boris out of context. Dalili ya kurukia treni kwa mbele.

Kuelewa na kusoma ni vitu viwili tofauti mkuu.
 
Ili quote mapema CCM from nowhere.

Hapa tena ume quote kina Boris out of context. Dalili ya kurukia treni kwa mbele.

Kuelewa na kusoma ni vitu viwili tofauti mkuu.
Huna hoja Bali ni viroja ...
 
Ndoto za alinacha. Jikite kwenye mada vinginevyo mengine unayoandika ni kama kelele tu.
Sioni cha kujikita kwani mada zako ni zile zile za John na Yohana,Side na Saidi,Yusuph na Joseph unazunguka lkn unarudi pale pale,we endelea kujilockdown na kupiga ramli.
 
Wewe si useme za wanaokufa njaa?

Za Corona zinakukera sana? Una maslahi gani kuona hatuandiki kuhusu Corona?

Wapi waliposifiwa wakenya? Jikite kwenye mada vinginevyo unakuwa kama kuku tu anayeonyesha nyeti zake kwa kupulizwa na upepo.

Takwimu kwangu hazina maana.We endelea kupiga ramli.
 
Sioni cha kujikita kwani mada zako ni zile zile za John na Yohana,Side na Saidi,Yusuph na Joseph unazunguka lkn unarudi pale pale,we endelea kujilockdown na kupiga ramli.

Unaandika kwa uzi upi mkuu?
 
Back
Top Bottom