Consolatha alipotelea wapi jamani?

Status
Not open for further replies.

excel

JF-Expert Member
Joined
Jul 8, 2011
Posts
22,434
Reaction score
17,861
wakuu, habari za jioni? kama mtakuwa na kumbukumbu vizuri, mtakumbuka kuwa kulikuwa na huyu bidada aliyeitwa consolatha hapa JF, alikuja moja kwa moja kutueleza juu ya usagaji, jinsi alivyoingia, madhara yake na alivyotoka.

Wakuu binafsi ile mada ilinipotea bila kuimaliza vizuri kwa sababu ilihamishiwa jukwaa ambalo sikuwa na access!

katika pita pita google na kusaka material zinazofanana na mada, nimekutana na hii hapa ID ikiwa imeeleza topic niliyokuwa nikiitafuta...

Samahanini nitakaowakera, naombeni sana muhusika azidi kutueleza zaidi juu ya hii kitu kwa sababu bado inaigusa jamii mpaka sasa na watu wanazidi kuathirika zaidi..


Stori ni ndefu sana, naombeni mnipe kama walau siku mbili au tatu hivi ila ninaweza jibu maswali yenu.
Tafadhali tupatie updates mkuu. itakuwa vizuri zaidi kama ukiendelea kuelezea kilichotokea!




mliopata hizo CD jamani tunaomba na sie tukanunuepo!
 
Kwani niegusa kalio la nyuki besti?lol.
Nna hamu sana na hii thread, sikuipata vizuri enzi zile!
Hidhi ni nyuki dhitakung'ata wewe! (kwa sauti ya kinyambe)
 
Mkuu hii ndio jf inakila aina ya watu. Makahaba,mashemale,walokole ,ma silent killer yaan kila aina ya watu wapo hata wanaojifanya walokole kumbe ni makanjanja.
Jf nouma jaman naiogopa balaa
 
Mkuu hii ndio jf inakila aina ya watu. Makahaba,mashemale,walokole ,ma silent killer yaan kila aina ya watu wapo hata wanaojifanya walokole kumbe ni makanjanja.
Jf nouma jaman naiogopa balaa

ving'ang'anizi wapigwa vibuti wanaofuatilia watu wanaoleta feedback za uongo wote wapo
 
Hivi likud ni he au she?

Hii ID ya consolatha nakumbuka ilileta mtafaruku sana kwa madame b, kumbe si yeye kabisa masikini!
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…