Duh mi nikajua angalau alilenga goli kipa akacheza, kumbe mwana kapaisha š¤£
Duh mi nikajua angalau alilenga goli kipa akacheza, kumbe mwana kapaisha š¤£
Basi sawa, hilo unalijua wewe tu hahaaBallon D'or na Fifa player awards za mchongo
Ni kawaida, ukizingatia messi sio mzuri sana wa penalt, yeye free kicks ndio penalti zakeDuh mi nikajua angalau alilenga goli kipa akacheza, kumbe mwana kapaisha š¤£
Sawaa sio mzuri ila ndio hata kulenga target miguu 12 away imekua mtikhani kiasi hicho mkuu š¤£Ni kawaida, ukizingatia messi sio mzuri sana wa penalt, yeye free kicks ndio penalti zake
Basi sawa, hilo unalijua wewe tu hahaa
Soka linaweza kukushangaza ukapata uchizi. Walichokutana nacho Aegentina leo kitakuwa kilipa msongo mkubwa sana.Ecuador tunaenda kumpiga sio chini ya goli 3
ā½ļøMartinez
ā½ļøā½ļøMessi
What a kick. Achilia mbali kukosa, ni moja ya upigaji bora kabisa.
Hivi kule ndo kupaisha eee?Duh mi nikajua angalau alilenga goli kipa akacheza, kumbe mwana kapaisha š¤£
Nice kick japo kakosa....
Wabaguzi tu hao...Haya ni maneno aliyoyasema Romario gwiji wa zamani wa brazil.
šš§š· ROMARIO : āVinicius is not the player you say āif he plays well, Brazil will be champion, If he plays well, he will help Brazil A LOT.
The only Brazil player you say āif he does what heās capable of, Brazil will be champion. Is Neymarā
Wao wenyewe hawana imani kabisa na Vinicious, wanaona mchango wake ni wa kawaida sana kwenye national team
Nafikiri kuna namna imefanyika hizi timu za amerika ya kusini ambazo zimekuwa underdogs kwa miaka mingi kui-improve viwango vyao.Kabisa, jana hawakua katika kiwango tulichokizoea, semi final naamini tutafanya vyema
šļøROMĆRIO: š§š·Wabaguzi tu hao...
Nipo tayari kujifunza mkuu, kupaisha ni kupi?Hivi kule ndo kupaisha eee?
Wala hata hakupaisha, ilikuwa ni panenka moja nzuri sana, iligonga beselaDuh mi nikajua angalau alilenga goli kipa akacheza, kumbe mwana kapaisha š¤£
Nipo tayari kujifunza mkuu, kupaisha ni kupi?
ukanywe
Wala hata hakupaisha, ilikuwa ni panenka moja nzuri sana, iligonga besela
Ni kawaida sana kwa star, huwezi ukawa umekamilikaSawaa sio mzuri ila ndio hata kulenga target miguu 12 away imekua mtikhani kiasi hicho mkuu š¤£
Nipo tayari kujifunza mkuu, kupaisha ni kupi?
Mkuu Portugal anashiriki copa America? š¤£Ni kawaida sana kwa star, huwezi ukawa umekamilika
Portugal out, out out
Hahaaa hapana, mada ilihamia huku kwa mudaMkuu Portugal anashiriki copa America? š¤£
Sawaa, naamini pia kuna mtu alijifunza jinsi ya kulenga goli akiwa miguu 12 na goli š¤£Hahaaa hapana, mada ilihamia huku kwa muda