Rutashubanyuma
JF-Expert Member
- Sep 24, 2010
- 219,470
- 911,174
ccm wao hawataki katiba mpya lakini wanatuhadaa ya kuwa hapo ndipo roho yao inapodundia........................
chadema wanaikosoa ccm (rightly so) kuwa mchakato uliopitishwa kuwa sheria ni marekebisho ya 15 ya katiba iliyopo....................kwa maana ya viraka..............lakini la ajabu ufumbuzi wa chadema ni demokrasia ya vyama vya siasa na wala siyo demokrasia ya watanzania wote wenye vyama na tusiyo na vyama..................................mfano tu kwenye swala la tume chadema wanataka wao nao warudie kosa la jk la kuteua wajumbe wawili.........................kama jk hawezi kuteua wajumbe wa tume basi na chadema nao hawana uwezo wa kuteua hata mjumbe mmoja..........................well, chadema ought to face it that two wrongs can never be righted by anyway.........including colluding with ccm in a conspiratorial arrangements.........
kero ya chadema ni kuwa ccm mbona wanataka kula pekee yao na wao ndiyo chama kikuu cha upinzani hapa nchini?
nonsense..........tume ya kukusanya maoni ni haramu kwa sababu haikutoa fursa sawa kwa watanzania wote katika kushiriki katika kuiunda na wala siyo kwa sababu chadema hawakupewa nafasi nzuri wapange safu za ulaji ndani ya tume kama ccm inavyokusudia kuwazawadia akina profesa palamagamba na wengineo kwa kutetea dhuluma ya ccm ndani ya wanyonge wa kitanzania.....................kumbuk mgombea binafsi pamoja na mambo mengineyo.............
kwa hiyo ccm na chadema wote wapo nje ya mstari kwa kutetea masilahi yao na wala siyo masilahi ya taifa...........................shame on both of them..................
chadema wanaikosoa ccm (rightly so) kuwa mchakato uliopitishwa kuwa sheria ni marekebisho ya 15 ya katiba iliyopo....................kwa maana ya viraka..............lakini la ajabu ufumbuzi wa chadema ni demokrasia ya vyama vya siasa na wala siyo demokrasia ya watanzania wote wenye vyama na tusiyo na vyama..................................mfano tu kwenye swala la tume chadema wanataka wao nao warudie kosa la jk la kuteua wajumbe wawili.........................kama jk hawezi kuteua wajumbe wa tume basi na chadema nao hawana uwezo wa kuteua hata mjumbe mmoja..........................well, chadema ought to face it that two wrongs can never be righted by anyway.........including colluding with ccm in a conspiratorial arrangements.........
kero ya chadema ni kuwa ccm mbona wanataka kula pekee yao na wao ndiyo chama kikuu cha upinzani hapa nchini?
nonsense..........tume ya kukusanya maoni ni haramu kwa sababu haikutoa fursa sawa kwa watanzania wote katika kushiriki katika kuiunda na wala siyo kwa sababu chadema hawakupewa nafasi nzuri wapange safu za ulaji ndani ya tume kama ccm inavyokusudia kuwazawadia akina profesa palamagamba na wengineo kwa kutetea dhuluma ya ccm ndani ya wanyonge wa kitanzania.....................kumbuk mgombea binafsi pamoja na mambo mengineyo.............
kwa hiyo ccm na chadema wote wapo nje ya mstari kwa kutetea masilahi yao na wala siyo masilahi ya taifa...........................shame on both of them..................