Dr Restart
JF-Expert Member
- Jul 15, 2021
- 4,961
- 24,187
Nina gundu kama Kane .mkuu wewe ni kichapo dabo dabo kule euro tumekutandika ukaja copa tumekutandika.
Mimi si Mcolombia. Ila sikupenda andunje achukue.
Ila Uingereza kufa kuzikana.
Nina gundu kama Kane .mkuu wewe ni kichapo dabo dabo kule euro tumekutandika ukaja copa tumekutandika.
HahahahahaKaoge mto Yordani mkuu
Karol G huyu ana macho fulani hivi 🔥🔥🔥
Usiku wa jana ulikuwa mbaya sana kwa mashabiki wa man u ambo wengi ni haters wa messi na wapenzi wa kobe mauno.mkuu wewe ni kichapo dabo dabo kule euro tumekutandika ukaja copa tumekutandika.
Argentina ni wana aggressive high pressing kuliko hata ya Spain... nasuburi kuona hiyo game ya finalisima itakavyokuwa.kama kuna mtu alikua anasema hawa arg wanabebwa a refute kauli yake. jamaa wako aggressive mamaye sio poa
arg. ni habari nyingine Spain lazima akalishweArgentina ni wana aggressive high pressing kuliko hata ya Spain... nasuburi kuona hiyo game ya finalisima itakavyokuwa.
Hatari sanaarg. ni habari nyingine Spain lazima akalishwe
Greatest Of All TimeView attachment 3042715
Timu ina bahati ya Mataji....