Rais Magufuli mjanja sana, Alikataa kufukua makaburi akaiacha mizimu ifufuke yenyewe. IMMMA advocates ni mzimu

JINOME

JF-Expert Member
May 29, 2017
958
1,424
MAGUFULI MJANJA SANA ALIKATAA KUFUKUA MAKABURI AKAIACHA MIZIMU IFUFUKE YENYEWE. IMMA ADVOCATES NI MZIMU. MIZIMU MINGI ITAFUFUKA.

IMMA Advocates ni Kampuni ya Mawakili Protase Ishengoma, Aloysius Mujulizi, Lawrence Masha na Sadock ya Dar es Salaam. KAMPUNI ya DEEP GREEN imesajiliwa kwa anwani ya IMMA HOUSE. Ni hao hao IMMA ADVOCATES.

Kampuni hii ilichota Bilioni 8 kwenye akaunti ya madeni ya nje (EPA). Jaji Mujulizi alijiuzulu nafasi yake Mahakama Kuu siku za hivi karibuni, IMMA ADVOCATES walituhumiwa sana na upinzani kwa kutatetea Makapuni ya TANGOLD LTD na DEEP GREEN FINANCE CO. LTD baada kuchota pesa katika akaunti ya Madeni ya nje (EPA) kutoka benki kuu ya Tanzania (B.O.T)

Leo IMMA ADVOCATES inatetewa na Tundu lissu, Lissu yuko tayari kutoa machozi ya damu kuitetea Kampuni ambayo awali aliituhumu kwa ufisadi.
IMMA ADVOCATES ndiyo mtetezi wa Kampuni ya kiingereza ya ACACIA katika sakata la Madini. TUNDU LISSU alikuwa wa kwanza kung'aka kuwa tutanyolewa kwa chupa endapo tutawasitishia ACACIA kusafirisha mchanga wa dhahabu kwenda nje.

My take: Hawa IMMA Advocates ni Mzimu umefufuka baada Kaburi lake kuachwa bila kufukuliwa. Hawa walikuwa wanachota pesa za watanzania kupitia Makampuni ya kigeni yaliyokuwa yanalihujumu taifa. Kipindi hicho Lissu alipiga kelele kwa vile LAWRENCE MASHA alikuwa CCM na aliujua ukweli lakini hakuwa na mgawo.

Leo MASHA ni mwana CHADEMA na IMMA ADVOCATES inaitetea Kampuni ya ACACIA ambayo hapana shaka kuwa LISSU anavuta mkwanja kutoka kwayo, , mambo yamebadilika.

IMMA ADVOCATES ni Kampuni moja tu hiyo. Hapana shaka kuna Makampuni mengine ya Mawakili ambayo kwa namna moja ama nyingine yalikuwa na uswahiba na wahujumu uchumi wetu na bado yanaendelea kufanya hivyo.

Serikali isirudi nyuma , izidi kuyachokonoa Makapuji hayo ili vibaraka wao wajitokeze zaidi. Tunataka kuyajua MAZIMWI YATUJUAYO yanayoshirikiana na Wageni kulihujumu taifa letu.
 
Ni hivi, Hata ukiua mbele ya wakili, wakili atakutetea usifungwe.
Acha ujinga.
Kwa sababu wakili huyo ni mshabiki wa wauaji!
Au ni mroho wa fedha.

Na usitegemee wakili huyo apewe support na ndugu wa marehemu.

Anachokifanya lissu ni kutaka sisi wafiwa tumchekee na kumsaidia wakili wa wauaji(mafisadi)
 
MAGUFULI MJANJA SANA ALIKATAA KUFUKUA MAKABURI AKAIACHA MIZIMU IFUFUKE YENYEWE. IMMA ADVOCATES NI MZIMU. MIZIMU MINGI ITAFUFUKA.

IMMA Advocates ni Kampuni ya Mawakili Protase Ishengoma, Aloysius Mujulizi, Lawrence Masha na Sadock ya Dar es Salaam. KAMPUNI ya DEEP GREEN imesajiliwa kwa anwani ya IMMA HOUSE. Ni hao hao IMMA ADVOCATES.

Kampuni hii ilichota Bilioni 8 kwenye akaunti ya madeni ya nje (EPA). Jaji Mujulizi alijiuzulu nafasi yake Mahakama Kuu siku za hivi karibuni, IMMA ADVOCATES walituhumiwa sana na upinzani kwa kutatetea Makapuni ya TANGOLD LTD na DEEP GREEN FINANCE CO. LTD baada kuchota pesa katika akaunti ya Madeni ya nje (EPA) kutoka benki kuu ya Tanzania (B.O.T)

Leo IMMA ADVOCATES inatetewa na Tundu lissu, Lissu yuko tayari kutoa machozi ya damu kuitetea Kampuni ambayo awali aliituhumu kwa ufisadi.
IMMA ADVOCATES ndiyo mtetezi wa Kampuni ya kiingereza ya ACACIA katika sakata la Madini. TUNDU LISSU alikuwa wa kwanza kung'aka kuwa tutanyolewa kwa chupa endapo tutawasitishia ACACIA kusafirisha mchanga wa dhahabu kwenda nje.

My take: Hawa IMMA Advocates ni Mzimu umefufuka baada Kaburi lake kuachwa bila kufukuliwa. Hawa walikuwa wanachota pesa za watanzania kupitia Makampuni ya kigeni yaliyokuwa yanalihujumu taifa. Kipindi hicho Lissu alipiga kelele kwa vile LAWRENCE MASHA alikuwa CCM na aliujua ukweli lakini hakuwa na mgawo.

Leo MASHA ni mwana CHADEMA na IMMA ADVOCATES inaitetea Kampuni ya ACACIA ambayo hapana shaka kuwa LISSU anavuta mkwanja kutoka kwayo, , mambo yamebadilika.

IMMA ADVOCATES ni Kampuni moja tu hiyo. Hapana shaka kuna Makampuni mengine ya Mawakili ambayo kwa namna moja ama nyingine yalikuwa na uswahiba na wahujumu uchumi wetu na bado yanaendelea kufanya hivyo.

Serikali isirudi nyuma , izidi kuyachokonoa Makapuji hayo ili vibaraka wao wajitokeze zaidi. Tunataka kuyajua MAZIMWI YATUJUAYO yanayoshirikiana na Wageni kulihujumu taifa letu.
hata kama ndo muilipue?
 
MAGUFULI MJANJA SANA ALIKATAA KUFUKUA MAKABURI AKAIACHA MIZIMU IFUFUKE YENYEWE. IMMA ADVOCATES NI MZIMU. MIZIMU MINGI ITAFUFUKA.

IMMA Advocates ni Kampuni ya Mawakili Protase Ishengoma, Aloysius Mujulizi, Lawrence Masha na Sadock ya Dar es Salaam. KAMPUNI ya DEEP GREEN imesajiliwa kwa anwani ya IMMA HOUSE. Ni hao hao IMMA ADVOCATES.

Kampuni hii ilichota Bilioni 8 kwenye akaunti ya madeni ya nje (EPA). Jaji Mujulizi alijiuzulu nafasi yake Mahakama Kuu siku za hivi karibuni, IMMA ADVOCATES walituhumiwa sana na upinzani kwa kutatetea Makapuni ya TANGOLD LTD na DEEP GREEN FINANCE CO. LTD baada kuchota pesa katika akaunti ya Madeni ya nje (EPA) kutoka benki kuu ya Tanzania (B.O.T)

Leo IMMA ADVOCATES inatetewa na Tundu lissu, Lissu yuko tayari kutoa machozi ya damu kuitetea Kampuni ambayo awali aliituhumu kwa ufisadi.
IMMA ADVOCATES ndiyo mtetezi wa Kampuni ya kiingereza ya ACACIA katika sakata la Madini. TUNDU LISSU alikuwa wa kwanza kung'aka kuwa tutanyolewa kwa chupa endapo tutawasitishia ACACIA kusafirisha mchanga wa dhahabu kwenda nje.

My take: Hawa IMMA Advocates ni Mzimu umefufuka baada Kaburi lake kuachwa bila kufukuliwa. Hawa walikuwa wanachota pesa za watanzania kupitia Makampuni ya kigeni yaliyokuwa yanalihujumu taifa. Kipindi hicho Lissu alipiga kelele kwa vile LAWRENCE MASHA alikuwa CCM na aliujua ukweli lakini hakuwa na mgawo.

Leo MASHA ni mwana CHADEMA na IMMA ADVOCATES inaitetea Kampuni ya ACACIA ambayo hapana shaka kuwa LISSU anavuta mkwanja kutoka kwayo, , mambo yamebadilika.

IMMA ADVOCATES ni Kampuni moja tu hiyo. Hapana shaka kuna Makampuni mengine ya Mawakili ambayo kwa namna moja ama nyingine yalikuwa na uswahiba na wahujumu uchumi wetu na bado yanaendelea kufanya hivyo.

Serikali isirudi nyuma , izidi kuyachokonoa Makapuji hayo ili vibaraka wao wajitokeze zaidi. Tunataka kuyajua MAZIMWI YATUJUAYO yanayoshirikiana na Wageni kulihujumu taifa letu.
jamani hii ni biashara, akina lissu ni wafanyabiashara, akitokea mtu akataka akasimamie kesi yake yeye anachofata pale ni mpunga tu, sasa zogo lote la nini
 
Kwa andiko lako unatuthibitishia kwamba serikali ndio iliyo husika na ulipuaji huo!
Maana umekimbia bila breck baba
 
Nadhani Lissu hajapaza sauti kwa sababu IMMMA "waliiba" pesa za walipa kodi wa Tz,amepaza sauti sababu IMMMA ni ndugu zake katika Taaluma ya sheria na uvamizi wao unahusihwa na kazi wanayoifanya.

Lissu kama Rais wa TLS ambapo IMMMA ni sehemu ya wanachama wake,ana wajibu wa kusimama na kutetea uhuru wa wanasheria wenzake na tasnia ya sheria kwa ujumla.Suala la "uadilifu" wa IMMMA linabaki kuwa suala linalojitegemea dhidi ya utu,uhai na usalama wa wanasheria na taaluma ya sheria.


Kama hawa kina Magai na Karume wanatetea utaratibu uwe unafuatwa katka kuvunja mikataba wako sahihi...Kama tulifuata taratibu basi tutashinda kesi,kama tulikiuka basi tutashindwa.Na ACACIA kama watashida,ni kwa sbabu tulikiuka utaratibu,kama tukishinda ni kwa sbb tulifuata utaratibu.

Uwakili ni biashara,watetewaji ni wateja...IMMMA kama wafanyabiashara hawabagui wateja

Kushindwa kwetu itakuwa fundisho kwa watawala na wale wote wenye dhamana katika nchi yetu.Mitutu na mabomu haiwezi kuondoa ukweli wa kile tulichokifanya.

Ustarabu ni pamoja na kuheshimu vyombo vya sheria na taratibu zake,maendeleo ni pamoja na kuheshimu demokrasia na utawala wa sheria.Hizi ni dalili mbaya sana
 
Mtoa mada ni zero brain kabisa hivi aliekwambia mawakili wapo kwa ajili ya kuitetea serikali nani? Listen wakili wa kujitegemea habagui wakumtetea mahakamni uwe mweupe,mweusi,mtanzania au mberushi..,...! IMMA advocates ni mawakili wakujitegemea wanahaki yakumtetea yyte yule kwa kuzingatia misingi ya sheria ata kama hayo makampuni yalichota hela kwani IMMA advocates ndio waliowasimamia au kuwatuma wachote hela wao walitimiza matakwa yakusimamia kisheria tu..........na kingine lawyers argue with facts considering laws and justice ivo kama Accacia watashinda basi kwasababu ya misingi ya kisheria na kama watashindwa basi ni kwasabab ya misingi ya kisheria ila sio kwasababu ya Mawakili wa IMMA uo ndo tunaita uzalendo wa kipuuuzi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom