Haina utofauti Na hii
Haja-copy na ku-paste bali amefanya sampling! Sampling itakuwa haramu endapo tu hapakuwa na makubaliano, kwahiyo, kabla hujahukumu unatakiwa kuwa na uhakika kwamba hapakuwa na makubaliano yoyote!
And don't forget, hiyo beat iliyokuwa sampled Diamond ameshiriki wimbo wake na kwahiyo hata kupata approval ni jambo dogo sana kwao!
mbona dj Khaled kacopy maria maria ya santana kwenye nyimbo yake mpya wild thoughts na rihanna.LLP Feat MIKE DIAMONDIZ - Muziki: FIRE"
Diamond platnumz feat Tiwa Tiwa Savage - Muziki: FIRE.
Hitimisho: Diamond kakopi na kupaste Nina LA muziki kutoka kwa msanii mwingine.
Swali: wasanii Wa kibongo ni lini mtaacha tabia ya kukopi na kupaste na muanze kuumiza vichwa vyenu katika kutunga au kubuni kazi zenu?
Chanzo: you - Tube
mbona dj Khaled kacopy maria maria ya santana kwenye nyimbo yake mpya wild thoughts na rihanna.
Duuh kama umekosa cha kuandika si uache tu...sasa majina ya nyimbo mangapi yanajirudia!!LLP Feat MIKE DIAMONDIZ - Muziki: FIRE"
Diamond platnumz feat Tiwa Tiwa Savage - Muziki: FIRE.
Hitimisho: Diamond kakopi na kupaste Nina LA muziki kutoka kwa msanii mwingine.
Swali: wasanii Wa kibongo ni lini mtaacha tabia ya kukopi na kupaste na muanze kuumiza vichwa vyenu katika kutunga au kubuni kazi zenu?
Chanzo: you - Tube
Kwani inakatazwa?? Acha wivu!!
Video nakubari ila mashairi hapana yanatofautiana kabisa diamond kaimba demu aliondoka kwakua alikuwa kafulia neyo aliimba sababu ya kuondoka ni kwakuwa neyo alikuwa ana mtreat vibaya.Kwenye l miss you ya diamond..... Angalia video ya NE-YO inaitwa Do you.....kuna vingi vimeibwa toka pale kuanzia mashairi hadi video