Coordinator wa SCOAN Tanzania

Coordinator wa SCOAN Tanzania

Haujafa, haujaumbika! wewe unaye sema vibaya kuhusu watu kutafuta huduma ya uponyaji, haujafikwa na jambo. Wako watu wamezunguka sana bila mafanikio au wanapata mafanikio ya muda mfupi na mambo yanarudi kuwa mabaya zaidi.

Kwa mtu wa Imani, sikulazimishi, ila chukua hili leo litakusaidia NGUVU ZA MUNGU ZINAZOFANYA KAZI KWA WATU (WATUMISHI/MAPADRE/WATAWA......) ZIKO KWA MADARAJA TOFAUTI KWA KUTEGEMEANA NA MUHUSIKA ALIVYOSIMAMA NA MUNGU NA KUTIMIZA MAPENZI YA MUNGU hivyo fahamu mtumishi anaweza akawa anatoa mapepo au kuponya LAKINI kuna ambayo yanamgomea............ na hilohilo lililogoma kwake akienda kwa mtumishi mwingine likatoka kirahisi tuu.

Hili linatokea kwa watumishi wa MUNGU wote ila kwa KIBURI, KUTOPENDANA au KUTOFAHAMU wengi hawaukubali huu kuwa ukweli na pia waamini pia hatujui ndio maana comments nyingi ni za kukejeli wautafutao uso wa MUNGU. Kitendo cha mtu kutoka TZ mpaka Nigeria peke yake ni Imani inayopelekea uponyaji (Au labda Arusha-Dar-Mbeya-Mwanza au popote mtu atakapokwenda Imani ndio msingi na pili nguvu ya yule mtumishi.

Mwisho tujue NGUVU ZA WATUMISHI ZINA LEVEL TOFAUTI TOFAUTI, kama kwenye mambo mengi kuna nafasi ya 1,2,3...... ndivyo ilivyo pia kwa watumishi. TB Joshua ni level nyingine, mfuatilie.

Mimi nadhani mtu kusafiri kutoka Tanzania mpaka Nigeria inaonyesha UKOSEFU WA IMANI na sio IMANI DHABITI! Sasa kwanini hayo maji mnachoamini ni ya upako yanauzwa au yanatolewa kwa masharti ya kununua kitu kingine? Kwani Yesu alikuwa anawachaji fedha watu aliowaponya?
 
Simuamini tb joshua na ninashangaa watu wanaacha wapakwa mafuta hapa wanakimbilia jina alafu tangu lini uponyaji ukauzwa eti anauza maji pia izo stika zake zinamsifia tu yeye na sio Mungu nakumbuka kuna kipindi alikuwa anakusanya wagonjwa wa kuombea hapa tz sharti no.1 ni kwamba uwe na cheti kutoka hospitali ya serikali kudhibitisha ugonjwa wako bila hivyo uombewi ivi kwa ikristo wa kawaida tu kunakujiorodhesha kwenda kupokea uponyaji kwa details ni Mungu gani huyo anehitaji details za ugonjwa na mgonjwa? kuna mambo mengi sana huyu baba anashangaza kama utafutilia kwa makini tv yake pia iweje ukimsaidi mtu umbandikie kiasi ha fedha kwenye baasha wakati neno linasema utoapo ata mkono wako wa kushoto usijue kilichotolewa na mkono wa kulia!!
 
Mimi nadhani mtu kusafiri kutoka Tanzania mpaka Nigeria inaonyesha UKOSEFU WA IMANI na sio IMANI DHABITI! Sasa kwanini hayo maji mnachoamini ni ya upako yanauzwa au yanatolewa kwa masharti ya kununua kitu kingine? Kwani Yesu alikuwa anawachaji fedha watu aliowaponya?

Na watu wakumbuke kuwa matatizo ndo kipimo cha imani, wao wanafikiri imani ni kuteleza tu bila kukumbana na matatizo. Wakiumwa kidogo tu mbio Nigeria
 
tehe tehe tehe, pole sana, kumbe wamekukimbia kwenye kanisa lako?
Sasa nukuelewa.
 
Mimi nadhani mtu kusafiri kutoka Tanzania mpaka Nigeria inaonyesha UKOSEFU WA IMANI na sio IMANI DHABITI! Sasa kwanini hayo maji mnachoamini ni ya upako yanauzwa au yanatolewa kwa masharti ya kununua kitu kingine? Kwani Yesu alikuwa anawachaji fedha watu aliowaponya?

It leaves a lot to be desired
 
Mimi nadhani hapa kuna mgongano wa kimaslai.
Asante sana mkuu.
Kwa nini mtu na chuki tu bila sababu?
kwani watu wakienda huku wanakupunguzia wateja?

cc mfarisayo, ndendi, MzalendoHalisi

Kwa taarifa yako mi ni Mkatoliki, kanisa lina wauumini na upako wa kutosha halina haja ya koukoteza waumini vichochoroni kwa kufanya viini macho na ulaghai
 
Kuna watu hayajawakuta ndio maana povu jingi. Siku ukifikwa na uhitaji ndio utatia akili na kuona tofauti ya hao watumishi. Kila mmoja ana nguvu yake. Kwasasa kuweka kijumla jumla kuwa popote MUNGU yupo na anafanya kazi ile ile ni uongo. Upako na usafi wa kila mtumishi/padre..... matters a lot kwenye kazi ya MUNGU kufanyika sawasawa.

Kama haujawahi kuwa na uhitaji wa kiukweli hili haulijui na hivyo sio sahihi kuwasema wengine walioshapita kwenye tanuru....
 
Kwa taarifa yako mi ni Mkatoliki, kanisa lina wauumini na upako wa kutosha halina haja ya koukoteza waumini vichochoroni kwa kufanya viini macho na ulaghai


Okay sasa nimeelewa msingi wa imani na msimamo wako against SCOAN!
 
Simuamini tb joshua na ninashangaa watu wanaacha wapakwa mafuta hapa wanakimbilia jina alafu tangu lini uponyaji ukauzwa eti anauza maji pia izo stika zake zinamsifia tu yeye na sio Mungu nakumbuka kuna kipindi alikuwa anakusanya wagonjwa wa kuombea hapa tz sharti no.1 ni kwamba uwe na cheti kutoka hospitali ya serikali kudhibitisha ugonjwa wako bila hivyo uombewi ivi kwa ikristo wa kawaida tu kunakujiorodhesha kwenda kupokea uponyaji kwa details ni Mungu gani huyo anehitaji details za ugonjwa na mgonjwa? kuna mambo mengi sana huyu baba anashangaza kama utafutilia kwa makini tv yake pia iweje ukimsaidi mtu umbandikie kiasi ha fedha kwenye baasha wakati neno linasema utoapo ata mkono wako wa kushoto usijue kilichotolewa na mkono wa kulia!!



Angalia Emmanuel TV.

Ngoja waje wengine wakusaidie

cc maria pia, christine ibrahim, Tabby, uniq, Suzie, MTK, XXLIZ, Mtambuzi, nndondo, queeny, @
 
Last edited by a moderator:
Na watu wakumbuke kuwa matatizo ndo kipimo cha imani, wao wanafikiri imani ni kuteleza tu bila kukumbana na matatizo. Wakiumwa kidogo tu mbio Nigeria

Mkuu ni watu wangapi wanakwenda Nigeria hadi unadai "watu wakiumwa kidogo tu wanakimbilia Nigeria"????
Any data or research to support your claims?
For example, how many people wamekimbilia Nigeria in the last 3 years?
 
Kama unadhani umesimama endelea kusimama lakini wapo walioinuliwa imani zao kupitia TB Joshua nao sasa wamesimama tubeze hilo?
Tuache ujuaji ktk mambo ya imani maana wapo walioanza kuamini kwa kutizama tu emanuel tv hivyo kama wewe unaona umekua kiimani hadi kuanza kukosoa huduma nyingine waache ambao wanamtafuta Mungu sasa waokolewe maana hata Yesu hakumbeza Tomaso bali alihakikisha anaamini na akasema watakuwa wengi.
 
Simuamini tb joshua na ninashangaa watu wanaacha wapakwa mafuta hapa wanakimbilia jina alafu tangu lini uponyaji ukauzwa eti anauza maji pia izo stika zake zinamsifia tu yeye na sio Mungu nakumbuka kuna kipindi alikuwa anakusanya wagonjwa wa kuombea hapa tz sharti no.1 ni kwamba uwe na cheti kutoka hospitali ya serikali kudhibitisha ugonjwa wako bila hivyo uombewi ivi kwa ikristo wa kawaida tu kunakujiorodhesha kwenda kupokea uponyaji kwa details ni Mungu gani huyo anehitaji details za ugonjwa na mgonjwa? kuna mambo mengi sana huyu baba anashangaza kama utafutilia kwa makini tv yake pia iweje ukimsaidi mtu umbandikie kiasi ha fedha kwenye baasha wakati neno linasema utoapo ata mkono wako wa kushoto usijue kilichotolewa na mkono wa kulia!!

Labda tukumbushane kwamba hii thread ilivyoanza ilikuwa na lengo la kumrekebisha cordinator wa SCOA, na wala sio kujadili kama TB Joshua ni wa kweli ama la.

Moods walihamisha thread hii na kupeleka jukwaa la dini. Ila kwa kuwa sio kila mtu ana access kule, niliwaaomba wairudishe hapa ili watu wengi WAWEZE KUCHANGIA NA KUJADILI TABIA YA MARTHA KAAYA, na sio ukweli ama uongo wa TB Joshua. Naona wengi wamevalia njuga na kudai kwamba ni ujinga na kukosa maarifa kwenda Nigeria. Mtazmo huo sio mbaya kwa maana kila mtu yuko huru kuwa na mtazamo wake.

Nawashauri wale wote wanaodhani kwamba TB Joshua sio wa kweli, basi wafungue uzi kule Jukwaa la DINI ili watu wachangie kwa mapana na marefu. I am convinced that is more appropriate than here. It is not too late.

Hivyo basi, Wale wote wanaodai kwamba TB Joshua sio mkweli na nikupoteza muda, kukosa maarifa kwenda nigeria cc mfarisayo, Nsiande, hasason, ndendi, mary John na wengine, fungueni thread Jukwaa la DINI
 
Last edited by a moderator:
Labda tukumbushane kwamba hii thread ilivyoanza ilikuwa na lengo la kumrekebisha cordinator wa SCOA, na wala sio kujadili kama TB Joshua ni wa kweli ama la.

Moods walihamisha thread hii na kupeleka jukwaa la dini. Ila kwa kuwa sio kila mtu ana access kule, niliwaaomba wairudishe hapa ili watu wengi WAWEZE KUCHANGIA NA KUJADILI TABIA YA MARTHA KAAYA, na sio ukweli ama uongo wa TB Joshua. Naona wengi wamevalia njuga na kudai kwamba ni ujinga na kukosa maarifa kwenda Nigeria. Mtazmo huo sio mbaya kwa maana kila mtu yuko huru kuwa na mtazamo wake.

Nawashauri wale wote wanaodhani kwamba TB Joshua sio wa kweli, basi wafungue uzi kule Jukwaa la DINI ili watu wachangie kwa mapana na marefu. I am convinced that is more appropriate than here. It is not too late.

Hivyo basi, Wale wote wanaodai kwamba TB Joshua sio mkweli na nikupoteza muda, kukosa maarifa kwenda nigeria cc mfarisayo, Nsiande, hasason, ndendi, mary John na wengine, fungueni thread Jukwaa la DINI

Mkuu,kumbe hii thread bado ipo?
Achana na hao wasioamini,kwanza waamini wasiamini hakuna wanachotusaidia wala kupunguza imani yetu!

..kwanza nisaidie jins ya kupata access jukwaa la dini
 
Last edited by a moderator:
Kwa taarifa yako mi ni Mkatoliki, kanisa lina wauumini na upako wa kutosha halina haja ya koukoteza waumini vichochoroni kwa kufanya viini macho na ulaghai

Ha haa,pole,hata mi binafsi ni mkatoliki!lkn ss ni muda wa waabudio halisi,ktk roho na kweli!sio kwenda kanisani km desturi,na kukaririshwa sala za vitabuni!
..na Joshua hajawahi kuhubiri dini zaidi ya upendo,na mafundisho mengine!
..huu sio muda wa kufungamana na dini,ni muda wa kumtafuta Mungu ktk roho na kweli!na biblia inasema wazi,'waabudio halisi ndo watakaomuona Mungu'!
Ukweli ni kwamba,kila mtumishi ameitwa kwa kazi yake,na level zinatofautiana,kasome biblia yako,sio 'misale ya waumini' hao wachungaji/maaskofu/wainjilisit wenyewe wanaenda kule kuwa delivered sembuse ww?
So acha kukashifu wanachokiamini wengine
 
Ha haa,pole,hata mi binafsi ni mkatoliki!lkn ss ni muda wa waabudio halisi,ktk roho na kweli!sio kwenda kanisani km desturi,na kukaririshwa sala za vitabuni!
..na Joshua hajawahi kuhubiri dini zaidi ya upendo,na mafundisho mengine!
..huu sio muda wa kufungamana na dini,ni muda wa kumtafuta Mungu ktk roho na kweli!na biblia inasema wazi,'waabudio halisi ndo watakaomuona Mungu'!
Ukweli ni kwamba,kila mtumishi ameitwa kwa kazi yake,na level zinatofautiana,kasome biblia yako,sio 'misale ya waumini' hao wachungaji/maaskofu/wainjilisit wenyewe wanaenda kule kuwa delivered sembuse ww?
So acha kukashifu wanachokiamini wengine

Logic yako dhaifu sana na inaonesha kuwa hata huo ukatolic unaousema hauujui kwani ukiwa mkatolic husomi biblia? Kutokusoma biblia ni matatizo ya mtu binafsi. Misale imeextract vifungu vya kwenye biblia kwa lengo la somo husika kwa misa.

Mi ni mkatolic sina misale nyumbani natumia biblia tu. Pia kuna kitu unatakiwa kuelewa si kila mtu ana uwezo wa kusoma biblia na kuielewa na hata wewe pia umeonesha kuwa hujui chochote ndani ya biblia maana umejaribu kunukuu vifungu ambavyo nikikwambia uvifafanue huwezi kufafanua.

NB: Katika watu wenye uwezo mkubwa wa kutafsiri biblia Mapadre pia wana uwezo mkubwa sana mimi huwa nasikiliza mahubiri ya wachungaji mbalimbali wengi tu dunia nzima na hata huyo TB huwa naangalia na kusikiliza nataka nikwambie ni wachache sana wenye uwezo wa kutafsiri biblia kuliko mapadre
 
Mkuu,kumbe hii thread bado ipo?
Achana na hao wasioamini,kwanza waamini wasiamini hakuna wanachotusaidia wala kupunguza imani yetu!

..kwanza nisaidie jins ya kupata access jukwaa la dini

Mwandikie invisible kuomba acess.
It is as simple as that
 
Simuamini tb joshua na ninashangaa watu wanaacha wapakwa mafuta hapa wanakimbilia jina alafu tangu lini uponyaji ukauzwa eti anauza maji pia izo stika zake zinamsifia tu yeye na sio Mungu nakumbuka kuna kipindi alikuwa anakusanya wagonjwa wa kuombea hapa tz sharti no.1 ni kwamba uwe na cheti kutoka hospitali ya serikali kudhibitisha ugonjwa wako bila hivyo uombewi ivi kwa ikristo wa kawaida tu kunakujiorodhesha kwenda kupokea uponyaji kwa details ni Mungu gani huyo anehitaji details za ugonjwa na mgonjwa? kuna mambo mengi sana huyu baba anashangaza kama utafutilia kwa makini tv yake pia iweje ukimsaidi mtu umbandikie kiasi ha fedha kwenye baasha wakati neno linasema utoapo ata mkono wako wa kushoto usijue kilichotolewa na mkono wa kulia!!


Hasason, huhitaji kumwamini mtu yeyote maana vitu vyote ni watumishi wa Mungu na hivyo Mungu anaweza kutumia chochote akitakacho katika kukamilisha makusudi yake. Biblia inaonyesha alitumia hata punda wa Balam alinena. Na Mungu alitumia, udongo, moto, kijiti, vazi ya Elia/Elisha, Mate na udongo, maji, vazi la Yesu,fimbo,maneno ya kinywa n.k. Lakini pia Mungu amekuwa akitumia watu wa aina zote, wanawake, wanaume, wazee, vijana, watoto, bila kubagua social status.

Zaidi ya yote, Bwana Yesu Kristo alifanya mambo mengi sana kwa mifumo mbali mbali kiasi hata wale wanafunzi wake, kina Petro, Yohana, Mathayo na wengine wote walimshangaa japo walikuwa naye wakati wote akiwafundisha. Kabla hajapaa, kwenda kwa Baba alisema "Wamuaminio watafanya aliyoyafanya na kuzidi".

Unapoquestion uponyaji unaofanyika kwa njia ya Imani, unatakiwa uwe na vigezo sahihi vya Ki Biblia. Ni kweli Biblia inasema msiamini kila roho bali zijaribuni kama zatokana na Mungu. Sasa unapokuja na urgument za kuonyesha kwamba roho ile inayofanya kazi si ya Mungu uwe na vigezo vya ki maandiko ili ku justify hoja.

Kusema kwamba watu wanaacha kupakwa mafuta hapa na kukimbilia jina, unapaswa kwanza kuelewa kwamba Mungu amegawa Karama na Huduma mbali mbali kwa watu tofauti lakini anayefanya kazi ni Roho yeye yule. Karama na huduma hizi haziipingani wala kushindana na badala yake zina complement each other. Unapaswa kutambua Mgawo huu wa Mungu wa Karama na Huduma za rohoni na utofauti wa utendaji kazi yake toka mtu hadi mtu. Na hii inawafanya watu waende kufuata wanachohitaji ambacho hakipo mahala walipo. Bado hapo si kumfuata mtu. Wanafuata Karama za Mungu kwa namna alivyozigawa na zinavyofanya kazi katika kanisa.


a Usidhani ni suala la kupaka mafuta tu na wala si kama quinine kwa Malaria. Kuhusu kuwa na vipimo vya Dr, ni kwa sababu hata wakati wa Yesu watu wagumu na wabishi walikuwepo. Ndiyo maana hata Yesu kuna wakati wakoma walipopona aliwaambia waende kujionyesha kwa mafarisayo;

Kwa mtindo huo huo, watu wengi hata wakiambiwa huyu mtu alikuwa na maradhi yaloshindikana kama Cancer, Fibroid ama ukimwi kapona kwa Jina la Yesu hawasadiki. Watumishi wengi wanataka upimwe kabla hujaombewa na baada ya kuombewa ukapimwe tena ili dunia ya wabishi ione kwa macho Yesu anavyoponya.! Japo hata wengine wakiona bado hawasadiki.


Lakini kama Mtu yeyote mwingine hapa Tanzania ambaye Mungu aunamtumia kukutana na mahitaji ya watu walioonewa na ilibilisi, na aseme wazi. Na wewe kama unao ushuhuda juu ya Mtumishi mwingine wa jinsi ile, hata kama anatumia mafuta ya korie, naomba utangaze hapa ili watu wapunguze msongamano wa kusurbiri Nigeria pamoja na gharama za fedha na muda.


Na kama una unaushuhuda kwamb TB Joshua hatumiwi na Mungu useme lakini si kwa kujifurahisha. Kama huna nyamaza na uendelee kujifunza na kuomba Mungu usije ukajikuta umemkosea Mungu bila kujua.
 
Unaangaika sana kwani wewe huna mchungaji wako wa kukuombea uponyaji hadi huyu TB, kumbuka kuna manabii wengi hapa tanzania sema tu umewadharau. Mungu sio uganga wa jadi anatumia yeyote hata mtoto. mbona hao wanageria hawaji bongo kuombewa. funguka
 
Unaangaika sana kwani wewe huna mchungaji wako wa kukuombea uponyaji hadi huyu TB, kumbuka kuna manabii wengi hapa tanzania sema tu umewadharau. Mungu sio uganga wa jadi anatumia yeyote hata mtoto. mbona hao wanageria hawaji bongo kuombewa. funguka
*-Siku za mwisho watu watajitenga na imani.
*- Amelaaniwa amtumainiaye mwanadamu kuwa kinga yake na moyoni mwake amemwacha Mungu.
*- ujapokuwa na imani ndogo kama punje ya haradanil utaweza kuhamisha milima, kuponya magonjwa n.k
*- Siku za mwisho kutatokea manabii wa Uongo watakaotenda Miujiza mikubwa wakitumia jina la Yesu 2korintho 11:12-15

SWALI LANGU: Wahubiri wa nje ndo wana Mungu na imani kuliko unakoabudu.Kwa maana hiyo mahali unapo amini na kuabudu huna imani napo?
Mungu wa Mbinguni yupo mahali pote na anasikiliza maombi yako ukiomba kwa uaminifu.Yeye hachelewi wala hawahi.
 
Back
Top Bottom