FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 92,890
- 109,227
Hapana wale watu wa Mungu walirambia pale Mkombozi bank, Maana walishiriki kutuaminisha kuwa Mkuu ni Chaguo la Mungu.
Naam na yeye kawawachia kanisa wahukumu watu wao wa Mungu. Tunangoja Pengo atupe tamko la watu wake.
Vipi kuhusu Masheikh aliosema? wameshajulikana au ni hao Maaskofu tu?