kutwamara3
Senior Member
- Jul 16, 2013
- 170
- 27
pls, leave our prophet! Acha wanaomini waamini,wasioamini mkae kimya!
Duh,na ww ni shabk wa hz mambo?
pls, leave our prophet! Acha wanaomini waamini,wasioamini mkae kimya!
that's a bit harsh on him...
try not to reply a non believer in a vulgar way!
Be blessed!
Bora yeye hajawahamasisha waumini wake kwenda kuchoma nyumba za ibada za dini nyingine, kumwagia watu tundikali, kuua watu wasio kuwa na hatia kama ndugu zako wa Boko Haram.
Kama anafanya utapeli kwa waumini wake na wao wanaridhika, hawajakulalamikia, why is this your business?
How does it concerns you?
Tumia muda wako kwenda kutetea Sheikh Ponda
Final, July 4th. 2013 tuliondoka Dar Es Salaam na Ethiopian Airways to Lagos.
Tumekwenda kwa TB Joshua na SCOAN kwa ujumla.
Safari ilikuwa nzuri na tumebalikiwa sana.
Tunaweza kutoa ushuhuda wa safari yetu.
Tulikuwa watu 400 ambao wote hao, safari ilifanikishwa na Dada Martha (God Bless her).
Matatizo madogo madogo yaliyonifanya nianzishe hii thread kwa kiasi kikubwa yamepungua sana, na Marta alifanya kazi kubwa sana.
Ndugu zangu, msiogope vikwazo, nendeni...
Praise the Lord
queeny, Tabby, Mtambuzi, nndondo, XXLIZ, MTK, Suzie, uniq, christine ibrahim
Ndugu Sumbawanga, sijakuelewa, kwa hiyo baada ya kwenda na kurudi na matatizo yako kwisha ndio unataka kusema matatizo ya coordination yanayotokana na coordinator yameisha? Nadhani jinsi ya ku faidi baraka ulizokuja nazo nikuendelea kufanya yale ya kimungu, nilifikiri utaniambia tufanye mkutano wa kumuombea Martha lakini sio kumpongeza kwa kutekeleza majukumu yake kwa mateke na mangumi. Nadhani pongezi zitolewe na waombaji wapya kama watatuambia kuwa yale yote yaliyolalamikiwa wakati wa mchakato wenu, wao hawakuyapitia. Kumbuka swala la kwenda scoan halitakiwi kuwa marginalized to shida zako kwisha, Huku nikuangalia haya mambo kidunia zaidi, ninakushuari usiache kumshukuru mungu for his mercy and favor toa zaka, lakini zaidi ya yote ask for your spiritual enhancement na utende mema,
nimetafuta sana connection ya kwenda scoan nigeria.kwani ofisi za huyu dada zipo wapi au namba yake ya simu msaada.
CC.. Prophet TB Joshua
CC.. Emmanueli Tv
Najiuliza tu .. Huyo Martha anashughulikia hayo masuala as an individual au ni taasisi??
Hakuna watu wengine ndani ya hyo ofisi ya Martha. .. Wanaotoa huduma? Mleta mada maoni yako ungeyafikisha pia katika ofisi hyo.
Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
Final, July 4th. 2013 tuliondoka Dar Es Salaam na Ethiopian Airways to Lagos.
Tumekwenda kwa TB Joshua na SCOAN kwa ujumla.
Safari ilikuwa nzuri na tumebalikiwa sana.
Tunaweza kutoa ushuhuda wa safari yetu.
Tulikuwa watu 400 ambao wote hao, safari ilifanikishwa na Dada Martha (God Bless her).
Matatizo madogo madogo yaliyonifanya nianzishe hii thread kwa kiasi kikubwa yamepungua sana, na Marta alifanya kazi kubwa sana.
Ndugu zangu, msiogope vikwazo, nendeni...
Praise the Lord
queeny, Tabby, Mtambuzi, nndondo, XXLIZ, MTK, Suzie, uniq, christine ibrahim
Mkuu matatizo yapo pale pale.Wale dada waliopo pale ni kama hawafanyi kazi ya Mungu.Kwa sifa na hali halisi tunayoiona SCOAN kupitia Emanuel TV inatia hasira sana unapokuta watu wa ovyo kama wale wakiwa ndio wawakilishi.
Kuna mtu kanipigia simu baada ya kumuelekeza hiyo ofisi lakini kaondoka akiwa amejibiwa ovyo ovyo huwezi amini kama wale wanafanya kazi ya Mungu.
Nyinyi mliopata hizo fursa mlipaswa kumpa ukweli kisawasawa ili wabadilike hasa wajue namna ya kuzungumza na watu na si lugha za ovyo na body language inayokufukuza!
Naamini sana Neno la Mungu ila siwaamini makanjanja wa kufanya ishara, tatizo kizazi cha sasa kinahangaika kutafuta Ishara badala ya kuamini neno.
Hivi ni Mungu gani huyo anayetenda Miujiza Nigeria tu? Mbona Nigeria yenyewe haipo Shwari?
Huyu mtumishi anatengeneza mazingira ya rushwa
Habari njema ni kwamba mama consolata ngimbwa ameombwa na prophet kumsaidia martha baada ya malamamiko yasioyisha kuendelea kumfikia. December watu walioenda wamefurahia na wamepokea baraka maana wameenda kwa amani, martha rip