Copper Smelters around the World - Capacity less or equal to 100,000 tons per year

Copper Smelters around the World - Capacity less or equal to 100,000 tons per year

emajohn

Member
Joined
Apr 1, 2015
Posts
50
Reaction score
56
Graph hapo chini inaonyesha copper smelters mbali mbali katika nchi tofauti duniani zenye uwezo wa kuchenjua kuanzia 2,000 tons kwa mwaka mpaka zenye uwezo wa 100,000 tons kwa mwaka ambazo zinaoperate mpaka sasa.
upload_2017-3-28_10-39-32.png
Kwahiyo hizi data zinapingana kabisa na conclusion waliyotoa TMAA kuwa smelter lazima iwe na capacity ya 150,000 tons per year to be economically viable. Hii inaonyesha hawakuresearch vya kutosha kuona kama kuna smelters zenye capacity ndogo huenda ilikuwa influenced na migodi yenyewe pamoja na smelters walizotembelea kule japani ( Toyo smelter yenye uwezo wa 300,000 tons per year pamoja na Saganoseki yenye uwezo wa 470,000 tons per year).

Nashauri team ya watalaam wa uchakataji na uchenjuaji makinikia iundwe kuangalia uwezekano wa ku install smelter yenye uwezo kati ya 40, 000 na 60,000 tons per year. Hii ni kutokana na kuwa migodi yetu inazalisha kati ya 50,000 na 60,000 tons per year na huenda production ikashuka zaidi.
 
Mbona watu wagumu kuelewa. Tofautisha copper na copper concentrate. Mbona hizo hata bongo zipo na nishawahi kuelezea hapa. Kuna kampuni maeneo ya posta/mmnazi mmoja inaitwa danformation inafanya hiyo kazi. Hizo nchi ore yake ni copper oxide na ya Tanzania nyingi ni copper zenye sulfur.
 
Tufafanulie zaidi mkuu hizo ni cooper smelters zina uwez huo unaotakiwa kuchenjua dhahabu,fedha na shaba au shaba peke yake. Maana naona kwenye hiyo orodha hakuna hizo za Japan ulizozitzaja.
 
Mbona watu wagumu kuelewa. Tofautisha copper na copper concentrate. Mbona hizo hata bongo zipo na nishawahi kuelezea hapa. Kuna kampuni maeneo ya posta/mmnazi mmoja inaitwa danformation inafanya hiyo kazi. Hizo nchi ore yake ni copper oxide na ya Tanzania nyingi ni copper zenye sulfur.
zambia wanzalisha makinia 15,000 wanachengua wenyewe tena malori ya hans pope ndio yanayoisomba kuileta dar sisi tunazalisha 25,000 tena tuko bandarini tunasema hatuwezi, hapa lazima tuna upungufu fulani vichwani mwetu.
 
zambia wanzalisha makinia 15,000 wanachengua wenyewe tena malori ya hans pope ndio yanayoisomba kuileta dar sisi tunazalisha 25,000 tena tuko bandarini tunasema hatuwezi, hapa lazima tuna upungufu fulani vichwani mwetu.
Mkuu usiwe muongo. Zambia migodi yake ina dhahabu.
 
Tufafanulie zaidi mkuu hizo ni cooper smelters zina uwez huo unaotakiwa kuchenjua dhahabu,fedha na shaba au shaba peke yake. Maana naona kwenye hiyo orodha hakuna hizo za Japan ulizozitzaja.
mkuu technologia hiyo ya kuchengua ndio hiyohiyo inayotumiwa na masonara ambayo tunajifunza form two.
 
Tufafanulie zaidi mkuu hizo ni cooper smelters zina uwez huo unaotakiwa kuchenjua dhahabu,fedha na shaba au shaba peke yake. Maana naona kwenye hiyo orodha hakuna hizo za Japan ulizozitzaja.

Sijaweka smelters zote zenye uwezo zaidi ya 100,000 tons per lakini hata za japani na nchi nyingine pia zipo. Zipo zenye uwezo hadi 500,000 tons per year (Chuquicamata cha chile). Nilitaka tu kuonyesha zenye uwezo chini ya 100,000 tons per year.
 
ndiyo na mgodi wa ndola umenunuliwa na haohao barrick.
Mumbwa Copper Gold Mine, Zambia
Located in west central Zambia and lying within known mineralised iron oxide copper-gold (IOCG) terrain, the Mumbwa Copper-Gold Project licence area is some 5,200km² in extent. Containing a large IOCG mineralisation system with anomalous uranium, comparisons have inevitably been made between this deposit and Australia's legendary world-class Olympic Dam.

The project is a BHP Billiton/AIM Resources joint venture – AIM earning a 70% interest with a budget of $1.5m being spent on the scheme during 2006/07.

Huo ni mfano wa mgodi Zambia wenye gold na copper ila ni oxide ore. Tanzania ya buzwagi na buly ni sulfide ore. Nadhani sasa utakuwa umeelewa tofauti. Inaonekana migodi ya Zambia ina ore ya oxide ndio maana wanaweza kumaliza uchenjuaji
 
Graph hapo chini inaonyesha copper smelters mbali mbali katika nchi tofauti duniani zenye uwezo wa kuchenjua kuanzia 2,000 tons kwa mwaka mpaka zenye uwezo wa 100,000 tons kwa mwaka ambazo zinaoperate mpaka sasa.
Kwahiyo hizi data zinapingana kabisa na conclusion waliyotoa TMAA kuwa smelter lazima iwe na capacity ya 150,000 tons per year to be economically viable. Hii inaonyesha hawakuresearch vya kutosha kuona kama kuna smelters zenye capacity ndogo huenda ilikuwa influenced na migodi yenyewe pamoja na smelters walizotembelea kule japani ( Toyo smelter yenye uwezo wa 300,000 tons per year pamoja na Saganoseki yenye uwezo wa 470,000 tons per year).

Nashauri team ya watalaam wa uchakataji na uchenjuaji makinikia iundwe kuangalia uwezekano wa ku install smelter yenye uwezo kati ya 40, 000 na 60,000 tons per year. Hii ni kutokana na kuwa migodi yetu inazalisha kati ya 50,000 na 60,000 tons per year na huenda production ikashuka zaidi.
Mimi ile ripoti ya TMAA huwa naipinga, haina weledi.

Lakini pia ikubukwe ule mchanga wa kwenye makontena sio kwa ajili ya ku-extract copper pekee.
 
Mbona watu wagumu kuelewa. Tofautisha copper na copper concentrate. Mbona hizo hata bongo zipo na nishawahi kuelezea hapa. Kuna kampuni maeneo ya posta/mmnazi mmoja inaitwa danformation inafanya hiyo kazi. Hizo nchi ore yake ni copper oxide na ya Tanzania nyingi ni copper zenye sulfur.

Kuwa na sulfur is not a problem. Sijui kama una idea yoyote ya pyrometallurgy. A sulfide concentrate can be easily converted to oxide form by Roasting.
 
Nimekuuliza wanayo dhahabu.
Onyx hajui lolote anazungumza porojo tu atofautishe makinikia ya dhahabu na copper ndio atapata jibu.Kwenye dhahabu kuna copper Sulphide(Chlcopyrite) ambayo imechanganyika na dhahabu , sasa ndiyo technology inatumika kutenganisha ili upate dhabu peke yake na copper na elements zingine peke yake.
 
Somo pana kuliko upana wa akili zetu. Tukimaliza kubishana turudi nyuma kuiangalia mikataba yetu, kabla hatuja kurupushwa mahakamani kuwalipa fidia wezi wetu. NI KWELI TUNAIBIWA LAKIN NI VEMA KWENDA TARATIBU.

Nashangaa sana hata wataalam wetu wanaingiza siasa katika swala hili.
 
zambia wanzalisha makinia 15,000 wanachengua wenyewe tena malori ya hans pope ndio yanayoisomba kuileta dar sisi tunazalisha 25,000 tena tuko bandarini tunasema hatuwezi, hapa lazima tuna upungufu fulani vichwani mwetu.
mkuu ka wewe hujui mambo ya miamba, ukae kimya tu.
 
Back
Top Bottom