Coordinator wa SCOAN Tanzania

Coordinator wa SCOAN Tanzania

Out of topic,nimefika hapo Benjamin mara tatu lkn sijawahi kukuta ofisi zipo wazi,kama waliemuweka Ana kazi sehemu nyingine basi watafute mtu permanent wa kuhudumia watu kuanzia asubuhi mpaka muda wa jioni.....japo sina uwezo wa Kwenda Lagos....

yes yy anajitolea tu
so ofisi ni sa 1 mpaka sa 4 asubuhi
 
Habari njema ni kwamba mama consolata ngimbwa ameombwa na prophet kumsaidia martha baada ya malamamiko yasioyisha kuendelea kumfikia. December watu walioenda wamefurahia na wamepokea baraka maana wameenda kwa amani, martha rip

Praise the lord halleluyah....
 
jamani mnabishana au mnaongea mambo ya Mungu hapa maana naona
kuna ugomvi usijielezea hapa
Hamkumbuki yakuwa hata mwana wa Mungu Yesu
alinyenyekea hadi mauti sasa wewe mdada uliyewekwa hapo
SCOAN kwa huduma ya Mungu mbona wewe umekuwa tofauti na neno la
Mungu lilivyo au matendo ya Yesu yalivyo?

Martha alijitahidi kwa uwezo wake ingawa alikuwa na mapungufu yake ya ubinadamu. Hata hivyo scoan wameongezeka coordinators baada ya malalamiko. Kwa mtaji huo myu unaweza kwenda scoan kwa kutomtumia martha kaaya
 
Tabby tuwe wakweli huduma haiendi sawa pale...... na utukufu wa Bwana haupo,kwangu mimi wazo kama hilo ni changamoto ya kutumia kubadilika it's always very important to respect "WHAT THEY SAY ABOUT US" for improvement. Sio majibu mepesi kwa wazo gumu kama hilo.
 
Dah!Imani sasa zimekuwa kama mipasho ya taarabu enzi za Khadija kopa na Nasma Hamisi.Enzi za "kinyago cha mpapule nyamaza nikustiri".Ninachokiona hp ni jambo dogo sana la 'kutunishiana misuli',Km ishu ni suala la poor customer service ambalo "wateja" wenu wameliona,si unachopaswa kufanya ni kubadilika na kuboresha pale penye mapungufu?Sitaki kuamini kuwa mnafahamiana na mna personal conflict between you.Jaribuni kuwa wanyenyekevu kama Yesu alivyokuwa mnyenyekevu unless otherwise km hiyo sio huduma ya kimungu.
 
NIMEJIBIWA KAMA IFUATAVYO NA SCOAN...... AS IF ANANIFAHAMU KAMA MIMI NI MDADA....!

user-offline.png
SCOAN

Yesterday 14:00

Member Array


Join Date : 22nd March 2014
Posts : 39
Rep Power : 308
Likes Received7
Likes Given23



[h=2]
icon1.png
Mxiiiii[/h]
We mwanamke ni mbeaaa..afu mdomo wako kama unakichungi!!!

Sikupendi kama nini yani...Mxiiiiii

Lione bichwa kuuuuuubwaaaa!!

Sent from my GT-N7000 using JamiiForums mobile app​
 
Tabby tuwe wakweli huduma haiendi sawa pale...... na utukufu wa Bwana haupo,kwangu mimi wazo kama hilo ni changamoto ya kutumia kubadilika it's always very important to respect "WHAT THEY SAY ABOUT US" for improvement. Sio majibu mepesi kwa wazo gumu kama hilo.

Well said. Shida ya watz wengi hatupendi kabisa kuambiwa ukweli.
 
Dah!Imani sasa zimekuwa kama mipasho ya taarabu enzi za Khadija kopa na Nasma Hamisi.Enzi za "kinyago cha mpapule nyamaza nikustiri".Ninachokiona hp ni jambo dogo sana la 'kutunishiana misuli',Km ishu ni suala la poor customer service ambalo "wateja" wenu wameliona,si unachopaswa kufanya ni kubadilika na kuboresha pale penye mapungufu?Sitaki kuamini kuwa mnafahamiana na mna personal conflict between you.Jaribuni kuwa wanyenyekevu kama Yesu alivyokuwa mnyenyekevu unless otherwise km hiyo sio huduma ya kimungu.


Unless watanzania tunakubali kuacha kutoa huduma kama "favor"hii weakness itaendelea kwa muda mrefu sana.

No wonder the kenyans are taking our jobs in hotel industry.......
 
Yaani ningekuwa mimi Martha ningeshukuru kwa maana nimepewa ushauri wa kuboresha huduma lkn naona mtoa taarifa anashambuliwa tena!!!!
Martha badilika,chukulia km changamoto
 
Tatizo lako unachanganya mambo ya kiroho na unataka yaendeshwe kwa ustaarabu wa kidunia. Ulimwengu wa roho ni halisi na si huu wa dunia hii. Unachodemand hakina hata u husiano na Mungu kukuhudumia wewe.Why are you fighting Marther as if God has failed to attend you because of her poor customer care as you are calling it! Eti Tanzanian mentality! Dont you know that there is only ONE TRUE UNCHANGING AND UNLIMITED GOD IN THE WORLD AND HEAVENS? Usishangae unashindwa kupokea kutoka kwa Mungu kwa ajili ya kiburi chako na wala si kwa ajili ya customer care mbaya ya Martha.Mungu hafuati ustaarabu wenu wa kidunia.Angalia Naaman mtu maarufu alipona ukoma kwa kujichovya katika mto Jordan. Hakuangalia mito ya kwao ina uzuri gani kunzidi mto Jordan na hakuona kama mto Jordan haukuwa wa hadhi yake. Unashangaza unaposema Mentality za kitanzania et ili uonyeshe utaaluma unyenyekewe hadi kwenye shida zako za kiroho!. Hilo lisahau!. Kwa Mungu hakuna hiyo! Wewe ndiiye unatakiwa kunyenyekea na kutii vile Mungu anakuagiza ufanye. (2KINGS 5: 1 - 14)Kumshambulia Martha ni dalili za wazi za ushamba wa kiroho.

Mkuu, japo ni kweli kiimani tunatakiwa kuwa wanyenyekevu lakini sidhani kama upo sahihi kwa yote unayoyasema. Tukitendewa vibaya tuna jukumu la kusamehe kiimani, je hatupaswi kumfahamisha aliyetunda vibaya kuwa kakosea? Mie sidhani kama ni sahihi kwa mtumishi katika nyumba za ibada kuwatenda vibaya waumini halafu aruhusiwe tu kuendelea kuwatenda kwasababu eti waumini ni wanyenyekevu.
 
Sumba-Wanga naona umeukumbushia huu uzi. Jana nimetukanwa na yule mama wa Scoan. Kisa nimemuambia ukweli
 
Sumba-Wanga naona umeukumbushia huu uzi. Jana nimetukanwa na yule mama wa Scoan. Kisa nimemuambia ukweli

Mkuu huyu mama anawatukana kwa PM au?


Sent from my iPhone using JamiiForums app.
 
Mkuu, japo ni kweli kiimani tunatakiwa kuwa wanyenyekevu lakini sidhani kama upo sahihi kwa yote unayoyasema. Tukitendewa vibaya tuna jukumu la kusamehe kiimani, je hatupaswi kumfahamisha aliyetunda vibaya kuwa kakosea? Mie sidhani kama ni sahihi kwa mtumishi katika nyumba za ibada kuwatenda vibaya waumini halafu aruhusiwe tu kuendelea kuwatenda kwasababu eti waumini ni wanyenyekevu.

Well argued. Hii huduma sio favor jamani.
 
Sumba-Wanga naona umeukumbushia huu uzi. Jana nimetukanwa na yule mama wa Scoan. Kisa nimemuambia ukweli

Funguka mkuu hebu tupashe ilikuwaje?

Nasikia ma coordinator wa scoan wameongezwa. Tunaomba mwenye taarifa zaidi..
 
Yaa wapo macoordinator mama nyoni na mama mgimbwa wote dar mmoja hapo baraka plaza mwingine mbez....
 
Mama nyoni na eng mgimbwa ni coordinators nw raha sana no kuchefuliwa na martha
 
Siku za hizi karibuni tumeshuhudia watanzania wengi wakijitahidi kwenda kwa Mchungaji T.B. Joshua, wa SCOAN Nigeria kwa maombezi. Hiki kinachotokea kwa sasa ni kielelezo tosha kwamba watu wengi wana mahangaiko makubwa sana na wangependa kumrudia Mungu wao kwa Uponyaji.

Naomba nizungumzie tabia za kukera za Coordinator wa SCOAN hapa Tanzania, Martha. Huyu dada ni kiburi sana, anamajidai, hajali watu, anajibu jeuri, na ku treat watu wazima kama vile wanafunzi wa sekondari. Huyu dada amejisahau, anaona kama vile anafanya kazi White House, amekosa kabisa maadili ya watu wanaosaidia watu wa Mungu. anajipangia tu muda wa watu na siku za kwenda ofisini kwake bila kujali kwamba hao watu wanatoka mikoani, au dar! Hata Dar yenewewe ina foleni, unapowaambia watu wafike Benjamini Mkapa saa moja kamili anafikiria nini? Na hata ukimwambia kwamba unatoka mbali hajali, atakupa jibu la karaha.

Last week wisemen from SCOAN- Nigeria walikuja Diamond Jubilee. Huyo dada aliadhirika sana kwa kiburi chake, kwa maana matendo yake na tabia zake ni tofauti sana na watu wa SCOAN kutoka Nigeria. hakuwapaa watz taarifa za kutosha madhumuni ya safari yao. Hili lilileta usumbufu mkubwa sana. Waliokuwepo Diamon Jubilee ni mashahidi zangu.

nasikia amesusa kuuza maji baada ya kuona kwamba watu wamemsemea,
Typical of Tanzanians behavior, sasa kazi ni yako unasusa nini?
Unamsusia nani?
Kwa nini uliikubali? Kama hutaki si uache?

Kwa kweli huyo dada, ni janga la taifa.

ebu acheni malumbano wapo wengi wanahitaji hayo maji kama huyo matha mnadai ana majibu mabaya kwa wateja,lakini mmesema wapo macoordinators wengine hapa tz basi tupe namba za hao wengine ili watu wakapate huduma kwa hao wengine kama wapo
 
Back
Top Bottom