Copy and Paste ya Muziki Wa Diamond hii hapa

Haja-copy na ku-paste bali amefanya sampling! Sampling itakuwa haramu endapo tu hapakuwa na makubaliano, kwahiyo, kabla hujahukumu unatakiwa kuwa na uhakika kwamba hapakuwa na makubaliano yoyote!

And don't forget, hiyo beat iliyokuwa sampled Diamond ameshiriki wimbo wake na kwahiyo hata kupata approval ni jambo dogo sana kwao!

Ahsante kwa ufafanuzi mzuri.
 
LLP Feat MIKE DIAMONDIZ - Muziki: FIRE"

Diamond platnumz feat Tiwa Tiwa Savage - Muziki: FIRE.

Hitimisho: Diamond kakopi na kupaste Nina LA muziki kutoka kwa msanii mwingine.

Swali: wasanii Wa kibongo ni lini mtaacha tabia ya kukopi na kupaste na muanze kuumiza vichwa vyenu katika kutunga au kubuni kazi zenu?
Chanzo: you - Tube
mbona dj Khaled kacopy maria maria ya santana kwenye nyimbo yake mpya wild thoughts na rihanna.
 
Kwenye l miss you ya diamond..... Angalia video ya NE-YO inaitwa Do you.....kuna vingi vimeibwa toka pale kuanzia mashairi hadi video
 
LLP Feat MIKE DIAMONDIZ - Muziki: FIRE"

Diamond platnumz feat Tiwa Tiwa Savage - Muziki: FIRE.

Hitimisho: Diamond kakopi na kupaste Nina LA muziki kutoka kwa msanii mwingine.

Swali: wasanii Wa kibongo ni lini mtaacha tabia ya kukopi na kupaste na muanze kuumiza vichwa vyenu katika kutunga au kubuni kazi zenu?
Chanzo: you - Tube
Duuh kama umekosa cha kuandika si uache tu...sasa majina ya nyimbo mangapi yanajirudia!!
 
Haters ndio wanaiangalia video ya diamond kuliko hata fans wake, inabidi wa view zaidi ya mala kumi kwa siku ili wa notes mapungufu ili waponde unfortunately mondi anaingiza pesa per viewer, haijalishi ni haters au fans
 
Kwenye l miss you ya diamond..... Angalia video ya NE-YO inaitwa Do you.....kuna vingi vimeibwa toka pale kuanzia mashairi hadi video
Video nakubari ila mashairi hapana yanatofautiana kabisa diamond kaimba demu aliondoka kwakua alikuwa kafulia neyo aliimba sababu ya kuondoka ni kwakuwa neyo alikuwa ana mtreat vibaya.
Na wimbo neyo anamuuliza yule dada kama anamkumbuka wakati diamond anamwambia dada kuwa yeye ndiyr anamkumbuka.
 
Oya kesho natoa kichupa mitaa ya coco beach karbun masela pia ukiwa na watoto wakali wastuee ili video iwe tamu. Kama uko fresh nichek maximum watu 25.
 
Wimbo Wa Will You Still Love Me The Same Ulipotoka Na Yeye Akatoa Je Utanipenda. Nkamsikia Akijnad Kwenye Interview Kuwa Ameandika Yeye As If Kaumiza Kichwa! Me Namuona Ni Muandika Mashair Mepesi Yasio Na Sanaa Ndani Yake, Sema Anaijua Biashara Ya Muzik.
 
Hiv nyie mnaotokwa povuu mapuani izo video mbili mmeziona ama tatzo mbs tufungue wi fi ya JF muwe mnaangalia kabla ya kucomment ama mnataka kuongeza views za hyo sijui LL , mond kacopy nn hapo
To Hell
 
Back
Top Bottom