propagandist
Member
- Aug 12, 2011
- 93
- 9
akinukuu maneno ya prof Lipumba, MH freeman mbowe akihutubia ufunguzi wa kampeni kata huko rombo amesema kuwa mapato yanayotokana na mlima kilimanjaro yarudishwe kwa ajili ya wanainchi, ni maneno yaliyotolewa siku chache na mwenyekiti wa CUF katika kiwanja cha Revolosi mjini Arusha.