Kiranga
Platinum Member
- Jan 29, 2009
- 71,428
- 106,074
Ni kweli, alcoholism kawaida inakuwa na underlying psychological problems.Africa hatunywi pombe kama starehe watu wengi hawajui huu ukweli.
Hakuna starehe ya kunywa bia kreti moja mtu mmoja, mkae mkijuwa kuna Vitu watu vinawasumbuwa.
Hata Yule Gardner G Habash inasemekana pombe Kali ndio source ya ugonjwa wake.
Sasa jiulize mtu asiye na stress atamaliza Vipi chupa zima la scotch?
Labda ninachotaka kusema hapa kama ilivyo tatizo la vidonda vya tumbo sababu yake kuu ni kuishi dunia ya tatu, basi na issue ya pombe iko hivyohivyo.
Bongo sasa hivi ni 03:38 midnight lakini nasikia mziki kwenye pub ya Jirani watu wanakula maji tena asubuhi tunaamkia working day? Unadhani ni kweli hawa watu Wana furaha?
Wengine wakirudi nyumbani mapema ni kama Jehenamu wake zao Wana midomo kama chuchunge nyumbani hapakaliki.